Mbunge Chiku Abwao apata ajili, anusurika kifo

Pole sana Chiku!
Bila mikanda ya usalama mngetokea kwenye windscreen!
Ombeni Mungu sana!
 
Ubahili na ufinyu wa kufikiri, labda mniambie katokea Dar, lakini kama katoka Dodoma kaja mpaka Morogoro halafu aende Iringa kwa kufata lami tu, na wakati ana gari kwa ajili ya matumizi ya off-road. Ndio ukisikia sikio la kufa halisikii dawa ndio hayo.
ubahili gani wewe? Na kama anamatatizo yk binafs yasiyompasa apite barabara za vumbi ni ubahili.
 
Ajali haina kinga, kisa cha kutoka Dodoma ukapita Doma? wakati kuna njia Dodoma - Iringa, shortcut kabisa. Una VX halafu unaona ubahili kulipitisha rough road, faida yake nini kuwa na gari kama hilo?

Distance between Iringa and Dodoma is 177.66 km

Dodoma - Morogoro 224 km - Iringa 242 km Total: 466 k,

Iringa - Dodoma via Migoli - Mtera - Fufu ni 266km sio 177.66
 
Ubahili na ufinyu wa kufikiri, labda mniambie katokea Dar, lakini kama katoka Dodoma kaja mpaka Morogoro halafu aende Iringa kwa kufata lami tu, na wakati ana gari kwa ajili ya matumizi ya off-road. Ndio ukisikia sikio la kufa halisikii dawa ndio hayo.

mnajua kuwa alikua na ratiba gani mpaka akapitia morogoro? au kwa nini aliondoka usiku? mnatoa lawama za kijinga pasipo kufahamu ratiba ya mtu je kwani hizo barabara zimejengwa kwa watu fulani tu kutoka njia fulani tu? au kwa mtu yeyote kulingana na mipango yake ya safari? hoja zenu ni za kiunafki na chuki binafsi
 
MBUNGE CHIKU ABWAO ANUSURIKA KUFA AJALI YA GARI

DSCF0307.JPG
DSCF0308.JPG
DSCF0316.JPG
DSCF0300.JPG


Mbunge wa viti maalum mkoa wa Iringa kupitia chama cha Demokrasia na maendeo (Chadema) Chiku Abwao amenurika kifo baada ya gari lake lenye namba za usajili T 252 BSX VX ambalo alilokuwa akisafiria kutoka Dodoma kuja Iringa kukwanguliwa na fuso katika eneo la Doma mkoani Morogoro usiku wa leo

Akizungumza na Francis Godwin, leo mbunge huyo alisema kuwa lori hilo aina ya fuso lilimfuata upande wake na kumgonga na kuendelea na safari na kuwa bila umakini wa dereva wake hali ya usalama wake ulikuwa mdogo sana.

Kwani alisema kuwa lori hilo baada ya kukwangua upande wa dereva halikuweza kusimama liliendelea na safari na wao kupelekea taili la moja lilipasuka na kupelekea gari lao kuhama njia.

Hata hivyo alisema katika gari hilo walikuwa yeye na dereva wake na kuwa hakuna aliyejeruhiwa kutokana na kufunga mikanda na kuwa mikanda na mwendo mzuri wa dereva wake ndio umesaidia kupona katika ajali hiyo.

Pole Dada Chiku, Ila hapo kwenye RED napenda kukupa point of education, MUNGU pekee ndio amewaponya na kuwaepusha na mauti na wala sio hiyo mikanda na mwendo mzuri.

Wangapi wanakufa wakiwa wamefunga mikanda na kwenda kwa mwendo mzuri ila Malori yanawaparamia na kuwaponda.

Mshukuru MUNGU wa mbinguni na umpe utukufu wake. Amin!!!
 
We Rejao vipi, kwani nyinyi mnatoana kwa staili gani, Ki Kolimba Kolimba nini? Kumbuka kuna uchaguzi Arumeru Mashariki, nayo hiyo ni kafara nini?
Hili swala inabidi tuwaulize wazee wazima CDM...wao ndio wataalamu wa kutoa watu kafara kwa kutumia kigezo cha ajali!
 
Pole Dada Chiku, Ila hapo kwenye RED napenda kukupa point of education, MUNGU pekee ndio amewaponya na kuwaepusha na mauti na wala sio hiyo mikanda na mwendo mzuri.

Wangapi wanakufa wakiwa wamefunga mikanda na kwenda kwa mwendo mzuri ila Malori yanawaparamia na kuwaponda.

Mshukuru MUNGU wa mbinguni na umpe utukufu wake. Amin!!!

Acha unafiki............Mungu mnamkumbuka n akumshukuru tu pale mnapopona so unataka kutuambia kifo cha Regia Mungu hakupanga??hapa duniani tu wapitaji na Mungu pekee ndie anaejua tutarudi vipi kwake..iwe kwa ugonjwa au ajali...that why tunamshukuru yeye alie juu kila siku kwa kila jambo...bwana asifiwe sana
 
Aisee pole sana kamanda... hawa madereva wa malori wamezidi sana ubabe, watatumaliza
 
Kwanini anasafiri usiku? Tuanzie hapo kwanza.
Binti usikurupuke, viongozi wengi sana wanalazimika kusafiri usiku kwasababu ya kazi zao.
Kama unatakiwa kuwa Bungeni kwa kikao kinachoisha saa kumi jioni (mkumbuke nyie ndio huwa mnapiga kelele kwamba wabunge hawapo bungeni). then kama antakiwa kwenye kikao cha dharura cha Halmashauri, labda cha madiwani jimboni kwake, na ni issue muhimu (mnafahamu hivi vikao huwa vinapangwa kijanja ili wabunge wasiweze kuhudhuria??, probably hujui hilo), unategemea asisafiri usiku??

Think, don't just eat!!
 
Ajali haina kinga, kisa cha kutoka Dodoma ukapita Doma? wakati kuna njia Dodoma - Iringa, shortcut kabisa. Una VX halafu unaona ubahili kulipitisha rough road, faida yake nini kuwa na gari kama hilo?

Distance between Iringa and Dodoma is 177.66 km

Dodoma - Morogoro 224 km - Iringa 242 km Total: 466 k,

Kutoka Dodoma-Morogoro 224 km sawa Toka Morogoro- Iringa Km 305 jumla ni Km 529 mzee hiyo ndo njia yangu
 
Jina lake imenifanya nimkumbuke aliyekuwa rafiki yangu kipenzi na mtunzi mahiri sana Agolo Anduru. pasi na shaka Abwao ni mtu wa kule kule.

Pole sana Mh Abwao, nakushauri usipende kutembea usiku kama huna shughuli za lazima. Kwani uhai ni bora na kumbuka watu wanakutegemea sana kama kiongozi wao na mwakilishi wao bungeni.
 
wanataka kutumalizia makamanda wetu'uanzishwe mkakati wa jinsi watu muhimu watakavyosafiri'msisahau huyu kamanda anachukua jimbo 2015'tuwaze mbali zaidi'je kuna mkono wa mtu??
 
Back
Top Bottom