Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Status
Not open for further replies.
MBOWE NI KAMA MREMA WOTE NI MADIKTETA
Mtikisiko unaokikumba chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA), ni kielelezo cha kwanza kufumuka hadharani kuhusiana na udikteta alionao mwenyekiti wake Freeman Mbowe

Hatua ya kusimamishwa uongozi kwa makamu mwenyekiti wa chama hicho, Chacha Wangwe ni jambo lililokuwa likitazamiwa tangu siku nyingi kutokana na tabia ya mbowe kutotofautiana na ile ya mwenyekiti wa taifa wa TLP, Augustine Mrema ambapo wote ni madikteta.

Kama alivyo mrema, Mbwe naye anataka kuiongoza Chadema kwa misingi ileile ya kidikteta ya kutotaka changamoto inayokinzana na mawazo yake hata kama anayetoa mwelekeo tofauti atakuwa anafanya hivyo kwa ajili ya maslahi ya chama.

Kelele za chini kwa chini zilizokuwa zikitolewa na baadhi ya wanachama na viongozi wa Chadema kuhusu ruzuku inavyotafunwa kwa fujo na "vigogo" wa chama hicho makao makuu wakiongozwa na Mbowe, hazikuwa za siri kama anavyofikiri.

Kilichokuwa kinapungua ni nani angesimama hadharani na kuusema uoza huo wa siku nyingi.

Mbowe na kikundi chake chenye watu kama Dk. Wilbroad Slaa, Zitto Kabwe, John Mnyika, Anthony Komu na marafiki wengine wachache ndio waliokuwa wakitumia kisingizio cha kulipana madeni, kulipia gharama za helikopta na kadhlika, kujitwalia mamilioni ya ruzuku huku ngazi za chini kuanzia mikoa, wilayani, kata na matawini kukiwa hakupelekwi hata senti tano.

Tunamshukuru Chacha Wangwe kwa kutokuwa mnafiki, kiongozi ambaye msimamo wake wa kutaka fedha za ruzuku zipelekwe wilayani unaungwa mkono na kila mwenye mapenzi mema na chama chake.

Uongo wa mbowe na kamati kuu iliyohongwa unaodai eti Wngwe anatoa siri za chama anaandaa, kufadhili na kushiriki vikao vya kukihujumu chama hicho hauwezi kuaminika popote isipokuwa pale ambapo pamejaa fitina, viyisho na uzandiki.

Wanachama wa Chadema wanafahamu wanavyohangaika kutafuta fedha za kulipia ofisi matawi ni, kata, wilayani na mikoani huku milioni 66 za ruzuku inayotolewa na serikali kila mwezi zikiishia mifukoni mwa Mbowe na viongozi wenzake wa makao makuu wasiokuwa na nia njema kwa chama.

Wangwe aliyeanza kupigwa vita tokea mapema wakati akigombea umakamu mwenyekiti mapema mwaka huu ndiye shujaa wa chama kutokana na msimamo wake wa kutetea haki na demokrasia.

Waliokuwa hawaujui udikteta wa Mbowe na unafiki wa viongozi kama Slaa, Zitto na Mnyika waanze sasa kutambua ukweli.

Lazima wanachama na viongozi wa Chadema waliopo ngazi za mikoa, wilaya, kata na matawi washikamane kwa nguvu zao zote ili kuhakikisha kuwa "wanakufa" na Wangwe.

Huyo ndiye shujaa na mkombozi wa kweli wa jasho lao walilotoa mwaka 2005 na kukiwezesha chama hicho kupata ruzuku ya shilingi milioni 66 kila mwezi hivi sasa.
Aluta continua

Huu ujanja wenu kawapelekee wajinga wenzenu. Historia imeshatufunza mengi, na sasa tunajua mnakotaka kuelekeza mawazo ya Watanzania. Hakika mtaendelea kujiuma na kuumana, hamtafanikiwa kuwadhoofisha wapiganaji na wanaharakati wote. Tutaendelea kupambana na ufisadi wenu CCM hata kama mtajivika makoti ya wengine na kutumia pesa hizo kuvuruga wananchi. Katika hili, mmenoa. Hebu tafuteni mkakati mpya!
 
its the matter of time and the truth will be known!!! be patient comrades
 
huu mjadala,is getting in my nerves,mbowe a failure,mbowe this, mbowe hana madarasa,so what; history as shown us,tanzania is a mad mans head,hence any tom,dick and harry can govern.i dont see what all the fuss is about,if wasomi have governed the country,and yet its galloping backwards.character assasinations will do us no good,if his time is to come,let him carry the gauntlet and we will judge him accordingly.how many competent presidents have we had?and were are we?obsolutely right we are nowhere
 
I guess the author of this thread could have given us his definition of the term failure? Mara nyingine tunajikuta kwenye mijadala tusiojua maana halisi ya dhana tunayoijadili. Mfano mzuri ni slogan ya chama flani cha siasa "maisha bora kwa kila mtanzania", tungewauliza wana maana gani na hiyo slogan, leo tusingelalamika kwamba maisha magumu! Tell us what do you mean by the term FAILURE?
 
Mbowe amonekana Failure muda mrefu sana,toka waanze migogoro na Wangwe inaonesha kuwa kashindwa kuwa kiongozi,

Migogoro katika Chama haitakiwi kuhususha viongozi wakubwa kama yeye,na sasa hii tabia wanayofanya ya kumtumia Mnyika kusema watakayo wao itawaletea matatizo kwasababu watu ndiyo watawachoka zaidi
 
Mbowe amonekana Failure muda mrefu sana,toka waanze migogoro na Wangwe inaonesha kuwa kashindwa kuwa kiongozi,

Migogoro katika Chama haitakiwi kuhususha viongozi wakubwa kama yeye,na sasa hii tabia wanayofanya ya kumtumia Mnyika kusema watakayo wao itawaletea matatizo kwasababu watu ndiyo watawachoka zaidi
Gembe,
If Mbowe had been a failure you wouldn't be here discussing him, would you?
You are obsessed with the man because he has succeeded where you have not. Get a life!
 
Gembe,
If Mbowe had been a failure you wouldn't be here discussing him, would you?
You are obsessed with the man because he has succeeded where you have not. Get a life!
sense ya ubaguzi tayari..

kama mtu akiwa failure ndiyo watu wasimjadili..

Yes i said,Mbowe should step down and leave CHADEMA to other people who are ready to bring Wangwe ideas into use.
 
Gembe,
If Mbowe had been a failure you wouldn't be here discussing him, would you?
You are obsessed with the man because he has succeeded where you have not. Get a life!

you are rightABOUT gEMBE! why envy a man who is trying to make it happen. if Gembe thinks they are better than Mbowe, then they should have their own CHAMA and try and accomplish whaT mBOWE HAS DONE SO FAr. Envy and jealousy thtat's what i call it
 
Hallow wana Jf

Tahadhari,sishabikii chama chochote.

Narudi kwenye mada huyu Freeman anatajwa sana sasa hasa baada ya kifo cha Mh. Wangwe tatizo nini? hofu ya nini? huyu GT anazungumza kana kwamba kaagizwa kama yalivyofanya magazeti ya hapa TZ siku ya maziko ya Mh. Wangwe yote yanakuwa na habari moja sasa sijui wahariri walihariri habari hizo au wanahabari kama ndiyo walioandika hizo habari kama si MAKANJANJA walitumia nafasi ya wahariri kutokuwepo wakafanya wanalotaka. Sasa yamekuja haya yakufeli swali kwa wanzisha mada je kuna hofu na huyu mtu au ni mchakato wakutuhamisha wachangia mada kutoka kuchangia mada za msingi tunajadili watu please let go back tujadili inchi ilipo je anayetuongoza AMEPASI AU AMEFAULU? Natoa hoja
 
sense ya ubaguzi tayari..

kama mtu akiwa failure ndiyo watu wasimjadili..

Yes i said,Mbowe should step down and leave CHADEMA to other people who are ready to bring Wangwe ideas into use.

Like I said, get a life!
 
Oh really? In what ways has Mbowe suceeeded where Gembe has failed? Please expound.

ENVY AND JEALOUSY that's what i call it...Do your thing and le t every body see kwani?!!!


leave Freeman alone...How can the whole JF jadili one man...are they wana JF afraid or envious ebu tell
 
Kwani JF ni ya CHADEMA?..usikurupuke fikiria kwanza kabla ya kunijibu tafadhari....
 
Ochu na mwanzilishi wa mjadala sijawaelewa...kwanza mjadala wa failure ya Mbowe ochu umeanza kumjadili Mnyika vp?ooh alipenda mwenyewe siasa mara udsm vp?

Afu lazima tuangalie tukijadili failure atanabaishe vyema analenga nini hasa?!

ukiangalia hata mabadiliko ya kisiasa hadi sasa anakuwa katika mjadala ni moja wapo ya kufaulu .......nadhani hapa kuna kitu for real!
 
freeman mbowe hivi sasa yupo katika kozi yake ya chuo kikuu kimoja cha england, nafikiri ni hull university pia anasoma na japan.kwahiyo soon atakuja na nguvu mpya ya kisiasa na kibiashara!! jamaa ni tishio kwa upinzani wa hapa nyumbani bongo.wamejaribu kumzushia kashfa lakini jamaa bado anapeta kisiasa na kiushawishi.
 
hii imefichwa huku strategically...wakati ilikuwa kwenye siasa ambako kuna threads zaidi ya 10 kumjadadili JK

INTERESTING...
 
Hivi huyu mbowe anasoma nini huko uk? ninapatwa na wasiwasi asijekuwa mwanafunzi mwenye umri mkubwa kuliko wote wanaochukua shahada ya kwanza huko uk.

kaogopa nini kusoma udsm! sasa atatuongozaje sie wakati kashindwa hata kuthamini elimu yetu.

naimani hasomi havard wala cambridge, sasa tutajuaje kuwa elimu aliyopata huko itamsaidia kututawala kwa usahihi!

Kila ishu ya bongo yupo! sasa hizo course work anazifanya saa ngapi? au alishadisco! mh.sumaye alipokuwa havard alitulia kabisa kwani shule ya havard sio mzaha.
 
Wewe Chinga ni Mpuuzi na Kada mbaya sana kwa Chama Chako na Watu wanaokutuma kusema maneno ya ovya kama haya, Uwezi kujilinganisha na Mbowe hata kidogo maana hata Huyu mkubwa wako wa kaya anajua haya ndio maana unaweweseka sasa hivi, Ukweli Mnaweweseka sasa hivi. Ucha uzushi huo usiokuwa na Tija, Sema Pesa zetu mnapeleka wapi?? Mbona kwa Kipindi sasa tuonaona EPA, Meremeta, Kagoda, Mwananchi Na Ufisadi mwengine, Mabwana Zako wanasemaje??
 
Jamani anachoongea Chinga ni cha kweli.....kabisa!! Someni vizuri na kwa makini mana anachokisema jamaaa kina ukweli ndani yake.......... Mtu mzima huyo na ameyafanyia uchunguzi maongezi yake anayoyasema hivyo tusianze kumnanga mtu........... nd' mana ya forums ukiona hayakufai au yanakuchefua basi achana nayo............. ila CHADEMA ni SACCOS ambayo inawafaidisha baadhi ya watu. ukweli nd' huo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom