huyu sumari alipokuwa waziri nadhani kipindi anamjibu zitto utumbo alishaanza kuumwa ubongorip j.sumari,
bwana aiweke roho ya marehemu mahali pema peponi. Awafariji wanafamilia, ndugu na marafiki wote katika kipindi hiki kigumu. Bwana ametoa, bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe.
Kwa wataalam wa sheria,
Sheria zetu zinasemaje inapotokea mbunge mteule anafariki kabla ya kuapishwa?
Ungemuuliza kwanini jana alimkimbia mkuu wa nchi ningekuona wa maana sana!!Mkuu hakikisha haibwi kura hata moja.RIP Sumari
Huyo ni "aficionada" wa JF kama mimi. Akina Seif na Jussa wakikamilisha ile "project" yao atarudi. Utakumbuka tulikuwa na wasomi wazuri wakijiita WAHANGAZA. Kagame alipochukua Rwanda wote wako kule sasa.Barubaru bana yaani hupitwi chochote hapa bongo si urudi tu pemba? Nafurahia sana punctuality yako.
Kuna habari zimenifikia sasa havi kwamba Mbunge huyu amefariki!.
Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010.
Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!
Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.
allimdhulumu mgombea wa chadema tena kijana haki yake ya kuwa mbunge.....................may be this time around justice will shine once more.........