Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,246
Kuna Dokezo kwamba Wabunge wale 19 Wasaliti, waliojiuza na kuapishwa na Job Ndugai kwenye eneo la Gereji ya Bunge, huenda Wakaondolewa Bungeni kwa vile waliingizwa kinyume cha Sheria, inadaiwa kwamba hawana tofauti na lile zuio la mikutano ya hadhara lililoondolewa hivi karibuni .
Taarifa zaidi zinasema kwamba Jambo hili la kuondolewa bungeni kwa Halima Mdee , Sophia Mwakagenda na wenzao NI SEHEMU YA MARIDHIANO baina ya CCM na CHADEMA, na kwamba utekelezaji wake waweza kuwa ndani ya siku chache zijazo.
Uwezekano wa Wasaliti hawa kufukuzwa Bungeni ni zaidi ya 100% , Hii ni kwa sababu waliingia kwa kufoji , hata ile KESI YAO WALIYOFUNGUA MAHAKAMANI inapinga kuvuliwa Uanachama wao tu , HAIHUSIANI NA UBUNGE , hivyo basi wakivuliwa ubunge bado wanayo nafasi ya kuendelea na kesi yao , na ikiwa watashinda basi watarejeshewa uanachama wao (japo uwezekano wa kushinda ni kama hakuna).
Usaliti ni laana, Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu, Laana ya Usaliti yaweza kukikumba hadi kizazi cha nne cha Mhusika .
INASIKITISHA SANA!
Taarifa zaidi zinasema kwamba Jambo hili la kuondolewa bungeni kwa Halima Mdee , Sophia Mwakagenda na wenzao NI SEHEMU YA MARIDHIANO baina ya CCM na CHADEMA, na kwamba utekelezaji wake waweza kuwa ndani ya siku chache zijazo.
Uwezekano wa Wasaliti hawa kufukuzwa Bungeni ni zaidi ya 100% , Hii ni kwa sababu waliingia kwa kufoji , hata ile KESI YAO WALIYOFUNGUA MAHAKAMANI inapinga kuvuliwa Uanachama wao tu , HAIHUSIANI NA UBUNGE , hivyo basi wakivuliwa ubunge bado wanayo nafasi ya kuendelea na kesi yao , na ikiwa watashinda basi watarejeshewa uanachama wao (japo uwezekano wa kushinda ni kama hakuna).
Usaliti ni laana, Kwa Mujibu wa Maandiko Matakatifu, Laana ya Usaliti yaweza kukikumba hadi kizazi cha nne cha Mhusika .
INASIKITISHA SANA!