issawema
JF-Expert Member
- May 30, 2013
- 776
- 643
Uliposoma maelezo umejisikia kupakatwa?
Sema tu usiwe mwoga shekhe!
majibu yako kama ya dada ako
Uliposoma maelezo umejisikia kupakatwa?
Sema tu usiwe mwoga shekhe!
Rais wa mbeya amepata ajali maeneo ya kitonga lakin yuko salama tunamshukuru mungu
View attachment 217536
mkuu matusi yanini?
Wabunge vijana hasa wa upinzani kuweni makini mwaka huu wa uchaguzi kunawanao watakia mabaya jiepusheni kusafiri na magari na vilevile kutangaza safari! Msiamini mtu hata Dereva wako usimuamini kwasababu wanaongea sana bila kujua kilichopo nyuma. Tumieni ndege zaidi na Safari za kushtusha. Ushauri tu
Rais wa Mbeya? SoB
Wabunge vijana hasa wa upinzani kuweni makini mwaka huu wa uchaguzi kunawanao watakia mabaya jiepusheni kusafiri na magari na vilevile kutangaza safari! Msiamini mtu hata Dereva wako usimuamini kwasababu wanaongea sana bila kujua kilichopo nyuma. Tumieni ndege zaidi na Safari za kushtusha. Ushauri tu
kwa hatua hii, kweli utu umeisha kwa watanzania!
SIO BANGI AU VIROBA AJALI ZIPO TU HATA WEWE KABLA HUJAZALIWA (uriria)
Ushaanza kuabudu ushirikina.
Wewe unafaham ushirikina tu basi? je kulegeza nati, kunga mifumo ya breki kwa kuegesha,
kuangusha magari kwa makudi huu sio uchawi bali hujuma. Hujuma zipo na hutengenezwa usibishe.
amepata ajali siyo amenusurika ajali!!View attachment 217535
Mh.Sungu amenusurika ajali leo akiwa katika harakati za kudelete magamba maeneo ya mlima kitonga.
Tuchukue frusa hii kumtakia pole kamanda wetu mungu amwepushe na mabalaa haya,Ni ulozi tu wa migamba Pole saaana Mh Sugu, tunamshukuru Mungu kukuepusha kwa ajali hio mbaya.
mungu ni mwema , njama zao zimeshindwa , asante Mungu .