Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Inauma sana hasa kwe2 sis wafiwa! Mi ni mmoja wa watawaliwa wa aliekuwa mbunge japo sikumchagua! Je msiba huu utaongeza majonzi mara dufu mioyon mwa Watz, hasa wana Arusha au inakuaje? Je 2hamie Arumeru kuanzia leo na tutoke huko Ifakara kwa dada et kpenzi alotutoka, Regia, inatuchanganya tushinde wapi na tukalale wapi. R.I.P mhesh Jeremia.

Aliapishwa wapi?
 
[TABLE="class: arc90_altrows-Blue, width: 100%"]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]ARUSHA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]WILAYA YA MERU[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]ARUMERU MASHARIKI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%, bgcolor: #B3D5E6"]Candidate[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Political Party
[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Number of Votes
[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Percentage Votes
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] SUMARI JEREMIAH SOLOMON [/TD]
[TD="width: 20%"]
CCM
[/TD]
[TD="width: 20%"]34,661[/TD]
[TD="width: 15%"] 62.23[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOSHUA SAMWEL NASARI [/TD]
[TD="width: 20%"]
CHADEMA
[/TD]
[TD="width: 20%"]19,123[/TD]
[TD="width: 15%"] 34.33[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOHN YESAYA PALLANGYO [/TD]
[TD="width: 20%"]
CUF
[/TD]
[TD="width: 20%"]265[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.48[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] LINDA PENIELI BANA [/TD]
[TD="width: 20%"]
JAHAZI ASILIA
[/TD]
[TD="width: 20%"]176[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.32[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] FANUEL GABRIEL PALLANGYO [/TD]
[TD="width: 20%"]
TLP
[/TD]
[TD="width: 20%"]88[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] CHARLES MOSES MSUYA [/TD]
[TD="width: 20%"]
UPDP
[/TD]
[TD="width: 20%"]88[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"][/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 5%"][/TD]
[TD="width: 15%"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]SPOILT VOTES[/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 20%"]1,297[/TD]
[TD="width: 15%"] 2.33 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]TOTALS[/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 20%"] 55,698[/TD]
[TD="width: 15%"] 100 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"][/TD]
[TD="width: 20%"][/TD]
[TD="width: 5%"][/TD]
[TD="width: 15%"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Kumbe kina Bana ni wameru? Dr. Benson Bana Ukagombee Ubunge maana naona Uchambuzi wa kitaalamu unakushinda
 
Kuna habari zimenifikia sasa havi kwamba Mbunge huyu amefariki!.

Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010.

Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!

Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.

UPDATE:

Naibu Spika kathibitisha habari hizi na marehemu alifariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali ya taifa - Muhimbili

R.I.P Naibu Waziri wa Fedha
 
Jana tumemzika shujaa wetu Regia Mtema, wengi tulimwona shujaa wetu. Je huyu Jere100 ni shujaa?
 
Kumbe kina Bana ni wameru? Dr. Benson Bana Ukagombee Ubunge maana naona Uchambuzi wa kitaalamu unakushinda
Ben Bana ni wa Kagera pamoja na ndugu yake katika REDET, Mkandara na hawala yao Kilian. REDET inalipa kuliko Ubunge.
 
Rest in Peace Mzee Jeremiah.

Hakika sote na wa Mwenye Enzi Mungu na hakika kwake sisi sote tutarejea.
 
Wasambaa wana msemo wao usemao " ukitandika umvyedi na ugoshe mvyedi " usitegemee mbunge kama Livingstone Lusinde ( kibajaji ) yule Mbunge wa Mtera afe halafu apate heshima na maziko kama ya Regia! hapana hilo nakataa kabisa, kuna wabunge wengine wakifa ni Great relief kwa Taifa.
Kwa Marehemu Sumari R.I.P atazikwa kutokana na Historia ya matendo yake hapa Duniani, nadhani msiba wa Regia ni funzo kubwa kwa wanasiasa wote wanatakiwa wachague kuishi maisha ya namna gani!

Mkuu hapo umenena vyema,kweli maziko ya heshima na mwitikio wa watu katika msiba inategemea matendo yako hapa dniani,na kwa wanasiasa inategemea ulivyokuwa unawatendea watu na jinsi ulivyokuwa mtetezi wa watu,sasa wewe ulikuwa unatetea ufisadi na wizi wa mali za umma ambao ndio unachangia umasikini wa watanzania unategemea mwitiko mkubwa wa watu na heshima ipi?
Ni kweli kuna watu wanakuwa mzigo kwa wenzao hasa wanapokuwa madarakani,sio rahisi sana kulinganisha na msiba wa kamanda Rgia hata kidogo
 
Makada ccm huko Arumeru Mashariki muwe makini na wake zenu natumai Mwigulu Nchemba atakuweko kama Igunga msije laumu.Naongea kama Yohana mbatizaji...sauti ya mtu aliyae nyikani....

Mkuu kwani Mwigulu Hana famila mpaka Anavizia za wenzake? Hebu nijuze zaidi kamanda
 
Inauma sana hasa kwe2 sis wafiwa! Mi ni mmoja wa watawaliwa wa aliekuwa mbunge japo sikumchagua! Je msiba huu utaongeza majonzi mara dufu mioyon mwa Watz, hasa wana Arusha au inakuaje? Je 2hamie Arumeru kuanzia leo na tutoke huko Ifakara kwa dada et kpenzi alotutoka, Regia, inatuchanganya tushinde wapi na tukalale wapi. R.I.P mhesh Jeremia.
Acha porojo wewe!
 
[TABLE="class: arc90_altrows-Blue, width: 100%"]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]ARUSHA
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]WILAYA YA MERU[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="bgcolor: #B3D5E6, colspan: 4"]ARUMERU MASHARIKI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%, bgcolor: #B3D5E6"]Candidate[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Political Party
[/TD]
[TD="width: 20%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Number of Votes
[/TD]
[TD="width: 15%, bgcolor: #B3D5E6, align: center"]
Percentage Votes
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] SUMARI JEREMIAH SOLOMON [/TD]
[TD="width: 20%"]
CCM
[/TD]
[TD="width: 20%"]34,661[/TD]
[TD="width: 15%"] 62.23[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOSHUA SAMWEL NASARI [/TD]
[TD="width: 20%"]
CHADEMA
[/TD]
[TD="width: 20%"]19,123[/TD]
[TD="width: 15%"] 34.33[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] JOHN YESAYA PALLANGYO [/TD]
[TD="width: 20%"]
CUF
[/TD]
[TD="width: 20%"]265[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.48[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] LINDA PENIELI BANA [/TD]
[TD="width: 20%"]
JAHAZI ASILIA
[/TD]
[TD="width: 20%"]176[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.32[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] FANUEL GABRIEL PALLANGYO [/TD]
[TD="width: 20%"]
TLP
[/TD]
[TD="width: 20%"]88[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] CHARLES MOSES MSUYA [/TD]
[TD="width: 20%"]
UPDP
[/TD]
[TD="width: 20%"]88[/TD]
[TD="width: 15%"] 0.16[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] [/TD]
[TD="width: 20%"] [/TD]
[TD="width: 5%"] [/TD]
[TD="width: 15%"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]SPOILT VOTES[/TD]
[TD="width: 20%"] [/TD]
[TD="width: 20%"]1,297[/TD]
[TD="width: 15%"] 2.33 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 10%"]TOTALS[/TD]
[TD="width: 20%"] [/TD]
[TD="width: 20%"] 55,698[/TD]
[TD="width: 15%"] 100 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 30%"] [/TD]
[TD="width: 20%"] [/TD]
[TD="width: 5%"] [/TD]
[TD="width: 15%"] [/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Thanks mkuu: cdm Igunga 0-26,000 kwa Arumeru Mashariki cdm kutoka 19,000-50,000 ni kama kumsukuma mlevi.ccm record yao imekuwa ni ya kura kushuka sababu ya kukoswa mvuto
 
Kumbe Jimbo ni la CCM. Ngoja niwashawishi rafiki zangu akina Alex Kaaya na Kisali Pallangyo wakajaribu bahati yao. Lowasa atawasaidia. Ni watu wake wa karibu. Huku kungine wameshindwa. Alex kashindwa vibaya DAWASCO na Pallangyo MUHAS inaelekea kumwelemea. SIASA wataweza.


Alex Kaaya si nasikia amestafu DAWASCO ama nilipotoshwa?

Prof. Pallangyo anaweza kumudu siasa kweli MUHAS imemuelemea, tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000 nasikia wanafunzi wanamlalamikia lakini bado wamo tu. Kujuana na wakubwa wa nchi raha sana, hata ukiboronga wanakupa 😛oa
 
Back
Top Bottom