Wakuu naomba mwenye ujuzi anijuze njia zipi unaweza kutumia kukuza GPA kama ukimaliza na GPA ndogo. na pia nataka nijue ukimaliza chuo na GPA chini ya 3 unaweza kupata kazi
Habarini za asubuhi wakuu.
Ni desturi iliyopo kwa baadhi ya makabila na hata wazazi kuwapa wanao majina ya asili ,naweza kuita majina ya kiukoo..
Wale wote wenye majina ya asili naomba mtupe pamoja na Maana ya Hilo jina uliloitwa au ulilompa mtoto wako..japo baadhi huwa yanaleta ukakasii...
Habari zenu jamani kwanza niwape pongezi kwa ushauri wenu unatusaidia sana
Mimi ni Mwanachuo wa SAUTI ninaomba ushauri, wakati nafika Chuo Mwaka wa Kwanza kwenye orientation nilikutana na mdada mmoja alikuwa haelewi kinachoendelea kwenye orientation sa kwa huruma yangu nikaona nimsaidie...
Hello ladies and gentlemen, it's my hope that you're doing well.
The most important thing that intrigued me to put down this discourses is all about LOVE & APPRECIATION.
I have been tried to hide my feelings over you but as you know if you hide your problems and not seek help then you wont be...
Habarini za muda huu wakuu
Leo saa3 asubuhi nikiwa kitandani mara simu yangu ikaita "Bwii bwii,bwii bwii" nikashtuka kupokea chaliangu mmoko ananiambia kuna manzi kaniandalia.
Khaa!! What a fcuk!! Kaniandalia mamiloo kivipi tena? Ikabidi nimwambie anipe michapo vyedi, ndo akanipa full mkanda...
Machalii wa humu Eroo Suphai, Ma mamiloo Takwenyaa,,
Okay ngoja nichumpe mokomoko kwenye point, Nna kaka angu nnaemfata kabisa yeye ni wa pili kutoka mwisho kuzaliwa uku mimi nikiwa ndo wa mwisho....
Huyu broo ana mke ambae kamuoa mwaka jana tu apa mwezi kama wa9 ivi... Mkewe ni mpare wa Same...
Mbunge wa Viti Maalumu, Jacquline Ngonyani (CCM), ametaka ifungwe mashine maalumu bungeni ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa.
February 7, 2019 Mbunge wa viti maalum CCM Jacqueline Ngonyani amemshauri Spika wa Bunge Job Ndugai kufunga mashine maalum Bungeni ambayo itakuwa na uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.