Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 744
Mnyalu Umalaya si sabau moja ya kuiba?
Nani asiye jua kwamba nyumba ndogo ina gharama kuliko mkeo wa ndoa?
Mali ya umma inapotea kwa sababu ya Life Style ya Viongozi wetu mnawaacha watimize hamu zao za ngono kila kona, mafichoni mnalalamika tunaibiwa.
Wizi ni matokeo tu, viongozi hawaibi kwa sabu ya kuiba wana yao mambo. Mojawapo ni ngono.
Wizi una chanzo au vyanzo vyake, chanzo kimoja cha wizi ni kuhaha fedha za kuhonga kwa nia ya kujikimu Kingono.
Wazee wangapi mitaaniwamefilisi biashara zao kwa ngono?
Mashirika mangapi yamekufa ngono ikiwa ni moja ya sababu kubwa?
Watu wangapi wapata digirii kwa sababu ya ngono?
Wangapi wameteuliwa kushika nyadhifa kubwa kwa sabau ya ngono?
Hapo ndipo Tochi yetu inapomulika kutaka kubaini nani kaoza kwenye hilo.
Kutibu tatizo la wizi ni lazima tujue vitabia shawishi vya viongozi wetu.
Kiongozi yeyote anaye penda ngono.
Ataajiri kwa ngono.
Atapandisha vyeo kwa ngono.
Ataiba ili kukidhi ngono.
Ataipa dhiki familia yake ili kukidhi ngono.
Hatajali chochote zaidi ya ngono.
Atajaza utitiri wa wapambe makuadi wa ngono.
Atatumika na yeyote kwa malipo ya ngono.
Atafuja fedha na kusafiri kila kona ili kuonja ngono za kimataifa.
Sijamsikia mtu akisema Mzee fulani ni mkali wa ngono kwa sababu ana wake wanne.
tatizo la ngono kwa Viongozi wetu ni Cancer.
Nani asiye jua kwamba nyumba ndogo ina gharama kuliko mkeo wa ndoa?
Mali ya umma inapotea kwa sababu ya Life Style ya Viongozi wetu mnawaacha watimize hamu zao za ngono kila kona, mafichoni mnalalamika tunaibiwa.
Wizi ni matokeo tu, viongozi hawaibi kwa sabu ya kuiba wana yao mambo. Mojawapo ni ngono.
Wizi una chanzo au vyanzo vyake, chanzo kimoja cha wizi ni kuhaha fedha za kuhonga kwa nia ya kujikimu Kingono.
Wazee wangapi mitaaniwamefilisi biashara zao kwa ngono?
Mashirika mangapi yamekufa ngono ikiwa ni moja ya sababu kubwa?
Watu wangapi wapata digirii kwa sababu ya ngono?
Wangapi wameteuliwa kushika nyadhifa kubwa kwa sabau ya ngono?
Hapo ndipo Tochi yetu inapomulika kutaka kubaini nani kaoza kwenye hilo.
Kutibu tatizo la wizi ni lazima tujue vitabia shawishi vya viongozi wetu.
Kiongozi yeyote anaye penda ngono.
Ataajiri kwa ngono.
Atapandisha vyeo kwa ngono.
Ataiba ili kukidhi ngono.
Ataipa dhiki familia yake ili kukidhi ngono.
Hatajali chochote zaidi ya ngono.
Atajaza utitiri wa wapambe makuadi wa ngono.
Atatumika na yeyote kwa malipo ya ngono.
Atafuja fedha na kusafiri kila kona ili kuonja ngono za kimataifa.
Sijamsikia mtu akisema Mzee fulani ni mkali wa ngono kwa sababu ana wake wanne.
tatizo la ngono kwa Viongozi wetu ni Cancer.