Rais wa mbeya amepata ajali maeneo ya kitonga lakin yuko salama tunamshukuru munguView attachment 217536
Mwenyezi Mungu aendelee kuwa nawe. Amen.
Rais wa mbeya amepata ajali maeneo ya kitonga lakin yuko salama tunamshukuru munguView attachment 217536
Kumbe mwakyembe ni mchawi?
kwa hatua hii, kweli utu umeisha kwa watanzania!Chanzo itakuwa viroba na ganja
mkuu hakuna gari lisilopata hitilafu kamwe. Mengine ni mbwembwe tupu.Toyota Landcruiser VX100, hicho kitu hakuna, kuna tatizo tu la dereva aliyekuwa akiendesha.
Ukiniambia mwendo kasi , kupinduka kwa sehemu hizo rahisi sana, wiki mbilizilizopita nimepita hapo mara nne, kuna hairpin bends ambazo zinawachukua wazembe.
Kwa gari dogo kupinduka lazima mwendo kasi tu.
Sugu awagomea Police kupimwa na kifaa cha ulevi atimka na kuwaacha solemba.
what you mean kitu hicho hakuna, VX100 hazi feli break? Kama ma pads na ma fluids yamekwisha litashika tu breki? Zinafeli break za ndege itakuwa VX? Vipi Mkuu.Toyota Landcruiser VX100, hicho kitu hakuna,
brake zaweza fail hata kwa gari ya aina hiyo,kuna ajali nyingine zinasababishwa na nguvu zisizo za kibinadamu, nimewahi kupata ajali iliyosababishwa na brake ku fail na stering kutokata kwa gari aina ya Nissan Patrol ambayo ilikuwa sawa hadi nikagonga gari lilokuwa limesimama mbele,bahati nzuri sikuwa kwenye spidi na barabara wala si ya mteremko,na baada ya ajali stering ikawa sawa,na brake zikafanya kazi kama kawaida,kwa hiyo si lazima iwe ni uzembe wa dereva ktk ajaliToyota Landcruiser VX100, hicho kitu hakuna, kuna tatizo tu la dereva aliyekuwa akiendesha.
Ukiniambia mwendo kasi , kupinduka kwa sehemu hizo rahisi sana, wiki mbilizilizopita nimepita hapo mara nne, kuna hairpin bends ambazo zinawachukua wazembe.
Kwa gari dogo kupinduka lazima mwendo kasi tu.