Mungu katuumba sisi wanadamu Kwa akili tena Kwa mfano wake, na hii iko bayana ya kwamba mara kadhaa anatukaimisha majukumu yake, na ametupa uwezo huo sio kwa bahati mbaya.
Mungu katuleta hapa duniani kwa kusudi kubwa sana, hapa tulipo tunapoishi kama miungu wenye umungu ndani yetu kila hatua...
Chumvi ilikuwa na thamani kubwa sana katika utawala wa Warumi. Hakukua na umeme hivyo chumvi ilitumika kuhifadhia vyakula kama nyama na samaki. Kwa watu wa Pwani mnafahamu papa na ng’onda huu ni mfano wa vyakula vilivyo hifadhiwa na vilidumu kwa muda mrefu.
Chumvi iliitwa dhahabu nyeupe na...
Moja ya ushahidi wa mwanzo wa kusulubishwa kwa warumi umepatikana katika mji uliyo katikati mwa Uingereza.
Mfupa wa mwanamume uliyokuwa na msumari kupitia kisigino chake ulipatikana katika mji wa Fenstanton, karibu kilomita 115 kaskazini mwa London.
Mtaalamu wa mifupa wa Chuo Kikuu cha...
Moja ya ushahidi wa mwanzo wa kusulubishwa kwa Warumi umepatikana katika mji uliyo katikati mwa Uingereza.
Mfupa wa mwanamume uliyokuwa na msumari kupitia kisigino chake ulipatikana katika mji wa Fenstanton, karibu kilomita 115 kaskazini mwa London.
Mtaalamu wa mifupa wa Chuo Kikuu cha...
Jioni kama hii ungekuepo ningekua napitia posts zako mpya au comments zako za habari za mjini, habari zenye mafunzo aka umbea wenye afya
Nilikuaga najichekea mwenyewe ila kila kicheko na kichekesho toka kwako kilikua na mafunzo au shule ndani yake..... Dah kifo hiki💔😥👐
Kusema ukweli kuna...
Wanabodi, msiba ni kuzika.
Ninawaomba tukamzike mwenzetu, tukamzika vipi?kwa kushiriki ibada ya kumuaga pale kanisani Muhimbili saa 8 mchana.
Je, tutaenda kuaga hivi hivi mikono mitupu hapana ninaomba tujichange chochote kabla ya saa 8 mchana tukabidhi kwa familia.
Ninaomba rambirambi zote...
Binafsi namchukulia warumi Kama shujaa kwasababu nimejiuliza maswali yafuatayo.
Ugonjwa wake wa Figo sio kitu kilichokuja ghafla Kama ajali ya bodaboda ulianza polepole hatua kwa hatua mpaka ulipochukua maisha yake.
Kama ndivyo Basi alivumilia Sana mateso hasa ya kujua kwamba atakufa hatapona...
Kwa masikitiko makubwa ninapenda kuwapa taarifa ya mdau mwenzetu humu anayeitwa warumi amefariki usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa anapambana kwa ugonjwa wa figo.
Taarifa hii nimepewa na dada yake muda huu, msiba upo Tegeta .
Msiba utasafirishwa kwenda Mbeya...
Habari wanajamvi, nazani wengi tunakumbuka namba za kirumi shule ya msingi, X = 10, XX = 20 na kuendelea. Baada ya kuwa watu wazima tukajitegemea na kuamua mambo yetu binafsi baadhi tulipendelea kuangalia video za warumi katika kujifunza zaidi kuhusu maana namba zao tunazijua.
Sasa hivi...
Warumi wa kale ndiyo walikua wazalendo wa kweli. Katika jeshi wa Warumi kuanzia cheo cha Major kwenda juu ni lazima uwe Mrumi kwa kuzaliwa. Askari wa wa chini ya cheo cha Major walikua ni raia nchi wanayotawala.
Kazi ya Major kama hakuna vita ni kujenga miundo mbinu. Kuanzia barabara...
Sarafu hizi zilitumika enzi za utawala wa dola ya rumi,na hasa zilitumika katika malipo ya ngono na ulilipwa tokana na aina ya mtindo uliotumia katika uasherati.Mfano mzuri ukitazama katika movie ya SPartacus.
Because they show exactly what they were ment for - to pay a prostitute. Those coins...
Habari wadau.
Nimejaribu kukumbuka hii love triangle ya Lord eyes, Ray c, na mwisho mwampamba, na naona angalau Hawa wawili Ray c na Lord eyes wanaonekana mahali walipo.
Huyu ndugu yetu aliyeshinda mamilioni ya big brother yupo wapi jamani mwenye kujua, mwenye picha, mwenye taarifa yoyote...
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
WANAOUCHEZEA muziki wa Bongo Fleva hawajui historia yake na hawawafahamu waliotoka jasho na damu kuufanya ukubalike na uwe biashara.
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anayetamba kwa mafanikio anapita kwenye barabara ya kimuziki iliyochongwa na kuwekwa lami kwa...
Aliekua Mpenzi wa Ruge Mutahaba ambae pia ni mzazi mwenzake,Zamaradi Mketema ambae amewahi pia kuwa mtangazaji pale Clouds Media Group(CMG)
katika kipindi cha Take One kilichokua kikiruka Clouds TV,February 21 atakua live kupitia Clouds360 na Powerbreakfast pia,
kuanzia mishale ya Saa1asubuhi...
Founder na CEO wa E-FM na TV E,Dj Majay aka Majizzo February 20 atakua katika kipindi cha asubuhi kinachoitwa Clouds360 kikiongozwa na Babie Kabae,Sam Sasali pamoja na Hassan Ngoma ndani ya Clouds Tv,,Swali je.
.anaenda kuzungumzia nini?kama unajua jibu kaa nalo...
Mbunge wa Viti Maalumu, Jacquline Ngonyani (CCM), ametaka ifungwe mashine maalumu bungeni ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa.
February 7, 2019 Mbunge wa viti maalum CCM Jacqueline Ngonyani amemshauri Spika wa Bunge Job Ndugai kufunga mashine maalum Bungeni ambayo itakuwa na uwezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.