Kinambeu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 906
- 454
Elungata, mabaya mliyokusudia yawarudie wenyewe! Shimo mlimlochimba mtumbukie nyie wenyewe! Nyavu mlizotandaza ziwanase wenyewe. Mliyemlenga azidi kuinuliwa na kuwa juu! Amina!
Sasa mnamtakia laana Sugu? Ndugu yenu mnamfanyia duwa mbaya kiasi hicho? Sasa mnamlaumu nani? Dereva alikuwa mwenyewe Sugu, gari lake, mavazi ya CDM sasa CCM hapo wapi na wapi?
Sugu sikuhizi anaendeshwa na Kinana? Au gari ile Ni mali ya CCM? Sasa badala ya kumlaumu Sugu na misuba yake mnalaumu CCM hiyo akili au pumba?