Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Naomba matokeo ya ubunge Arumeru Mashariki 2010 nifanye tathimini kidogo tafadhari
[TABLE="class: arc90_altrows-Blue, width: 100%"]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]ARUSHA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]WILAYA YA MERU[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]ARUMERU MASHARIKI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%, bgcolor: #B3D5E6"]Candidate[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Political Party
[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Number of Votes
[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Percentage Votes
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] SUMARI JEREMIAH SOLOMON [/TD]
[TD="width: 20%"]
CCM
[/TD]
[TD="width: 20%"]34,661[/TD]
[TD="width: 15%"] 62.23[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOSHUA SAMWEL NASARI [/TD]
[TD="width: 20%"]
CHADEMA
[/TD]
[TD="width: 20%"]19,123[/TD]
[TD="width: 15%"] 34.33[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOHN YESAYA PALLANGYO [/TD]
[TD="width: 20%"]
CUF
[/TD]
[TD="width: 20%"]265[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.48[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] LINDA PENIELI BANA [/TD]
[TD="width: 20%"]
JAHAZI ASILIA
[/TD]
[TD="width: 20%"]176[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.32[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] FANUEL GABRIEL PALLANGYO [/TD]
[TD="width: 20%"]
TLP
[/TD]
[TD="width: 20%"]88[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] CHARLES MOSES MSUYA [/TD]
[TD="width: 20%"]
UPDP
[/TD]
[TD="width: 20%"]88[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] [/TD]
[TD="width: 20%"] [/TD]
[TD="width: 5%"] [/TD]
[TD="width: 15%"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]SPOILT VOTES[/TD]
[TD="width: 20%"] [/TD]
[TD="width: 20%"]1,297[/TD]
[TD="width: 15%"] 2.33 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]TOTALS[/TD]
[TD="width: 20%"] [/TD]
[TD="width: 20%"] 55,698[/TD]
[TD="width: 15%"] 100 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] [/TD]
[TD="width: 20%"] [/TD]
[TD="width: 5%"] [/TD]
[TD="width: 15%"] [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Ungemuuliza kwanini jana alimkimbia mkuu wa nchi ningekuona wa maana sana!!
Nani hasa kamkimbia mwenzake tukianzia:
Karimjee-Regia aliagwa kitaifa pale. Dr Slaa alikuwepo. JMK katimkia Morogoro.
Ifakara- Nyumbani na pale kiwanjani. Dr Slaa alikuwepo. JMK hakuwepo, kaja kuibukia makaburini. unasalimiana vipi na mtu mkubwa hivi makaburini?
Dr Slaa. Rudi kwenye misingi ya UKRISTO. Samehe 7*70. Wenye akili kama Reject wanadhani wewe ndie unaemkwepa JMK.
 
Kuna habari zimenifikia sasa havi kwamba Mbunge huyu amefariki!.

Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010.

Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!

Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.

UPDATE:

Naibu Spika kathibitisha habari hizi na marehemu alifariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali ya taifa - Muhimbili

SASA ANAKUWA VIPI MBUNGE? Huyu sio MBUNGE JAMANI AU SHERIA ZINASEMAJE?
 
R.I.P Sumari.. Mungu awape nguvu na uvumilivu wanafamilia. Kazi ya mungu haina makosa!!
 
Mkuu boresha heading hili kufikisha ujumba haraka.
Roho ya marehemu ilale kwema peponi
 
[TABLE="class: arc90_altrows-Blue, width: 100%"]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]ARUSHA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]WILAYA YA MERU[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]ARUMERU MASHARIKI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%, bgcolor: #B3D5E6"]Candidate[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Political Party
[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Number of Votes
[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Percentage Votes
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] SUMARI JEREMIAH SOLOMON [/TD]
[TD="width: 20%"]
CCM
[/TD]
[TD="width: 20%"]34,661[/TD]
[TD="width: 15%"] 62.23[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOSHUA SAMWEL NASARI [/TD]
[TD="width: 20%"]
CHADEMA
[/TD]
[TD="width: 20%"]19,123[/TD]
[TD="width: 15%"] 34.33[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOHN YESAYA PALLANGYO [/TD]
[TD="width: 20%"]
CUF
[/TD]
[TD="width: 20%"]265[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.48[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] LINDA PENIELI BANA [/TD]
[TD="width: 20%"]
JAHAZI ASILIA
[/TD]
[TD="width: 20%"]176[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.32[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] FANUEL GABRIEL PALLANGYO [/TD]
[TD="width: 20%"]
TLP
[/TD]
[TD="width: 20%"]88[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] CHARLES MOSES MSUYA [/TD]
[TD="width: 20%"]
UPDP
[/TD]
[TD="width: 20%"]88[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"][/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 5%"][/TD]
[TD="width: 15%"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]SPOILT VOTES[/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 20%"]1,297[/TD]
[TD="width: 15%"] 2.33 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]TOTALS[/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 20%"] 55,698[/TD]
[TD="width: 15%"] 100 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"][/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 5%"][/TD]
[TD="width: 15%"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kumbe Jimbo ni la CCM. Ngoja niwashawishi rafiki zangu akina Alex Kaaya na Kisali Pallangyo wakajaribu bahati yao. Lowasa atawasaidia. Ni watu wake wa karibu. Huku kungine wameshindwa. Alex kashindwa vibaya DAWASCO na Pallangyo MUHAS inaelekea kumwelemea. SIASA wataweza.
 
Inauma sana hasa kwe2 sis wafiwa! Mi ni mmoja wa watawaliwa wa aliekuwa mbunge japo sikumchagua! Je msiba huu utaongeza majonzi mara dufu mioyon mwa Watz, hasa wana Arusha au inakuaje? Je 2hamie Arumeru kuanzia leo na tutoke huko Ifakara kwa dada et kpenzi alotutoka, Regia, inatuchanganya tushinde wapi na tukalale wapi. R.I.P mhesh Jeremia.
 
Kwaheri Mzee Sumari! MODS post zote zinazoweza kuumiza familia na jamaa wa Mh Sumari zifutwe tafadhali! kuna watu humu mishipa ya utu imekatika!
 
Baada ya manung'uniko Mungu amesikia kilio chenu
wana arumeru

Poleni wana Arumeru japo kwenye red pana kaukweli. Nafikiri mbunge akikosa vikao vitatu mfululizo anakuwa amepoteza sifa ya kuwa mbunge. Sasa Marehemu alikosa kikao kile cha kuapishwa, kakosa cha january, mwezi wa nne, mwezi wa sita (cha bajeti) na mwezi wa kumi. Bunge na Tume ya Uchaguzi vilikaa kimya.

Je, Pamoja na kutokuapishwa, Hata kama alikuwa kaapishwa bado alikuwa na uhalali wa kuitwa mbunge? Naomba wanasheria mnisaidie
 
Nani hasa kamkimbia mwenzake tukianzia:
Karimjee-Regia aliagwa kitaifa pale. Dr Slaa alikuwepo. JMK katimkia Morogoro.
Ifakara- Nyumbani na pale kiwanjani. Dr Slaa alikuwepo. JMK hakuwepo, kaja kuibukia makaburini. unasalimiana vipi na mtu mkubwa hivi makaburini?
Dr Slaa. Rudi kwenye misingi ya UKRISTO. Samehe 7*70. Wenye akili kama Reject wanadhani wewe ndie unaemkwepa JMK.

ha ha!afadhali wewe umeliona hilo.mi nawashangaa sana watu wanaodai Dr slaa kamkimbia Jk.amkimbie kwa lipi?watu wengine huwa hawana jipya!
 
Nawapa pole wanafamilia hasa watoto wa marehemu kwa msiba huu mkubwa. Mzee Sumari amekuwa mwanasiasa na kushika nafasi mbalimbali serikali i.e Naibu waziri wa Fedha lakini kikubwa zaidi alikuwa ni baba mzazi wa watoto 3. Mungu awape nguvu wanawe katika kipindi hiki kigumu. RIP Mzee Sumari.
 
Back
Top Bottom