Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

unaakili sana. Nadhani ni vyema tuwe na utaratibu wa kupima afya kabla ya kupewa form. Kuhusu sumari, marehemu alikuwa ni mgonjwa sana kabla hata ya siku ya vchaguzi. Licha na kuwa naibu waziri wa fedha, hakuweza kutimiza ahadi na matarajio ya wapiga kura wake. Ukichamganya na ugonjwa, wameru wakaamua kumuweka pembeni na kumchagua nasar yoshua kuwawakilisha. Kwakuwa nec na tiss waliamua kutangaza walioshindwa, akiwemo wa godluck ole medeye, wameru wamekuwa wakinung'unika siku zote jambo lililomfanya azidi kuugua maana huwezi kufanikiwa kama kuna watu wananung'unika juu yako. Hatimae mauti yamemkuta. Kibinadamu, hatumwombei mtu kifo, lakini naamini wazee wanatikisa vichwa wakisikitika na kusema laiti angesikiliza matakwa yetu!? Anyway, poleni sana nancy na nakaaya. The situation is always hard when you father passaway! I experianced it 4yrs ago! R i p hayati j. Sumari!
marehemu ni nani kwa nakaaya na nans?
 
Poleni familia ya Jeremiah Sumari. RIP. Hivi ana undugu na Nancy Sumari na Nakaaya Sumari?
 
Pumzka salama,tuliobaki tumwombe mungu sana maana kifo kwa sasa ni sawa na kupanda lala.
 
Nawapa pole sana wananchi wa Arumeru kwa kuondokewa na kipenzi chao wao walimpenda ila mungu kampenda zaidi, mungu apumzishe roho yake mahala pema peponi. Amen
 
Mkuu sikuwa nafahamu kwamba Marehemu Sumari ndiye baba yake na Mr. Politician. Pole sana kwenu wana wa arusha.

sio baba yao na kina nancy , ni baba wa kisali , sioi , na joan . Sasa sijui kama joan ndo JS wa jf ?
 
There are currently 569 users browsing this thread. (121 members and 448 guests
 
tangu 2010 kumetokea vifo vingi sana vya wabunge na madiwani na wengine wanaugua,
 
Back
Top Bottom