Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

View attachment 217535
Mh.Sungu amenusurika ajali leo akiwa katika harakati za kudelete magamba maeneo ya mlima kitonga.
Tuchukue frusa hii kumtakia pole kamanda wetu mungu amwepushe na mabalaa haya,Ni ulozi tu wa migamba Pole saaana Mh Sugu, tunamshukuru Mungu kukuepusha kwa ajali hio mbaya.

pole sana kamanda,wema wa mungu umekuzunguka
 
Mungu mkubwa na kubinuka hivo wapo salama
 
what you mean kitu hicho hakuna, VX100 hazi feli break? Kama ma pads na ma fluids yamekwisha litashika tu breki? Zinafeli break za ndege itakuwa VX? Vipi Mkuu.

Anyhow, mi ningeanza na sobriety test, lakini kwa bongo by the time polisi anafika na maji yenyewe yashakutoka kichwani
Unaangalia na sehemu gari ilipopata ajali.
Sehemu hizo spidi lazima iwe chini ya 40km/hr na kwenye hairpin bends chini ya 20km/hr.
Hiyo barabara kwa sababu ya spidi ndogo ya magari itazamiwayo, haina kitu inaitwa superelevation, yaani kuinua barabara upande wa nje ya kona kudhibito spidi.
Malori mengi yasiyo na mizigo hizo ndo zake(yakitoka Iringa kwenda pale Comfort), ni mengi yanaingia huo mlima na wale wengine ndo kabisa hilo korongo la mlima.

Breki haiwezi kufeli mahali pa 20-40km/hr wakati huko nyuma barabara nzima ya Mbeya -Iringa kwa hiyo LC VX100 inakwenda zaidi ya 150km/hr na kuna matuta ya kufa mtu njia nzima yanayohitaji hard braking.
Kitu cha maana amshukuru Mungu tu, it could have been much worse.
 
View attachment 217535
Mh.Sungu amenusurika ajali leo akiwa katika harakati za kudelete magamba maeneo ya mlima kitonga.
Tuchukue frusa hii kumtakia pole kamanda wetu mungu amwepushe na mabalaa haya,Ni ulozi tu wa migamba Pole saaana Mh Sugu, tunamshukuru Mungu kukuepusha kwa ajali hio mbaya.

pole sana mh. Mbilinyi kwa ajali mbaya. Mungu yuko pamoja nawe.
 
Huu ni mpango wa magamba kwa nchi ya mbeya na rais wao sugu
Wanataka walazimishe na wananchi hawawataki "aibu"sasa ona kamanda bado anadunda tu
Gari ya sugu ina bima tena kubwa naijuwa vema,ni kama wamempa nafasi ya kusukuma ndinga nyingine nzuri zaidi 😂😂😂

we ni mke mdogo??
 
Nampa pole nyingi sana kwa kutoka akiwa mzima.Picha zinanionesha kwamba kwa bahati nzuri dereva hakuwa kwenye mwendo kasi kwani impact ya kupiga chini ingeharibu sana gari na kuumiza abiria
 
Back
Top Bottom