Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

Pole sana mheshimiwa Sugu...twashukuru umepona..
#Uliyeleta uzi huu jaribu kuwa na adabu kwenye mamabo nyeti,huwezi kuleta uzi hapa na kuleta mambo ya ulozi,vijana acheni uchochezi usio na mpango...mambo ya ulozi yanatoka wapi hapa? mambo ya magamaba yanatoka wapi? shika adabu yako we binti
 
pole sana kwa Mheshimiwa Sugu, Wanafamilia na ndugu, wanachadema, wana UKAWA, wapenda haki

najua mashetani yamefurahiiii

ushauri, Wilfred Lwakatare its time umesha recover kutokana na "uhuni" wa kesi za akina Zitto na Mwigulu HEBU RUDI KAZINI NA LINDA MAKAMANDA WAKO
 
Last edited by a moderator:
View attachment 217535
Mh.Sungu amenusurika ajali leo akiwa katika harakati za kudelete magamba maeneo ya mlima kitonga.
Tuchukue frusa hii kumtakia pole kamanda wetu mungu amwepushe na mabalaa haya,Ni ulozi tu wa migamba Pole saaana Mh Sugu, tunamshukuru Mungu kukuepusha kwa ajali hio mbaya.
Wewe ni mbuzi, umeweka ushabiki wa kikondoo badala ya kuweka taarifa. Mfu unayetembea wewe
 
Nasikia alikuwa anaendesha mwenyewe gari sasa ajali na CCM wapi na wapi? Kwani CCM ndio walikuwa wanaendesha gari?

Acheni ushamba nyie Bavicha,
 
Toyota Landcruiser VX100, hicho kitu hakuna, kuna tatizo tu la dereva aliyekuwa akiendesha.
Ukiniambia mwendo kasi , kupinduka kwa sehemu hizo rahisi sana, wiki mbilizilizopita nimepita hapo mara nne, kuna hairpin bends ambazo zinawachukua wazembe.
Kwa gari dogo kupinduka lazima mwendo kasi tu.

Mkuu breki haziwezi kufeli? Mbona hilo ni jambo la kawaida pipe inaweza kukatika au hata rubber za master cylinder au za kwenye pads zinaweza kupasuka.
 
Mwambieni aache bhangi kwani habari za ndani zinasema alikuwa amekula msuba Huku akiwa busy na kuongea na simu katikati ya mlima!

Taarifa ndio hiyo!!!!
 
attachment.php
 

Attachments

  • suguu77.jpg
    suguu77.jpg
    43.3 KB · Views: 428
Inshallah Mh. Sugu et al mmepona na harakati utaziendeleza kama kawa.
 
we jamaa upo na elim darasa la ngapi? Hivi overhaul na service huwa wanafanya madereva eti?

Sasa nimeelewa sabab ya wewe kukomenti hovyohovyo kila topic kwa low level of understanding.

Usinitafutie ban mvuta bangi we, nimecoment hovyo hovyo kwa mamaako!
 
brake zaweza fail hata kwa gari ya aina hiyo,kuna ajali nyingine zinasababishwa na nguvu zisizo za kibinadamu, nimewahi kupata ajali iliyosababishwa na brake ku fail na stering kutokata kwa gari aina ya Nissan Patrol ambayo ilikuwa sawa hadi nikagonga gari lilokuwa limesimama mbele,bahati nzuri sikuwa kwenye spidi na barabara wala si ya mteremko,na baada ya ajali stering ikawa sawa,na brake zikafanya kazi kama kawaida,kwa hiyo si lazima iwe ni uzembe wa dereva ktk ajali

Kuna watu wabishi nami kuna ajali nilipata njia ya pangani - muheza mpaka leo siwezi kujua ilikuaje. Nilitoka tanga kwenda pangani kwa mwendo wa 90 kph baada ya kushika njia hiyo nyingine sikwenda zaidi ya 20 kph lakini gari liliruka mtaro na kuingia mashambani.
 
Mkuu breki haziwezi kufeli? Mbona hilo ni jambo la kawaida pipe inaweza kukatika au hata rubber za master cylinder au za kwenye pads zinaweza kupasuka.

Mkuu MANI,

Inasemekana kuwa Sugu alikuwa bwii na msuba na alikuwa pia busy sana na simu kitendo ambacho kilisababisha kutokuwa makini barabarani, then kuna vijana wanasema CCM kwani dereva wake alikuwa Kinana? Dereva alikuwa mwenyewe kwa hiyo wakulaumiwa ni CDM wenyewe unless basi Kinana anamuendesha Sugu sasa!

Ushauri wangu Sugu punguza msuba ndugu yangu
 
Laana ya milele ikuangazie wewe na kila anayekuhusu amina .
Elungata, mabaya mliyokusudia yawarudie wenyewe! Shimo mlimlochimba mtumbukie nyie wenyewe! Nyavu mlizotandaza ziwanase wenyewe. Mliyemlenga azidi kuinuliwa na kuwa juu! Amina!
 
Mkuu MANI,

Inasemekana kuwa Sugu alikuwa bwii na msuba na alikuwa pia busy sana na simu kitendo ambacho kilisababisha kutokuwa makini barabarani, then kuna vijana wanasema CCM kwani dereva wake alikuwa Kinana? Dereva alikuwa mwenyewe kwa hiyo wakulaumiwa ni CDM wenyewe unless basi Kinana anamuendesha Sugu sasa!

Ushauri wangu Sugu punguza msuba ndugu yangu

Una hakika alikuwa anaendesha yeye?
 
Back
Top Bottom