Mbunge Chiku Abwao apata ajili, anusurika kifo

Mbunge Chiku Abwao apata ajili, anusurika kifo

Ubahili na ufinyu wa kufikiri, labda mniambie katokea Dar, lakini kama katoka Dodoma kaja mpaka Morogoro halafu aende Iringa kwa kufata lami tu, na wakati ana gari kwa ajili ya matumizi ya off-road. Ndio ukisikia sikio la kufa halisikii dawa ndio hayo.
 
Mungu amekunusuru dada,
usiache kumshukuru. Pole Mheshimiwa.
 
Kwanini anasafiri usiku? Tuanzie hapo kwanza.

Acha hizo ww kwan kusafiri ucku ndo chanzo gari nyingi tu husafiri ucku na mara chache ajali hutokea. Mi nadhani ile ni ajali ambayo ingeweza tokea wakati wowote! So acha ujinga.
 
Huyu mama anatumia mkorogo nini? Huo weupe wake unanipa wasiwasi

Unauliza jibu? Nasikia wanaotumia hiyo kitu wakipata ajali vidonda haviponi haraka, ashukuru sana kama ni hivyo.
 
Pole sana mama Abwao. Madereva wengi wa Mafuso ni vichwa moto kama waendesha bodaboda na bajaj!
 
Kwanini anasafiri usiku? Tuanzie hapo kwanza.

Hata mimi nimejiuliza hili swali, ama labda alikuwa na dharura na alilazimika kusafiri usiku?
Ila usiku siyo muda salama sana wa kusafiri as Madereva wengi wa magari makubwa hupenda kuendesha magari yao katikati ya barabara kuepuka kuingia mitaroni kutokana na wembamba wa barabara zetu....
 
Pole saana Mheshimiwa Kamanda wetu Chiku, tunashukuru Mungu kwa kukunusuru na hiyo ajali!!!Tunamuomba Mungu aendelee kuweka ulinzi kwa viongozi wetu wote na kuwaepusha na ajali!
 
Kwenye ile list ya kurithi nafasi ya viti maalum nani anafuatia? Naona CDM wanamalizana wenyewe kwa wenyewe taratiiibu, mbaya zaidi kwa staili ile ile ya ajali!!
We Rejao vipi, kwani nyinyi mnatoana kwa staili gani, Ki Kolimba Kolimba nini? Kumbuka kuna uchaguzi Arumeru Mashariki, nayo hiyo ni kafara nini?
 
Ajali haina kinga, kisa cha kutoka Dodoma ukapita Doma? wakati kuna njia Dodoma - Iringa, shortcut kabisa. Una VX halafu unaona ubahili kulipitisha rough road, faida yake nini kuwa na gari kama hilo?

Distance between Iringa and Dodoma is 177.66 km

Dodoma - Morogoro 224 km - Iringa 242 km Total: 466 k,
Tusikimbilie kulaumu tu kila jambo. AJALI HAINA KINGA, ila tunatakiwa kuchukuwa tahadhari. Nawapeni pole sana Chiku na dereva kwa ajali hiyo.
 
Pole Mh. CA.
Naamini sio umafia bali ni Mambo ya Barabarani tu. Ukumbuke kumtolea sadaka Muumba wako kwa kukunusuru
 
Asante Yesu. Shetani na mbinu zake ameshindwa. Pole sana mheshimiwa. Endelea na mapambano
 
Siwezi kumlaum mh et kwakua kapita morogoro wakat kuna short way ya dodoma iringa,kwanza vx za version hiyo sio nzuri sana kwenye rough road coz zinahama sana kwenye rough road so ingekua ni hatari zaidi ukizingatia ilikua usiku ingekua ni nissan patrol hapo tungeweza mlaumu kwa kutopta huko maana hyo ni d best kwenye those roads,pili hiyo gari ni ya mkopo hivyo ni yake na anawajibu wa kuitunza awezavyo xo as long as mafuta anayo kwanini aptishe gari yake kwenye rough road wakat hana ulazima wa kufanya hivyo,ol in ol mshukuru mungu mama
 
We thank God for your survival!!!ukatoe shukran ya pekee msikitini kama nanyie mnayo kama ambavyo wakristo huwa tunafanya Mungu anapokuwa amekutendea jambo kubwa
 
Back
Top Bottom