Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Kuweni makini sana ninyi watu ambao mmekuwa mkijitangaza kwamba ni wana chadema majina huku ndani ya JF; Kwani mmekuwa mkionyesha sura mbaya sana ambayo mwisho wa siku haijengi bali inabomoa, kumbukeni kuandika kauli za ajabu ajabu hazimaanishi watu watakusifia hapana ila watakudharau, hao wanaokusifia wanakudanganya na kukupotosha.Hamjatumwa na Chadema kuja kuzungumza maneno ya kashfa JF.
 
R.i.p, n ni mapema sana kuzungumzia uchaguzi wa jimbo. Tumpumzsheni mh Sumari kwny nyumba ya milele kwanza
 
Kuna ukweli mkuu nimehisi harufu ya magamba waliojivisha u-CDM wakibwatuka ovyo ili kuipaka matope cdm hivyo tukae macho tuwabaini na tu wakatae. Rip mzee Sumary.
 
Mwili hata haujapumzishwa mahala pake, tayari watu wanawaza uchaguzi. kuna papara gani ktk hili, wakati ukifika mtachonga sana humu mpaka vidole viote sugu. kwa sasa no no no, si busara hata kidogo. let him rest in peace wakuu. dhambi yake kubwa ni kujikuta yuko CCM hata tusimtendee haki? No no noooo
RIP mbunge wangu J.S Sumari.
 
Kwa wale waliokaribu ama ndugu jamaa na marafiki tunaomba mtupe updates za msiba kinachoendelea kwa kesho jamani kila mtu ajue kama msiba wa dadaetu regia,,jf ni ya wote nasi tuko pamoja nanyi kwenye msiba huu mzito tunaomba msiogope kuchukua nafasi hii kuutaarufu umma ataagwa lini atazikwa wapi lini na saa ngapi

mungu awatienguvu watoto wa marehemu pamoja na mamaetu mpendwa
 
Msiba upo Mbezi Maeneo ya Rainbow karibu na nyumba za BOT nyumbani kwa marehemu ! Waheshimiwa na mawaziri wamekuja kufariji familia. Kuna wanaJF wengi tu
 
Hivi kuna waziri anaeishi tandale au tandika kaburi moja?wote magheto yao yapo Tanzania ONE!!
 
Msizifungie akili zenu kwenye mfuko wa rambo, hivi fedha zikikudondokea utajizuia kufikiri jinsi ya kuzitumia?
 
Msiba upo Mbezi Maeneo ya Rainbow karibu na nyumba za BOT nyumbani kwa marehemu ! Waheshimiwa na mawaziri wamekuja kufariji familia. Kuna wanaJF wengi tu

KUNA WANAjf WENGI TU!
KAMA YUPI ASIYERUSHA NEWS YA HAPO INGALI WANAJUA JF NZIMA WANAJUA HILI!
WanaJF gani hawa waliopo kwenye msiba wakashindwa hata kutujuza chochote kinachoendelea!

Ama ndio wale mizigo humu!!
Aliyeko humo atupe News!
 
Ni juzi tu tar 17/01/12 nilikuwa pale stendi ya KIA nikisubiria usafiri wa shida ajabu toka pale Uwanja wa Ndege kwenda Arusha!
Na ndipo mpata kusikia uongozi wa chichiem ulivyo bomu anga hii!
Raia hawakubali wala hawajaiona.
Yani kazi kweli kweli!
Chichiem Kazi kweli kweli!
 
jf nyie wakaliii ilishasemwa hapa juu ya idadi ya chaguzi ndogo kabla ya 2015 A mashariki ikiwemo. Poleni wafiwa

Na bado,serikali tu zitenge hela zaidi za uchaguzi,maana yale majimbo yote yaliyotajwa hapa jukwaani yatakuwa wazi!
 
Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe. R.I.P J Sumari
 
nimesikia habari za kifo cha MH Jeremia Sumari (Wapo Redio Fm).kilichotokea usiku wa kuamkia leo.Mungu awape moyo wa ujasiri familia ya marehemu.
 
Back
Top Bottom