GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,449
- 127,624
Ushausi mimi nilitoa ni kutokana na tabia yake ya kula majani kama mbuzi ila hayo uliyoitajia mengine mimi nakuachia wewe.
Come again!
Ushausi mimi nilitoa ni kutokana na tabia yake ya kula majani kama mbuzi ila hayo uliyoitajia mengine mimi nakuachia wewe.
Pole sana kamanda MUNGU ni mwema na harakati za ukombozi ziendelee kama kawa.
Come again!
Nimempigia hapokei lakini nimemtumia ujumbe wa kumuasa aache bhangi! Message yenyewe ipo hivi" Hello Sugu pole sana kwa madhira yakujitakia rafiki yangu, kwanini usitafute dereva unayemwamini? Pia punguza kidogo msuba kaka la sivyo utakufa brada, it's me Kinambeu"
Mwambieni aache bhangi kwani habari za ndani zinasema alikuwa amekula msuba Huku akiwa busy na kuongea na simu katikati ya mlima!
Taarifa ndio hiyo!!!!
Dereva wake ni DJ.BBG huyu jamaa ni mvuta bangi maarufu.
Pia kuna kipindi alishapata ajali na SUGU ajali huko SINGIDA wakija ARUSHA kuomboleza mlipuko wa SOWETO.
Hii Landcriuser AMAZON imeshapata shida sana na hawa wala ganja!
Na pesa zote wanaIipwa, Mbunge anapaswa awe na uwezo wa kupanda ndege kutoka Mbeya/Iringa - Dar. Pole Sugu kwa ajali. Mungu ni mwema wote mmetoka salama.
umekunywa viroba vingapi!
acha uboyaa wewe ...unazungumza utafikiri ulikuwepi naye
Aache msuba wewe huelewewi?
Pole sana mh.Rais wa Mbeya.
Ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Ya Wapi? Kwetu TARIME au Ya LONGIDO?
Pole sana mh.Rais wa Mbeya.
Mimi na wewe boya Ni nani? Mie ninaemshauri aache bhangi na viroba na apate dereva wa kumuwndesha au wewe unaetaka Sugu afe mapema?