warumi

  1. Wadiz

    USHUHUDA: Nakataa Duniani sisi siyo wapita njia, tusipuuze Kitabu cha Zaburi na Warumi

    Mungu katuumba sisi wanadamu Kwa akili tena Kwa mfano wake, na hii iko bayana ya kwamba mara kadhaa anatukaimisha majukumu yake, na ametupa uwezo huo sio kwa bahati mbaya. Mungu katuleta hapa duniani kwa kusudi kubwa sana, hapa tulipo tunapoishi kama miungu wenye umungu ndani yetu kila hatua...
  2. Sky Eclat

    Umuhimu wa chumvi enzi za Dola ya Warumi

    Chumvi ilikuwa na thamani kubwa sana katika utawala wa Warumi. Hakukua na umeme hivyo chumvi ilitumika kuhifadhia vyakula kama nyama na samaki. Kwa watu wa Pwani mnafahamu papa na ng’onda huu ni mfano wa vyakula vilivyo hifadhiwa na vilidumu kwa muda mrefu. Chumvi iliitwa dhahabu nyeupe na...
  3. Kasomi

    Ushahidi mkubwa hadi Sasa wa kusulubiwa wapatikana huko Uingereza kutoka nyakati za Warumi

    Moja ya ushahidi wa mwanzo wa kusulubishwa kwa warumi umepatikana katika mji uliyo katikati mwa Uingereza. Mfupa wa mwanamume uliyokuwa na msumari kupitia kisigino chake ulipatikana katika mji wa Fenstanton, karibu kilomita 115 kaskazini mwa London. Mtaalamu wa mifupa wa Chuo Kikuu cha...
  4. Kasomi

    Ushahidi mkubwa hadi sasa wa kusulubiwa wapatikana huko Uingereza kutoka nyakati za Warumi

    Moja ya ushahidi wa mwanzo wa kusulubishwa kwa Warumi umepatikana katika mji uliyo katikati mwa Uingereza. Mfupa wa mwanamume uliyokuwa na msumari kupitia kisigino chake ulipatikana katika mji wa Fenstanton, karibu kilomita 115 kaskazini mwa London. Mtaalamu wa mifupa wa Chuo Kikuu cha...
  5. Sky Eclat

    Sakafu za nyumba katika zama za Utawala wa Warumi

    Vipande vya vigae (mosaic) vilipangwa kuleta picha. Huhitaji zulia huu ndiyo urembo wa nyumba. Hii picha ikipatikana Uturuki.
  6. mama D

    Warumi (RIP) nimekumiss mwenzio

    Jioni kama hii ungekuepo ningekua napitia posts zako mpya au comments zako za habari za mjini, habari zenye mafunzo aka umbea wenye afya Nilikuaga najichekea mwenyewe ila kila kicheko na kichekesho toka kwako kilikua na mafunzo au shule ndani yake..... Dah kifo hiki💔😥👐 Kusema ukweli kuna...
  7. amu

    TANZIA Rambirambi za mwanachama mwenzetu Warumi

    Wanabodi, msiba ni kuzika. Ninawaomba tukamzike mwenzetu, tukamzika vipi?kwa kushiriki ibada ya kumuaga pale kanisani Muhimbili saa 8 mchana. Je, tutaenda kuaga hivi hivi mikono mitupu hapana ninaomba tujichange chochote kabla ya saa 8 mchana tukabidhi kwa familia. Ninaomba rambirambi zote...
  8. Superbug

    Je, Warumi alijua kwamba atakufa?

    Binafsi namchukulia warumi Kama shujaa kwasababu nimejiuliza maswali yafuatayo. Ugonjwa wake wa Figo sio kitu kilichokuja ghafla Kama ajali ya bodaboda ulianza polepole hatua kwa hatua mpaka ulipochukua maisha yake. Kama ndivyo Basi alivumilia Sana mateso hasa ya kujua kwamba atakufa hatapona...
  9. amu

    TANZIA Mwanachama mwenzetu Warumi afariki dunia akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Kwa masikitiko makubwa ninapenda kuwapa taarifa ya mdau mwenzetu humu anayeitwa warumi amefariki usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa anapambana kwa ugonjwa wa figo. Taarifa hii nimepewa na dada yake muda huu, msiba upo Tegeta . Msiba utasafirishwa kwenda Mbeya...
  10. Candela

    Warumi marufuku Tanzania?

    Habari wanajamvi, nazani wengi tunakumbuka namba za kirumi shule ya msingi, X = 10, XX = 20 na kuendelea. Baada ya kuwa watu wazima tukajitegemea na kuamua mambo yetu binafsi baadhi tulipendelea kuangalia video za warumi katika kujifunza zaidi kuhusu maana namba zao tunazijua. Sasa hivi...
  11. Sky Eclat

    Maisha yalivyokua katika Jeshi ma Warumi

    Warumi wa kale ndiyo walikua wazalendo wa kweli. Katika jeshi wa Warumi kuanzia cheo cha Major kwenda juu ni lazima uwe Mrumi kwa kuzaliwa. Askari wa wa chini ya cheo cha Major walikua ni raia nchi wanayotawala. Kazi ya Major kama hakuna vita ni kujenga miundo mbinu. Kuanzia barabara...
  12. Sky Eclat

    Warumi ndiyo waligundua vyoo. Vyoo vya kwanza vilikuwa na muonekano huu...

    Haya ma basin yaliweka maji ya kunawia, vyoo vilijengwa karibu na chemichemi na kulikua na mtiririko wa maji unaosafisha uchafu.
  13. Binti Abdullah

    Sarafu za malipo ya ngono enzi za Utawala wa Warumi

    Sarafu hizi zilitumika enzi za utawala wa dola ya rumi,na hasa zilitumika katika malipo ya ngono na ulilipwa tokana na aina ya mtindo uliotumia katika uasherati.Mfano mzuri ukitazama katika movie ya SPartacus. Because they show exactly what they were ment for - to pay a prostitute. Those coins...
  14. Harry singo

    Yu wapi Mwisho Mwampamba?

    Habari wadau. Nimejaribu kukumbuka hii love triangle ya Lord eyes, Ray c, na mwisho mwampamba, na naona angalau Hawa wawili Ray c na Lord eyes wanaonekana mahali walipo. Huyu ndugu yetu aliyeshinda mamilioni ya big brother yupo wapi jamani mwenye kujua, mwenye picha, mwenye taarifa yoyote...
  15. Kanungila Karim

    Bora Diamond wa Mbagala kuliko huyu wa Madale

    Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ WANAOUCHEZEA muziki wa Bongo Fleva hawajui historia yake na hawawafahamu waliotoka jasho na damu kuufanya ukubalike na uwe biashara. Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anayetamba kwa mafanikio anapita kwenye barabara ya kimuziki iliyochongwa na kuwekwa lami kwa...
  16. princemikazo

    Zamaradi Mketema ndani ya Clouds360 on Clouds TV,February 21.

    Aliekua Mpenzi wa Ruge Mutahaba ambae pia ni mzazi mwenzake,Zamaradi Mketema ambae amewahi pia kuwa mtangazaji pale Clouds Media Group(CMG) katika kipindi cha Take One kilichokua kikiruka Clouds TV,February 21 atakua live kupitia Clouds360 na Powerbreakfast pia, kuanzia mishale ya Saa1asubuhi...
  17. princemikazo

    Majizzo Ndani ya Clouds360 on Clouds Tv February 20

    Founder na CEO wa E-FM na TV E,Dj Majay aka Majizzo February 20 atakua katika kipindi cha asubuhi kinachoitwa Clouds360 kikiongozwa na Babie Kabae,Sam Sasali pamoja na Hassan Ngoma ndani ya Clouds Tv,,Swali je. .anaenda kuzungumzia nini?kama unajua jibu kaa nalo...
  18. Papaa Mobimba

    Mbunge Jacqueline Ngonyani (CCM): Ifungwe mitambo ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa

    Mbunge wa Viti Maalumu, Jacquline Ngonyani (CCM), ametaka ifungwe mashine maalumu bungeni ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa. February 7, 2019 Mbunge wa viti maalum CCM Jacqueline Ngonyani amemshauri Spika wa Bunge Job Ndugai kufunga mashine maalum Bungeni ambayo itakuwa na uwezo...
Back
Top Bottom