Mbunge Jacqueline Ngonyani (CCM): Ifungwe mitambo ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa

Mbunge wa Viti maalumu mh Jacqueline Ngonyani ( CCM) amesema ni wakati muafaka sasa ifungwe Mashine maalumu Bungeni ya kukagua Wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa

Source: Eatv
Hawa ndio watatuvusha kweli! Badala ya kuibana serikali huko Kuna watoto wanakaa chini hawana madawati.

Gharama za maisha ikiwemo chakula ziko juu kuliko kawaida..


Watu hawana uhakika na maisha yao sababu za gharama za Tiba na dawaa ziko juu kupitiliza hata kwenye hospitali za umma anasimama kujadili govi?

Kuna watu wana Iq ndogo Sana!
Hajui kukata govi kwenye jamii yetu Kuna makabila kwao Ni forbidden, na sio lazima? Anatuonesha kwamba uwepo wa magovi Bungeni maendeleo hayatajuepo?

Ni impact gani negatively nchi hii imepata kutokana na kuwa na magovi mengi!

Japo sisapoti watu kutokutahiriwa lakini hatuwezi kuwalipa watu mabilioni ya fedha kwenda kujadili govi wakati tuna Mambo mengi yanayotukabili Kama taifa
 
Mbunge wa Viti Maalumu, Jacquline Ngonyani (CCM), ametaka ifungwe mashine maalumu bungeni ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa.

February 7, 2019 Mbunge wa viti maalum CCM Jacqueline Ngonyani amemshauri Spika wa Bunge Job Ndugai kufunga mashine maalum Bungeni ambayo itakuwa na uwezo wa kuwakagua Wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa ili kusaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa mbalimbali.

Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Jacqueline Ngonyani ametoa ushauri kwa Wabunge ambao hawaja fanya tohara (hawajatahiriwa) watahiriwe haraka.

"Mh. Spika kuna suala la Mkono Sweta (Wanaume ambao hawajatahiriwa) , Mkono Sweta ni janga, mi nilikuwa nashauri tuanze na Wabunge wote humu ndani ambao pengine watabainika ambao hawajafanya hiyo tohara basi wa fanyiwe tohara mara moja," alisema Ngonyani leo Bungeni jijini Dodoma.

Aidha Mbunge huyo alisema kuwa mkono Sweta uaambukiza magonjwa mengi ukiwepo wa ukimwi amesema kuwa hiyo inaambukiza kwenye mwenye mkono sweta kwa mwanamke
HUYU sidhani kama anakunwa vizuri huyu na hizo Ndio dalili zake!!

Wahusika wafanye kazi yao vizuri!
 
Ukiona mtu analalamika ujue kuna mbunge wa mkono wa sweta alimuachia malaria ile kubwa...
na kwa hasira anataka spika avunje haki za wabunge ili kumuumbua huyo mchepuko wake mwenye mkono wa sweta
Sio hata lazimaiwe ile kubwa hata GONO afu jamaa kakataa katu katu kuwa Ni yeye na alikula utelezi dry!
 
Nimeshangazwa na Mbunge wa VITI MAALUM Jacquline Ngonyani akilitaka BUNGE lifunge MASHINE MAALUMU za kuwakagua WABUNGE WANAUME WASIOTAHIRIWA.
Hivi kweli Huyu Mbunge alikosa kabisa HOJA yenye TIJA kwa TAIFA akaona hii ndiyo
AIZUNGUMZE? Ndio maana tumekuwa Tunapaza Sauti kutaka KATIBA MPYA ili TUONDOE Wabunge wa VITI MAALUMU kwani HAWANA TIJA kwa TAIFA zaidi ya kwenda BUNGENI kutembea na kuuliza Maswali yasio ba AFYA kwa TAIFA huku Wakilipwa POSHO na MISHAHARA ambayo ingepelekwa hata kwenye VITUO vya WATOTO YATIMA Zikanunua CHAKULA na DAWA
VITI MAALUMU VIFUTWE ni UPOTEVU wa FEDHA za UMMA.View attachment 2510322
Kwenye mabadiliko ya mawaziri, huyu mama anafaa apewe uwaziri wa afya.
 
Jamani ndio akili za wabunge wetu. Duu sijui akapata wazo gani mpaka akaongea hivi ama ni overwhelmed of emotions
Dokta wa kiembesamaki alishasema hana muda kumfokea mtu ila anajua kuandika tu sasa tunasubiri mkeka wa season 5
 
As if tumemaliza matatizo ya nchi.....

Kwanza tufunge mashine za kuhakikisha tunapata nishati ya kutosha..., hayo mengine akashauriane na familia yake wakati hayupo kwenye payroll ya posho....
 
Back
Top Bottom