- Thread starter
- #201
Hahahah...hata mimi nimemshangaa sana! Halafu anaonekana ana kiherehere sana!
JF Comedy
Hahahah...hata mimi nimemshangaa sana! Halafu anaonekana ana kiherehere sana!
Msemaji wa Chadema ni John Mnyika, nashangaa Josephine kampoka madaraka, halafu sijui kwa nini kaamua kunyoa Zungu la Unga.
Hahahah...hata mimi nimemshangaa sana! Halafu anaonekana ana kiherehere sana!
Rejao na Riziwani kama ninyi mlivyo members humu kutetea magamba,ndivyo alivyo Member Josephine kuunyosha ukweli anao ujua ndani ya c
hadema.
Ni wakati muafaka kuacha porojo kwani si mtaji tena,simamieni sera husika na ukweli usiopinda.
Rejao na Riziwani kama ninyi mlivyo members humu kutetea magamba,ndivyo alivyo Member Josephine kuunyosha ukweli anao ujua ndani ya chadema.
Ni wakati muafaka kuacha porojo kwani si mtaji tena,simamieni sera husika na ukweli usiopinda.
Rejao na Riziwani kama ninyi mlivyo members humu kutetea magamba,ndivyo alivyo Member Josephine kuunyosha ukweli anao ujua ndani ya chadema.
Ni wakati muafaka kuacha porojo kwani si mtaji tena,simamieni sera husika na ukweli usiopinda.
Mama tupe taarifa huko mkutanoni pamekaaje badala ya ''gubu la wifi''.Sasa ni saa 17:22 wapemba wamehudhuria kwa wingi?
Mnyika siyo msemaji wa Chadema hapa JF Kama vile si msemaji wa CUF badala ya Mtatiro hapa JFMsemaji wa Chadema ni John Mnyika, nashangaa Josephine kampoka madaraka, halafu sijui kwa nini kaamua kunyoa Zungu la Unga.