Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,535
- 217,800
- Thread starter
- #41
Una roho ngumu sanaMkuu JPM haji kuaibika na Wala hata aibika kamwe.
Muda utaongea.
Una roho ngumu sanaMkuu JPM haji kuaibika na Wala hata aibika kamwe.
Muda utaongea.
Yaani.... neno 'Njuka' limenikumbusha mbali miaka hiyo...wewe Halima Mdee... hahahahaaaa.Form one tulikuwa tunawaita NJUKA wallah
Kwa Tume hii hii ya Mahera ?Uchaguzi wa wabunge urudiwe tu.
Kama jiwe mkuuuna roho ngumu sana
Kama sio nyie basi subiri anguko la KIJANI kuwaka Moto na kuwa majivu.Kwani sisi ndo tunalazimisha wale waingie bungeni?
Na kuonyesha kwamba Ndugai bunge limemshinda, ni issue ya kumuacha Kunambi kumshambulia Halima direct bila kupitia kwa spika. Huyu Ndugai ana tatizo kubwa sana kichwani. Bunge lina ongozwa na mgonjwa.Mbunge wa Mlimba (CCM), Godwin Kunambi amemuonya Mbunge (asiye na chama), Halima Mdee kuacha kuwaita wabunge wapya njuka kwa "lugha za kejeli, lugha za kuudhi ndani ya bunge na sisi wengine ni vijana pia, bado hata umri wa busara haujafika. Namuaonya tu, hamna njuka hapa.
Mambo ya kike ndo yanayo ongoza nchi, Wewe kama una mfumo dume wako, itabidi usubiri kwanza!Mlivyo na mambo ya kike Sasa.
Poleni.
Hivi Tanzania imeruhusu ubunge wa kujitegemea (indipendent MP)?Mbunge wa Mlimba (CCM), Godwin Kunambi amemuonya Mbunge (asiye na chama), Halima Mdee kuacha kuwaita wabunge wapya njuka kwa "lugha za kejeli, lugha za kuudhi ndani ya bunge na sisi wengine ni vijana pia, bado hata umri wa busara haujafika. Namuaonya tu, hamna njuka hapa.
Majibu anayo Mtukufu NdugaiHivi Tanzania imeruhusu ubunge wa kujitegemea (indipendent MP)?
CHADEMA itisheni mkutano wa baraza kuu mkamilishe mambo na kumwachia shughuli Ndugai.Mbunge wa Mlimba (CCM), Godwin Kunambi amemuonya Mbunge (asiye na chama), Halima Mdee kuacha kuwaita wabunge wapya njuka kwa "lugha za kejeli, lugha za kuudhi ndani ya bunge na sisi wengine ni vijana pia, bado hata umri wa busara haujafika. Namuaonya tu, hamna njuka hapa.
Tafsiri kidogo mkuuعَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ (رضي الله عنه) عَنْ النَّبِيِّ (صلى الله عليه و آله وسلم): ((آيَةُ الْمُنَافِقِ ثلاَثٌ إِذَا حَدَّثَ كَذَبَ وَإِذَا وَعَدَ أَخْلَفَ وَإِذَا اؤْتُمِنَ خَانَ)) متفق عليه . وفي رواية: ((وَإِنْ صَامَ وَصَلَّى وَزَعَمَ أَنَّهُ مُسْلِمٌ)) متفق عليه
Naunga Mkono Hoja 100%Tatizo la bunge letu ni "UKISEMA UKWELI" kosa.
"Halima Mdee & Covid-19 Co LTD" ni wabunge wasio na chama. Bunge la Speaker Ndugai ni dhaifu na la kijinga kukubali kuwa na wabunge wasio na chama.
Amen Man Of God.عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ (رضي الله عنه) عَنْ النَّبِيِّ (صلى الله عليه و آله وسلم): ((آيَةُ الْمُنَافِقِ ثلاَثٌ إِذَا حَدَّثَ كَذَبَ وَإِذَا وَعَدَ أَخْلَفَ وَإِذَا اؤْتُمِنَ خَانَ)) متفق عليه . وفي رواية: ((وَإِنْ صَامَ وَصَلَّى وَزَعَمَ أَنَّهُ مُسْلِمٌ)) متفق عليه
Mkuu samahani "nje ya mada" hivi Mlimba ni eneo la ubunge wa kurithishana?Mbunge wa Mlimba (CCM), Godwin Kunambi amemuonya Mbunge (asiye na chama), Halima Mdee kuacha kuwaita wabunge wapya njuka kwa "lugha za kejeli, lugha za kuudhi ndani ya bunge na sisi wengine ni vijana pia, bado hata umri wa busara haujafika. Namuaonya tu, hamna njuka hapa.
Waliwaalika wenyewe... wakawaapisha wenyewe... sasa wanawapanda vichwani kwa kuwapa majina wanayostahili wenyewe...Tatizo la bunge letu ni "UKISEMA UKWELI" kosa.
"Halima Mdee & Covid-19 Co LTD" ni wabunge wasio na chama. Bunge la Speaker Ndugai ni dhaifu na la kijinga kukubali kuwa na wabunge wasio na chama.
Alama za Wanafiq... ni tatu HAWASEMI ILA UONGO, WAKITOA AHADI HAWATIMIZI... NA WAFANYAPO IBADA LAZIMA WAJITAPE KWAZO...عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ (رضي الله عنه) عَنْ النَّبِيِّ (صلى الله عليه و آله وسلم): ((آيَةُ الْمُنَافِقِ ثلاَثٌ إِذَا حَدَّثَ كَذَبَ وَإِذَا وَعَدَ أَخْلَفَ وَإِذَا اؤْتُمِنَ خَانَ)) متفق عليه . وفي رواية: ((وَإِنْ صَامَ وَصَلَّى وَزَعَمَ أَنَّهُ مُسْلِمٌ)) متفق عليه