Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

wewe.. MSALANI boya tu acha kushobokea wanaume wewe gamba.....mara oh bange maea oh konyagi acha kuutaka kujua maisha ya watu utaolewa wewe....
makamanda wamepata ajalu na wamepona kwa kudra za mwenyezi mungu wewe utabakiaga kupiga domo tu
 
Last edited by a moderator:
wewe.. MSALANI boya tu acha kushobokea wanaume wewe gamba.....mara oh bange maea oh konyagi acha kuutaka kujua maisha ya watu utaolewa wewe....
makamanda wamepata ajalu na wamepona kwa kudra za mwenyezi mungu wewe utabakiaga kupiga domo tu

Kwani Sugu havuti bange?
 
Last edited by a moderator:
We mjinga sana!
Mtu unakuwa na gari ya uhakika hafu halifanyiwi service utafikiri gari ya City unategemea nini?

Mbona umenitusi ndugu yangu? Au ndio upeo wa akili yako umeishia hapo? Unajisikiaje mimi ninapojadili nawe bila kukutusi au kukukejeli? Hebu kua mkuu, hakuna haja kujadili kwa kushushiana heshima kwa sababu haitakusaidia wewe wala mimi. Ona sasa umenitukana, ndio umepata nini cha maana?
Ukweli ni kwamba, hayo mambo ya kutofanya service kwa wakati alitakiwa aseme Sugu au dereva wake kwa sababu yeye ndiye mwenye gari sio useme wewe. Tuoneshe kadi ya service ya gari ya Sugu ili tuone kama KM za kufanya service zilipita bila kufanyiwa service. Lakini wewe ukiambiwa ukweli unakimbia kutoa kejeli na matusi.
Sijui kama unajua kama gari mbili tofauti zilizombeba Rais Kikwete ziliwahi kuharibika kwenye msafara? Moja iling'oka gurudumu la nyuma, akaletewa jingine, nalo likazima ghafla na halikuwaka tena hadi likavutwa? Unajua kama magari ya Rais hukaguliwa kwa saa 24 kabla ya kuanza msafara? Vipi unajisikia kuendelea kutukana?
Ova
 
Mkuu ni kweli si rahisi kwaa aina ya gari hilo kufail brake, lakini huwa inatokea na ni kawaida kufail brake kama dereva kashika brake kwa muda mrefu hasa kwenye mteremko mkali. Brake pads huchemka na kushindwa kushikilia disc. Issue ya kusimama kwa gear inategemea na speed na pia ni aina gani ya transmision iliiyopo. Kwa manual watu wanajua issue ya kupangua magear. Kwa auto wengu wanajua kuweka drive, Reverse na Parking tuu.

Na hii ni kwa sababu magari used huja bila kitabu elekezi. Yote sawa lakini speed ikiwa kubwa kuwezi kupangua gear gari likasimama hapo hapo. Ni lazima yatokee unayoyaona hapo. Uzembe!

hivi hizo VX pamoja na sifa zote na bei kubwa hazina HILL DESCENT CONTROL??? mpaka utumie brake hadi zinashika moto!!
 
Back
Top Bottom