Mbunge Jacqueline Ngonyani (CCM): Ifungwe mitambo ya kukagua wabunge wa kiume ambao hawajatahiriwa

Mkuu usipende kupotosha umma.
Alie sema hayo ni mbunge tena mwanamke.. na si joseph selasini
Mbunge wa Rombo ambaye ndio kaimu Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni amesema bunge la Kenya liliweka kifaa maalumu katika mlango mkuu wa bunge kuwatambua wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa.

Mh Selasini amesema Bunge la Kenya lilifanikiwa sana katika zoezi hili la kuwatambua wenye mikono ya sweta na kuwatahiri kwa nguvu, hivyo amemtaka Spika kuiga utaratibu huo.

Ikumbukwe mikono ya sweta huongeza kasi ya maambukizi ya ukimwi.

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa Rombo ambaye ndio kaimu Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni amesema bunge la Kenya liliweka kifaa maalumu katika mlango mkuu wa bunge kuwatambua wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa.

Mh Selasini amesema Bunge la Kenya lilifanikiwa sana katika zoezi hili la kuwatambua wenye mikono ya sweta na kuwatahiri kwa nguvu, hivyo amemtaka Spika kuiga utaratibu huo.

Ikumbukwe mikono ya sweta huongeza kasi ya maambukizi ya ukimwi.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani wao wanafaidika na nini wakimtahiri mwenzao kinguvu, kwani angetaka kutahiriwa si angeenda mwenyewe
 
Mbunge wa Rombo ambaye ndio kaimu Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni amesema bunge la Kenya liliweka kifaa maalumu katika mlango mkuu wa bunge kuwatambua wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa.

Mh Selasini amesema Bunge la Kenya lilifanikiwa sana katika zoezi hili la kuwatambua wenye mikono ya sweta na kuwatahiri kwa nguvu, hivyo amemtaka Spika kuiga utaratibu huo.

Ikumbukwe mikono ya sweta huongeza kasi ya maambukizi ya ukimwi.

Maendeleo hayana vyama!
Unapata faida gani kupotosha?
 

Attachments

  • C.jpeg
    C.jpeg
    70.3 KB · Views: 19
Mbunge wa Rombo ambaye ndio kaimu Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni amesema bunge la Kenya liliweka kifaa maalumu katika mlango mkuu wa bunge kuwatambua wabunge wanaume ambao hawajatahiriwa.

Mh Selasini amesema Bunge la Kenya lilifanikiwa sana katika zoezi hili la kuwatambua wenye mikono ya sweta na kuwatahiri kwa nguvu, hivyo amemtaka Spika kuiga utaratibu huo.

Ikumbukwe mikono ya sweta huongeza kasi ya maambukizi ya ukimwi.
Source Clouds 360

Maendeleo hayana vyama!
Mbunge CCM ataka ifungwe mashine Bungeni kuwabaini wabunge wasiotahiriwa - JamiiForums
 
Back
Top Bottom