Mbowe:Kuna kiwanda cha kusaga meno ya tembo nchini!

Wakati kikao cha bunge kikielekea ukingoni asubuhi ya leo,kiongozi wa kambi ya upinzani aliomba apewe muongozo na m/kiti kuhusu wabunge waliokua kwenye orodha ya wachangiaji waleo kutokuchangia,na wabunge hao ni wa ccm.,na hivyo muda ukabaki zaidi ya saa zima bila matumizi. Akauliza uwezekano wa nafasi hizo kupewa wapinzani kuzitumia pale zinapotokea. Ghafla,kwa kimbelembele, mh.waziri lukuvi akanyanyuka na kumjibu mheshiwa mbowe kuwa ,wabunge hao hawajachangia leo kutokana na kuamua wenyewe katika vipaumbele walivojiwekea. Hawajaona kama ni muhimu kuchangia mjadala waleo. Lakini baadaye mh.m/kiti jenista,akitoa muongozo wake,alitoa maelezo yaliyokinzana na lukuvi. Sasa hapa kuna maswali nimejiuliza. 1.je hao wabunge wa ccm ambao walikua kwenye list na hawajachangia ni kina nani? (Isijekua walikua na hoja tofauti na chama hivyo kunampango ulioratibiwa ili wasizungumze) 2. Jazba,na kimbelembele cha mh.lukuvi kukurupuka kujibu swala lisilomuhusu tena kwa majibu yasiyosahihi ilizababishwa na nini?(what is the motiv behind?).
 
Haya, tukubali hahusiki na ujangili ila kwa sababu kampuni yake ya magari ya baharini ndiyo iliyopakia bidhaa basi atutajie mwenye bidhaa.
Kumbuka: Mwisho wa siku lazima wote tuwabane
 
Mkuu Eraldius

Kamanda Mbowe kawaambia kuwa tatizo kubwa si ulinzi bali ni kukosekana kwa political willing kuchukua hatua na maamuzi magumu kushughulikia uhalifu huu, kwa sababu mtandao wake unahusisha wanasiasa walioko katika vyama vya siasa na watu wengine ndani ya serikali na vyombo vya dola.

Ndiyo maana moja ya mapendekezo yake amewataka wizara na serikali, kwa sababu bado sheria ya kunyonga inatumika nchini, basi watuhumiwa wa ujangiri, wanapopatikana na hatia, wahukumiwe kunyongwa!

"Suala hili la ujangirini suala very serious, lakini naona watu wanalifanyia utani," amesema Mbowe.

Aaaa kuvua gamba tuu imekuwa ngumu, Mbowe wajinyonge tena Duh!!! wewe sasa umefika mbali, sasa unataka wakulimboke nini?
 
Mheshiwa Mbowe amewambia magamba kwamba wao wasifikri meno ya tembo inasafirishwa yakiwa mazima. Kawaambia inasagwa na viwanda viko humu humu nchini. Unga huo unasafirishwa kwa ndege na viongozi wa serikali wanashiriki ndio maana hali inaendelea kuwa mbaya kila kukicha.

Ndugu utatusaidi sana kutuelimisha, hivo hayo meno yakisagwa yanatumika kwenye kitu gani. Hii ni mpya sana. ina maana Mh. Mbowe hodari kwa kujua usafirishaji wa UNGA, Na kama Mheshimiwa anajua kuna kiwanda hapa nchini na huo unga unasafirishwa kwa ndege:

  1. Ina maana anajua kiwanda kilipo, ana anastahaki ya kuwajulisha Usalaama wa taifa au wahusika.
  2. Ndege na wanazo zisafirisha, hii pia angetoa riporti au kuzitaja hizo ndege au hao wahalifu.
Jee Kwa nini mpaka sasa hajapeleka riporti polisi ili hicho kiwanda kikamatwa na hatu kuchukuliwa, Pili inaonyesha kuna data za usafirishaji na wanao husika ambao anawajua, mbona anaficha siri, jee is he not an accessory to the crime or a Partener to a deal that has gone sore, na hiyo pia si kosa. Au haya ni majungu anayojengwa.

Na kama ni kweli basi inamaanisha Mbowe hana imani na Tanzania Nzima, kwani Tz sio CCM wala Chadema ni Nchi yetu wote.

If True what a contradictory politician with a very low vision, which i do not want to believe that he said what is implied here.
 
Nchi iliyojaa wala rushwa wananchi masikini hawana haki kabisa kabisa...Mwalimu Nyerere!
 
Ndugu utatusaidi sana kutuelimisha, hivo hayo meno yakisagwa yanatumika kwenye kitu gani. Hii ni mpya sana. ina maana Mh. Mbowe hodari kwa kujua usafirishaji wa UNGA, Na kama Mheshimiwa anajua kuna kiwanda hapa nchini na huo unga unasafirishwa kwa ndege:

  1. Ina maana anajua kiwanda kilipo, ana anastahaki ya kuwajulisha Usalaama wa taifa au wahusika.
  2. Ndege na wanazo zisafirisha, hii pia angetoa riporti au kuzitaja hizo ndege au hao wahalifu.
Jee Kwa nini mpaka sasa hajapeleka riporti polisi ili hicho kiwanda kikamatwa na hatu kuchukuliwa, Pili inaonyesha kuna data za usafirishaji na wanao husika ambao anawajua, mbona anaficha siri, jee is he not an accessory to the crime or a Partener to a deal that has gone sore, na hiyo pia si kosa. Au haya ni majungu anayojengwa.

Na kama ni kweli basi inamaanisha Mbowe hana imani na Tanzania Nzima, kwani Tz sio CCM wala Chadema ni Nchi yetu wote.

If True what a contradictory politician with a very low vision, which i do not want to believe that he said what is implied here.

Ukijua utafanya nini? Au unategemea nini List ya wauza unga Mkullu kasema anayo, kafanya nini? Kinana kukabali kampuni yake, lakini meno si yake, hata kama si yake, mkullu kafanya nini ilitumjue mwenye mali? Yaani hujui kwamba Sekta ya umeme inahujumiwa, na wahujumu wanajulikana, umefanya nini? Siku zinakuja mtatafuta pa kwenda, suburini tuu.
 
Hakuna serikali hapo....tukisema etu tunatukanwa kuwa tunavuta bangi, mwizi hachagui tusi...
 
Kamanda Mbowe amesema hii ni organized crime, lazima serikali ije na mkakati au mpango maalum wa kuushughulikia uhalifu huu!

Amewauliza jamaa, "hivi ninyi kama mawaziri na serikali mnajisikiaje mnapoambiwa ni 7 years to come ndovu wote watakuwa wametoweka nchini, miaka michache ijayo barafu ya mlima Kilimanjaro itakuwa imeyeyuka yote na haitakuwepo tena, na utalii ndiyo sekta namna moja katika kutuingizia fedha za kigeni, hivi ninyi serikali ya CCM mnajisikiaje mkisikia habari kama hizi."

mkuu MAKENE viongozi hawa hawa wa ccm ndio watuhumiwa sasa Kagasheki anao uwezo kumshitaki ama kumchunguza kinana wakati ni boss wake kwenye chama?
kilichopo ni kuifuta ccm kwenye ramani ya Tz na kazi hiyo itaongozwa na Chadema!
 
hasante, hilo jambo nimelifikiria pia, kama jambo hilo linawezekana bora likatumika meno yavunwe bila kumuua tembo labda tutawanusuru tembo wetu.

mkuu, tembo jino lake ndo uhai wake. sio km wewe unavyokwenda kwa dentist ukadungwa ganzi ukang'oa
 
haraka haraka za kuandika post hii nahisi nazo ziliendana na jazba fulani hivi, nafikiri sasa hivi umeshatulia na uko tayari kutjuza kilichotokea kwa kina japo kwa ufupi!!
 
Hawajachangia kwa sababu walishafungwa midomo kwenye kikao cha juzi cha wabunge wa CCM.
Huwa wanaambiwa lazima waitetee serikali otherwise wanapewa vitisho vingi sana likiwemo la kuwaambia serikali itawashughulikia kwa njia yoyote ile.
Kuna Mbunge mmoja wa CCM niliwahi kuongea nae kidogo akaniambia anaomba nimuombee kwa mungu 2015 ifike akiwa yuko salama aachane na haya mambo ya siasa kutokana na vitisho wanavyopewa kutoka serikalini kama wakienda kinyume nayo.
Ndiyo maana hawa wabunge wa CCM hawaji kabisa bungeni kwa sababu anaona kuliko achangie kitu ambacho kinaonekana wazi kiko wrong, bora asije kabisa bungeni na anayewatisha hivi mmojawapo ni huyu Lukuvi ndiyo maana amerukia kuongea suala lisilomuhusu akihofia kwamba wabunge wanaoogopa wanaweza wakapata nguvu ya kuja kuchangia mada iliyopo
 
Mada muhimu kama hizi huwezi muona bwana Ritz anachangia..
Hawajamaa wata tumaliza, wananchi amkeni, nchi yetu Tanzania inaangamia.
 
Back
Top Bottom