Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

attachment.php

mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' baada ya kupinduka na gari lake . Mbunge huyo akiwa pembeni kushoto.
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi, akiwa na wenzake watatu akiwemo Katibu wake, Kwame Anangise, Eddy na Kiboya wameumia na kukimbizwa hospitali mjini Iringa baada ya gari lao kupata hitilafu ya breki na kupinduka mlima Kitonga leo.


Daaaah hitalafu ya breki kitonga ni hatari sana. Maani ni msururu wa kona na mteremko wenye urefu wa kilometa 8-10 hivi.
 
Pole yake sana, majeruhi wapate nafuu ya haraka!!!
Brake failure; gari ni manual au auto??!

Sijaona dereva akiongelewa katika hiyo ajali????!!!!
 
Mkuu nimeeleza huko nyuma!
LC100 VX, ni gari isiyo na mataizo madogo kama hayo.
, hasa kwa sehemu iliyopata ajali garoi hiyo, iliyotazamiwa kwenda kwenye spidi za za less than 40 km/hr.
Hata pipeau pads zikifeli kwa spidi hizo bado dreva anawza ku cotrol gari lake kwa gear dadi kusimama.

Dereva aliyekuwa anaendesha mteremko wa zkitonga kwa gari hiyo alikuwa spidi over, ndiyo maana ikapinduka.

Mkuu ni kweli si rahisi kwaa aina ya gari hilo kufail brake, lakini huwa inatokea na ni kawaida kufail brake kama dereva kashika brake kwa muda mrefu hasa kwenye mteremko mkali. Brake pads huchemka na kushindwa kushikilia disc. Issue ya kusimama kwa gear inategemea na speed na pia ni aina gani ya transmision iliiyopo. Kwa manual watu wanajua issue ya kupangua magear. Kwa auto wengu wanajua kuweka drive, Reverse na Parking tuu.

Na hii ni kwa sababu magari used huja bila kitabu elekezi. Yote sawa lakini speed ikiwa kubwa kuwezi kupangua gear gari likasimama hapo hapo. Ni lazima yatokee unayoyaona hapo. Uzembe!
 
Acha hizo wewe lazima unachuki binafsi...

Sina chuki binafsi ila bhangi ameanza siku nyingi viroba ni sera ya chadema kunywa ili upate confidence ya kuhutubia mkutano, ndiyo maana Slaa ameahidi kuhalalisha gongo.
 
Unajua bhana kuna kitu watu hawakielewi , hawajui , wamekisahau au wamepofushwa , kufanya kazi ya cdm ama UKAWA ni kufanya kazi ya Mungu , ni kumtukuza Mungu hakuna haja ya kuogopa kulogwa , mimi ninapofanya kazi za cdm sihofii chochote ! Maana Mungu ananilinda .
 
MBILINYI KWELI DEREVA.kupaki gari hivyo tena kwenye mtelemko mkali hata mimi siwezi.APelekwe shule za udereva akafundishe watu staili ingine ya kupaki magari kwenye miteremko kama ya kitonga.Hilo yaani mtu anaweza tu akiwa kanywa viroba.
 
Nimeongea nae wapo salama wamepona wote,tatizo lilikuwa breki zilifeli ikabibid waigongeshe ukutani maana bila hivyo wangetumbukia korongoni,yupo na matrafiki ndo wanapima.

Hilo gari sio bado jipya kweli? Inakuwaje limefeli breki! Japokuwa mechanical failure inaweza tokea Hata kwa gari jipya ila kwa % Ndogo Sana na Nina uhakika hayo magari yanafanyiwa inspection Mara kwa Mara, isijekuwa wamemfanyia mchezo mchafu.
 
Hilo gari sio bado jipya kweli? Inakuwaje limefeli breki! Japokuwa mechanical failure inaweza tokea Hata kwa gari jipya ila kwa % Ndogo Sana na Nina uhakika hayo magari yanafanyiwa inspection Mara kwa Mara, isijekuwa wamemfanyia mchezo mchafu.

Mara nyingi nilikua namuona na BMW gari ya haja! Hadi kufail breki kwa gari ndogo sijui imekuaje?
 
Back
Top Bottom