johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,258
- 144,393
Hahaha.......ujio wa TAL umeibua mengi!Vipaumbele vya ccm vinatisha !
Hahaha.......ujio wa TAL umeibua mengi!Vipaumbele vya ccm vinatisha !
Unamaanisha nini we jamaa!!?Mzee Mwenda angemmaliza huyu
Hawa ndio watatuvusha kweli! Badala ya kuibana serikali huko Kuna watoto wanakaa chini hawana madawati.Mbunge wa Viti maalumu mh Jacqueline Ngonyani ( CCM) amesema ni wakati muafaka sasa ifungwe Mashine maalumu Bungeni ya kukagua Wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa
Source: Eatv
Kateni hizo mikono za sweta acheni hasiraUnamaanisha nini we jamaa!!?
Mjue tupo macho hatujalala mjue!!
Mbona kama kuna uchochezi Fulani hivi unasukwa kimtindo!!?
Kuna WATU Wanataka mapigano ya wazi kabisa ya pande Mbili!!
Mnafuga uchafu kwenye hiyo mikono ya swetaHuko migombani mtapona na Hiyo Mashine?
HUYU sidhani kama anakunwa vizuri huyu na hizo Ndio dalili zake!!Mbunge wa Viti Maalumu, Jacquline Ngonyani (CCM), ametaka ifungwe mashine maalumu bungeni ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa.
February 7, 2019 Mbunge wa viti maalum CCM Jacqueline Ngonyani amemshauri Spika wa Bunge Job Ndugai kufunga mashine maalum Bungeni ambayo itakuwa na uwezo wa kuwakagua Wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa ili kusaidia kupunguza maambukizi ya magonjwa mbalimbali.
Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Jacqueline Ngonyani ametoa ushauri kwa Wabunge ambao hawaja fanya tohara (hawajatahiriwa) watahiriwe haraka.
"Mh. Spika kuna suala la Mkono Sweta (Wanaume ambao hawajatahiriwa) , Mkono Sweta ni janga, mi nilikuwa nashauri tuanze na Wabunge wote humu ndani ambao pengine watabainika ambao hawajafanya hiyo tohara basi wa fanyiwe tohara mara moja," alisema Ngonyani leo Bungeni jijini Dodoma.
Aidha Mbunge huyo alisema kuwa mkono Sweta uaambukiza magonjwa mengi ukiwepo wa ukimwi amesema kuwa hiyo inaambukiza kwenye mwenye mkono sweta kwa mwanamke
Haa Ccm Imepeleka Mizigo Bungeni Inalipwa Millions 500kweli maana kutotahiriwa kwao kunakwamisha maendeleo!!!!
Inaonekana kaonja iliyotahiriwaWabunge wanawake wa ccm sijui huwa wanawaza nini, kwani mume wake hamtoshi, ushauri wa hovyo kabisa huu kutoka kwa mbunge
Sio hata lazimaiwe ile kubwa hata GONO afu jamaa kakataa katu katu kuwa Ni yeye na alikula utelezi dry!Ukiona mtu analalamika ujue kuna mbunge wa mkono wa sweta alimuachia malaria ile kubwa...
na kwa hasira anataka spika avunje haki za wabunge ili kumuumbua huyo mchepuko wake mwenye mkono wa sweta
Kwenye mabadiliko ya mawaziri, huyu mama anafaa apewe uwaziri wa afya.Nimeshangazwa na Mbunge wa VITI MAALUM Jacquline Ngonyani akilitaka BUNGE lifunge MASHINE MAALUMU za kuwakagua WABUNGE WANAUME WASIOTAHIRIWA.
Hivi kweli Huyu Mbunge alikosa kabisa HOJA yenye TIJA kwa TAIFA akaona hii ndiyo
AIZUNGUMZE? Ndio maana tumekuwa Tunapaza Sauti kutaka KATIBA MPYA ili TUONDOE Wabunge wa VITI MAALUMU kwani HAWANA TIJA kwa TAIFA zaidi ya kwenda BUNGENI kutembea na kuuliza Maswali yasio ba AFYA kwa TAIFA huku Wakilipwa POSHO na MISHAHARA ambayo ingepelekwa hata kwenye VITUO vya WATOTO YATIMA Zikanunua CHAKULA na DAWA
VITI MAALUMU VIFUTWE ni UPOTEVU wa FEDHA za UMMA.View attachment 2510322
Dokta wa kiembesamaki alishasema hana muda kumfokea mtu ila anajua kuandika tu sasa tunasubiri mkeka wa season 5Jamani ndio akili za wabunge wetu. Duu sijui akapata wazo gani mpaka akaongea hivi ama ni overwhelmed of emotions
Huyu atakua amekutana na hiyo kitu ya mbunge ambae bado hajatahiriwaJamani ndio akili za wabunge wetu. Duu sijui akapata wazo gani mpaka akaongea hivi ama ni overwhelmed of emotions
Hahaha.......ujio wa TAL umeibua mengi!
Dokita musukuma na mpina na uhakika mashine itasoma positive