Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Habari nilizozipata ni kuwa aliyewahi kuwa naibu waziri wa fedha na mbunge wa Arumeru mashariki bwana Sumari ameaga dunia.

Poleni wafiwa.

Source: MOI

Hivi huyu si ndo baba wa kina Nancy na Nakaaya?
 
RIP Sumari,

Hivi Wassira alisema leo wote binadamu kesho siasa pale pale. CHADEMA jimbo hilo.

samahani atakaekereka.
 
Baada ya manung'uniko Mungu amesikia kilio chenu
wana arumeru
 
Mnipe taarifa za KIINTELEJENSIA KAMA HAKUAPISHWAGA INAKUWAJE?
 
Apumzishwe mahali pema. Mungu aijalie familia yake, ndugu, jamaa na marafiki moyo wa uvumilivu wakati huu mgumu kwao
 
sio baba yao na kina nancy , ni baba wa kisali , sioi , na joan . Sasa sijui kama joan ndo JS wa jf ?

RIP J.Sumari,
Bwana aiweke Roho ya marehemu mahali pema peponi. Awafariji wanafamilia, ndugu na marafiki wote katika kipindi hiki kigumu. Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.
 
Kwa wataalam wa sheria,

Sheria zetu zinasemaje inapotokea mbunge mteule anafariki kabla ya kuapishwa?
 
Wasambaa wana msemo wao usemao " ukitandika umvyedi na ugoshe mvyedi " usitegemee mbunge kama Livingstone Lusinde ( kibajaji ) yule Mbunge wa Mtera afe halafu apate heshima na maziko kama ya Regia! hapana hilo nakataa kabisa, kuna wabunge wengine wakifa ni Great relief kwa Taifa.
Kwa Marehemu Sumari R.I.P atazikwa kutokana na Historia ya matendo yake hapa Duniani, nadhani msiba wa Regia ni funzo kubwa kwa wanasiasa wote wanatakiwa wachague kuishi maisha ya namna gani!

Haswaa mkuu ukipanda mema utavuna mema. RIP Sumari !
 
RIP J.Sumari,
Bwana aiweke Roho ya marehemu mahali pema peponi. Awafariji wanafamilia, ndugu na marafiki wote katika kipindi hiki kigumu. Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.

Mkuu hakikisha haibwi kura hata moja.RIP Sumari
 
RIP NAIBU WAZIRI WA FEDHA WA ZAMANI SIDHANI KAMA ALIAPISHWA KUWA MBUNGE HUYu
 
Alikuwa anapokea mshahara?
Alipewa ule mkopo wa shangingi?

Haya ni maswali ya msingi sana. Ingawa si vyema kufurahia kifo cha binadamu mwenzako,kifo cha Sumari ni fundisho kwetu katika kipindi hiki cha kuangalia upya katiba yetu. Haiwezekani mtu hajaapishwa rasmi kama mbunge,halafu apewe mafao yote ya mbunge.

Anyway pumzika pema Sumari.
 
mbunge wa Arumeru na naibu waziri wa fedha afariki dunia hospitali ya taifa Muhimbili
 
Back
Top Bottom