Mbowe na Slaa kutikisa Zanzibar kesho

Mbowe na Slaa kutikisa Zanzibar kesho

Kazi kweli kweli kwani Padre alikuwa na kikao kifupi na askofu mkuu wa jimbo katoliki nZnz kuweka mambo sawa ili waumini wote wakitoka tu kanisani waelekee uzini.

kazi kwenu.
Haya ndio mawazo butu ya msomi anayejiita Dr. Hamza Yousuf Al Naamani aka Barubaru!
 
Hata NCCR 2003 walipiga kambi pemba. Kwa hiyo chadema haitakuwa ajabu.

Padre si ameshafika huko kuweka mambo sawa pale mji mkongwe!!

Kila la kheir ila muwe makini msije mkajuta.
Nasikia Hamadi Rashid ndiye atazindua kampeni za CUF Maalim anataarifa hizo.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CDM) kesho kitazindua kwa kishindo kampeni za Uchaguzi mdogo wa Uwakilishi jimbo la Uzini ambapo chama hicho kimejizatiti kuchukua kiti hicho na kuandika historia mpya ya chama hicho huko Zanzibar.

Taarifa ya CDM imesema vinara wakuu wa chama hicho Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa watawaongoza maelfu ya wanachama wake wa Zanzibar hapo kesho katika uzinduzi unaotarajiwa kuwa wa kihistoria.

Taarifa zaidi kutoka Zanzibar zinasema tayari Dr Slaa amewasili tangu jana kupanga mikakati ya mwisho mwisho.Pia kuna taarifa kwamba kuna shamrashamra za hapa na pale za wafuasi wa CDM.

Habari zaidi:Tanzania Daima.

sidhani kama cdm inawanachama zaidi ya mia.zanzibar
 
I hate huu uongo wa kupita kiasi. Jimbo hili linatokana na Mbunge wake Bw. Mussa Hamisi Silima (CCM) kufariki Agosti 23, 2011 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu kufuatia ajali mbaya ya barabarani iliyotokea eneo la Nzuguni karibu na Dodoma, iliyohusisha gari alilokuwa akisafiria mbunge huyo Agosti 21, 2011 akiwa na mkewe, Mwanaheri Twalib ambaye yeye alipoteza maisha papo hapo.

Sasa haya matokeo ya Mohamed Seif Khatibu yanatokea wapi?

Hapo kijana umepewa mwelekeo wa kura zilizogawanya mwaka 2010. wapiga kura wa ubunge wa muunganoni walewale wanaopiga kura za mgombea wa uwakilishi. Huku Unguja twapiga kura mara nyingi kuliko kwenu UCHAGANI, pia wanasharia twajuana ati!!
 
Ndio maana boti za kwenda Zanzibar zimejaa, mamluki wanakwenda kusherehesha!
Hivi hizo redio bado zipo Zanjiba

BB3.jpg

Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati akiondoka Chakechake baada ya kuweka jiwe la Msingi
katika Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto, wakati akiwa katika ziara yake ya mkoa wa Tanga
.


 
Kwa nini Wapemba wa humu JF wana hofu na Chadema kutia timu Zanzibar? Kama kutakuwa na jitihada za makusudi kufanya siasa za misikitini ili kukichafua Chadema kama kule Igunga basi Chadema ijiandae kutojibizana na madai hayo. Isonge mbele kuongelea issues na maadui wake wanaotumia dini watajiona wajinga. Kuna wazanzibari pia wenye mawazo chanya wasioridhika na Zanzibar ya sasa kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hao ndo mtaji wa Chadema. Wadini, wakabila na wanafiki si size ya Chadema.
 
CDM kukata tamaa mwiko!!

[TABLE="width: 416"]
[TR]
[TD]2010 Parliamentary Election Results 
Region KUSINI UNGUJA
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]District KATI
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Consituency UZINI
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="width: 100"]
[TR]
[TD]Candidate
[/TD]
[TD]Political Party
[/TD]
[TD]Number of Votes
[/TD]
[TD]Percentage Votes
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]MUHAMMED SEIF KHATIBU
[/TD]
[TD]CCM
[/TD]
[TD]6,651
[/TD]
[TD]81.96
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ALI MBAROUK MSHIMBA
[/TD]
[TD]CHADEMA
[/TD]
[TD]617
[/TD]
[TD]7.6
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]ABDI MOHD ADEYOUM
[/TD]
[TD]CUF
[/TD]
[TD]524
[/TD]
[TD]6.46
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]LUSIANO BENEZENT MAREKANO
[/TD]
[TD]SAU
[/TD]
[TD]46
[/TD]
[TD]0.57
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]SPOILT VOTES
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]277
[/TD]
[TD]3.41
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]TOTALS
[/TD]
[TD]
[/TD]
[TD]8,115
[/TD]
[TD]100
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Ha! Ha! Ha! Ha! Naona MAFILILI, kawaingiza Chadema choo kike.
 
Feedback,
Hiyo picha imechukuliwa Lushoto Tanga na sio Zanzibar..Mkuu umeamini sasa Utabiri wangu ujio wa chama kipya - CCK kimesajiliwa niliyasema ukatukana sana.. Leo yako wapi?
 
Move ni admirable sana ila tukubali issue kama hizi kutokuwa na Tv ya chama kunatukosesha mengi wananchi wapenda haki maana tunajua taharifa za CDM zitakuwa zikichakachuliwa sana ili kuupotosha ukweli halisi,CDM mmejipangaje kuresolve hili?

Mungu awatangulie.
 
The world experience shows that the wave of politics is dynamic.
 
Feedback,
Hiyo picha imechukuliwa Lushoto Tanga na sio Zanzibar..Mkuu umeamini sasa Utabiri wangu ujio wa chama kipya - CCK kimesajiliwa niliyasema ukatukana sana.. Leo yako wapi?
Hivi wewe unayajua matusi mimi si wa hivyo nakuruhusu tafuta post yangu yeyote yenye tusi ibandike hapa kushindwa kwa hoja si tusi.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CDM) kesho kitazindua kwa kishindo kampeni za Uchaguzi mdogo wa Uwakilishi jimbo la Uzini ambapo chama hicho kimejizatiti kuchukua kiti hicho na kuandika historia mpya ya chama hicho huko Zanzibar.

Taarifa ya CDM imesema vinara wakuu wa chama hicho Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa watawaongoza maelfu ya wanachama wake wa Zanzibar hapo kesho katika uzinduzi unaotarajiwa kuwa wa kihistoria.

Taarifa zaidi kutoka Zanzibar zinasema tayari Dr Slaa amewasili tangu jana kupanga mikakati ya mwisho mwisho.Pia kuna taarifa kwamba kuna shamrashamra za hapa na pale za wafuasi wa CDM.

Habari zaidi:Tanzania Daima.

Kwa matusi ambayo CDM waliisha watukana wazanzibar kule hawana chao zaidi yakutwanga maji kwenye kinu. Zanzibar ina wenyewe, na CDM waliisha onyesha dalili zakushindwa kwa kutaka kumuwekea pingamizi Raza. Lile jimbo bila ubishi ni la RAZA, CDM wanaenda kushiriki tu aisee

 
Move ni admirable sana ila tukubali issue kama hizi kutokuwa na Tv ya chama kunatukosesha mengi wananchi wapenda haki maana tunajua taharifa za CDM zitakuwa zikichakachuliwa sana ili kuupotosha ukweli halisi,CDM mmejipangaje kuresolve hili?

Mungu awatangulie.

Hizi ndio akili za embe dodo kweli, watu hata hela yakulipia mapango ya ofisi hawana, mishahara hakuna ww unasemea pesa ya TV

 
Kwa nini Wapemba wa humu JF wana hofu na Chadema kutia timu Zanzibar? Kama kutakuwa na jitihada za makusudi kufanya siasa za misikitini ili kukichafua Chadema kama kule Igunga basi Chadema ijiandae kutojibizana na madai hayo. Isonge mbele kuongelea issues na maadui wake wanaotumia dini watajiona wajinga. Kuna wazanzibari pia wenye mawazo chanya wasioridhika na Zanzibar ya sasa kiuchumi, kisiasa na kijamii. Hao ndo mtaji wa Chadema. Wadini, wakabila na wanafiki si size ya Chadema.

Teh teh teh, Homa kubwa sana hii!
 
Sababu za Chadema KUSHINDWA Uzini .
1. Mgombea wao hana makazi Unguja
2. Chadema hawajawahi kupeleka fedha za ruzuku Unguja
3. Viongozi wa Chadema wafikapo Unguja wanalala katika hosteli zinazomilikiwa na kanisa
4. Katika bunge la Muungano matamko ya akina Lissu ni kukebehi Zanzibar

HIZO NI SABABU TOSHA ZA Chadema kukalia pua UZINI!!!!!
:crutch:
 
Back
Top Bottom