Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

Kuna Kipindi walikuja Arusha yeye na Kundi lake la Antivirus, sasa wakati wanatafuta wadhamini wa show yao wakaja ofisini kwetu, tukawakubalia kudhamini ile show. Jioni yake nikamtafuta SUGU kwa simu akasema yuko STEREO HOTEL, nikaenda, nilipofika sikuamini macho yangu, SUGU anakunywa KONYAGI anchanganya na REDBULL huku anavuta KAYA!
nilichoka!!

Hiyo konyagi na Redbull wametengenezewa akina nani mpaka ikawa haramu kwa Rais wa Mbeya?
 
Ukombozi wa pili nchi hii,unaweza kuambatana na matukio kama hayo.Mungu awatangulie
 
Wewe umezaliwa wapi? Ndege hata ukienda uyole upande ndege? Wewe utakuwa unatumia masaburi kufikiria siyo bure!

MwambienI aache bhangi na viroba kama mnampenda namba hiyo hapo juu. Sugu chonde chonde tafuta dereva au unabana matumizi? Basi bado endelea tu utakiona cha moto

Kwani alikuwa anaenda Uyole? Na ni nani amekuambia Sugu hana dereva? Punguza mihemko.
 
Namshauri Sugu kama atasoma uzi huu au ambao wapo karibu naye au kiongozi wa upinzani anayependeka wawe makini kujilinda,moja dreva ni lazima kuwa naye makini ni lazima unayemwamini kweli kweli,anaweza kuhongwa hela nyingi akumalize,pili gereji unayotengenezea gari uwe makini xana nayo,unaweza ukategeshewa break ije ifail ikuzuru.
 
Mbungu wa Mbeya mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu, amepata ajali mbaya jioni hii ambapo gari yake ilipata hitirafu ktk break zake na kupinduka.
Abiria wote wametoka salama
 
Namshauri Sugu kama atasoma uzi huu au ambao wapo karibu naye au kiongozi wa upinzani anayependeka wawe makini kujilinda,moja dreva ni lazima kuwa naye makini ni lazima unayemwamini kweli kweli,anaweza kuhongwa hela nyingi akumalize,pili gereji unayotengenezea gari uwe makini xana nayo,unaweza ukategeshewa break ije ifail ikuzuru.

Ungemshauri aache bangi kwanza.
 
Pole sana mzee, mwenyezi mungu azidi kukupa afya njema na uvumilivu, kuwa na subra katika kipindi hiki cha mpito wa mawazo ya ajali
 
Wabunge vijana hasa wa upinzani kuweni makini mwaka huu wa uchaguzi kunawanao watakia mabaya jiepusheni kusafiri na magari na vilevile kutangaza safari! Msiamini mtu hata Dereva wako usimuamini kwasababu wanaongea sana bila kujua kilichopo nyuma. Tumieni ndege zaidi na Safari za kushtusha. Ushauri tu
duh,lisemwalo lipo.
 
Pole sana mheshimiwa sugu lakini kumbuka mwendo kasi unaua
 
Kuna Kipindi walikuja Arusha yeye na Kundi lake la Antivirus, sasa wakati wanatafuta wadhamini wa show yao wakaja ofisini kwetu, tukawakubalia kudhamini ile show. Jioni yake nikamtafuta SUGU kwa simu akasema yuko STEREO HOTEL, nikaenda, nilipofika sikuamini macho yangu, SUGU anakunywa KONYAGI anchanganya na REDBULL huku anavuta KAYA!
nilichoka!!

Wacha ale dawa
 
Duh! Lakini yawezekana kwa sababu mtajwa ni mtoto wa Chifu, na machifu na u.c.h.a.w.i inaaminika kuwa vinaambatana.

Ndo maana kanusurika mkuu bange na uchawi haviendi pamoja ndo mana tuna misemo yetu "uchawi hauendi Kwa mentali
 
muheshimia sugu uishi maisha marefu na hauwezi kufa leo wala kesho hadi umalize kazi ya kumtoa huyu mkoloni ccm pambana na kuwa makini usimuamini mtu kiulaisi na usizalau chochote tunajua uko vitani
 
Pole sana kamanda Sugu,

Mwakyembe ni mshirikina sana huyo mzee.
Mungu ni mwema kamanda.

Wao wana majini7, sie tuna Mungu

Wew vip mwakembe anahusikaje je hapo
MBOWE kama kawaida alitaka kumtoa kafara kama chacha wangwe ili aendelea kuwa maarufu kisiasa .. Nadhan kuna mashart amekiuka kidogo aisee
 
Huu ni mpango wa magamba kwa nchi ya mbeya na rais wao sugu
Wanataka walazimishe na wananchi hawawataki "aibu"sasa ona kamanda bado anadunda tu
Gari ya sugu ina bima tena kubwa naijuwa vema,ni kama wamempa nafasi ya kusukuma ndinga nyingine nzuri zaidi 


Tunangoja kwa hamu kuona ufisadi atakaofanya na wapambe wake wa bima na polisi wanaopaswa kuangalia chanzo halisi cha ajali!
 
Back
Top Bottom