Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,655
- 593
Sioi amemuoa binti wa Edward Lowassa aitwae Pamela.....
RIP Sumari
Sioi amemuoa binti wa Edward Lowassa aitwae Pamela.....
Amefia MOI hospital
kafa kizalendo zaidi
Msiba upo Mbezi Maeneo ya Rainbow karibu na nyumba za BOT nyumbani kwa marehemu ! Waheshimiwa na mawaziri wamekuja kufariji familia. Kuna wanaJF wengi tu
Mbunge Jeremiah Sumari amefariki dunia. source: itv
jf nyie wakaliii ilishasemwa hapa juu ya idadi ya chaguzi ndogo kabla ya 2015 A mashariki ikiwemo. Poleni wafiwa
mkuu tukumbushe alijibuje na swali lilikuwaje kwa faida ya wengi