Atakuwa ameamkanazo!!!!
Kwa tunaoijua mitaa hiyo, hapo yanapinduka malori tu.View attachment 217535
Mh.Sungu amenusurika ajali leo akiwa katika harakati za kudelete magamba huko mbeya.
Tuchukue frusa hii kumtakia pole kamanda wetu mungu amwepushe na mabalaa haya,Ni ulozi tu wa migamba Pole saaana Mh Sugu, tunamshukuru Mungu kukuepusha kwa ajali hio mbaya.
mungu ni mwema , njama zao zimeshindwa , asante Mungu .
njama za Nani? umepata chanzo cha ajali?
Toyota Landcruiser VX100, hicho kitu hakuna, kuna tatizo tu la dereva aliyekuwa akiendesha.Nimeongea nae wapo salama wamepona wote,tatizo lilikuwa breki zilifeli ikabibid waigongeshe ukutani maana bila hivyo wangetumbukia korongoni,yupo na matrafiki ndo wanapima.
Rais wa Mbeya? SoB
Sugu awagomea Police kupimwa na kifaa cha ulevi atimka na kuwaacha solemba.
Pole sana kamanda Sugu,
Mwakyembe ni mshirikina sana huyo mzee.
Mungu ni mwema kamanda.
Wao wana majini7, sie tuna Mungu