Mbowe katika Clouds FM, afafanua juu ya suala la Shibuda

Mbowe katika Clouds FM, afafanua juu ya suala la Shibuda

Acha UNAFIKI wewe!!!!???

Hivi siku ile pale Bungeni waliotoka nje ya Bunge kupinga Katiba iliyomweka Kiwete madarakani walikuwa kina nani???Jibu ni CHADEMA. Walitoka nje kupinga MFUMO ULIOMWEKA RAIS MADARAKANI ambayo ndiyo KATIBA yenyewe! Uamzi huo wa CDM ndiyo ulipelekea vuguvugu la Katiba Mpya. Hatukuona CUF wala mwana CCM akiwaunga mkono CHADEMA!

Kwa hiyo Mbowe is right kusema kwamba CHADEMA ndo custodian wa Katiba Mpya. Ni ukweli ambao hakuna mtu anaweza kuufuta na hii ipo kwenye Hansard za Bunge.

Naweka mambo sawa zaidi
Anaposema CHADEMA ndio Custodian pia anamaanisha kwamba ndio CHAMA kitakachoongoza nchi hii chini ya Katiba Mpya, ha ha ha mha mha mha haaa
 
ni kweli ishu ya Shibuda ni ndogo kwani hata akiwa ccm alikuwani mtu wa vurugu na mzaha, na sifa kama una jipe mwenyewe, naye anataka kuweka historia kuwa aliwahi kugombea Urais, nadhani anangoja kwenda chama cha Mrema TLP akajaribu kugombea alafu aombe msaada wa magari kutoka CCM!!!
 
Mkuu wangu hata kama wewe ni Chadema damu usipotoshe wote tumemsikia Mbowe alichosema.

Mbowe kasema anaomba radhi na kukiri kuwa Clouds ni Radio ya vyama vyote tofauti na alivyokuwa anavyofikilia hapo mwanzo.

Akaendelea kusema Clouds vyama vyote ni wateja wake CCM, Chadema, Cuf. Ebu tuambie wapi kaionya Clouds?
I wish Watanzania wangekuwa wanamsikiliza Kikwete kwa Umakini kama ambao leo unauonyesha kwa Kumsikiliza Mwenyekiti wa CHAMA.
 
Mbowe hasemi ukweli anaposema kuwa CHADEMA ndio "custodians" na initiators wa hoja ya Katiba, amesahau CUF ndio waliobuni hoja hiyo na ndio walioandika mpaka rasimu ya katiba yao miaka mingi sana kabla ya chadema hata kufikiria.

Mambo mengine jamani mwambieni huyu Mwenyekiti wa magwanda awe anauliza kabla hajakurupuka.

wewe gamba,ndoa na iheshimiwe na watu wote.
chadema hawawezi kuongelea issue ya cuf bila ridhaa ua ccm.
kwanza unasema walishaandika katiba hapo unashuhudia walivyo wehu,kwenye hiyo rasiku yao walijua watanzania wanataka nini?
 
Mbowe anaomba CUF washariki mkutano wa Chadema Jangwani...sasa hapo nashindwa kumuelewa Mbowe CUF si CCM B sasa unawaomba wa nini?

kwa upande wangu sioni kama ni tatizo,kwani kuwa upinzani si ugomvi ama kununiana,kama watakubaliana hata wana ccm ruksa

na isitoshe mikutano iliyomingi wananachama wa vyama vyote huwepo ktk mikutano,iwe imeitishwa na ccm,cdm ama cuf

kwa hili sasa wanaalikwa rasmi ikimaanisha hata viongozi wakuu wanaweza hudhuria mkutano
 
Clouds ni fullly ccm ,mnakumbuka akina pj walivyokuwa wanampigia kampeni masamaki aliyeukosa udiwani kirumba?wanajifanya kumzuga mbowe .nawashauri wasome alama za nyakati hii ni nguvu ya umma!
 
Issue ya Shibuda ni kubwa tena sana anavaa ujasiri wa kinafiki tu.
"unajua hata mbowe hajui afanyeje kuhusu Shibuda, hili suala litatugombanisha sana"-wenje.
 
Namsikia Mbowe anaongea Clouds, maneno mawili kingereza cha ujanja ujanja.

Je Manufacturing of teachers - J.M.K (wakati wa kuongea kiingereza lazima apate na kigugumizi)
 
Wale Wana CDM wachukia cloud Leo mwenyekiti Ndio ivyo kaingia mjengoni kupata uungwaji mkono wa mkutano wa j.mosi anajua hii Ndio redio inasikilizwa na watu wengi kuliko yoyote
 
Mbowe hasemi ukweli anaposema kuwa CHADEMA ndio "custodians" na initiators wa hoja ya Katiba, amesahau CUF ndio waliobuni hoja hiyo na ndio walioandika mpaka rasimu ya katiba yao miaka mingi sana kabla ya chadema hata kufikiria.

Mambo mengine jamani mwambieni huyu Mwenyekiti wa magwanda awe anauliza kabla hajakurupuka.
CUF ni nini au unaimanisha CCM B...
 
Mbowe hasemi ukweli anaposema kuwa CHADEMA ndio "custodians" na initiators wa hoja ya Katiba, amesahau CUF ndio waliobuni hoja hiyo na ndio walioandika mpaka rasimu ya katiba yao miaka mingi sana kabla ya chadema hata kufikiria.

Mambo mengine jamani mwambieni huyu Mwenyekiti wa magwanda awe anauliza kabla hajakurupuka.

Nimekuelewa ni mtu wa namna gani kimawazo baada ya kuona post yako mchana ukilalama Kanisa katoliki lina hodhi ardhi kubwa nchini!
 
Mbowe hasemi ukweli anaposema kuwa CHADEMA ndio "custodians" na initiators wa hoja ya Katiba, amesahau CUF ndio waliobuni hoja hiyo na ndio walioandika mpaka rasimu ya katiba yao miaka mingi sana kabla ya chadema hata kufikiria.

Mambo mengine jamani mwambieni huyu Mwenyekiti wa magwanda awe anauliza kabla hajakurupuka.

Tafadhari kaa kimya cuf ya enzi zile siyo ya sasa, hivyo hakuna cha kuliinganisha. hata kama ndo waliiandika wameifanyia nini au wameleta msukumo gani ? je wamefanya harakati zozote ili katiba iboreke? count out mrs ccm (cuf)
 
Si CUF tu hata CCM tunawataka Jangwani.

Nepi ,Rejao na Rtz safari hii watavua magamba na kuvaa magwanda.Ukombozi umepiga hodi mlangoni kwenu,fungueni milango mpokee dozi nzito hadi virusi vya Ufisadi vife 26-05-2012
 
I wish Watanzania wangekuwa wanamsikiliza Kikwete kwa Umakini kama ambao leo unauonyesha kwa Kumsikiliza Mwenyekiti wa CHAMA.

huyu anahitaji heshima kubwa sana sababu ni kiongozi wa upinzani kwa maana kwamba ndie kinara wa mageuzi ambayo wananchi wanahitaji. Hata DOVUTWA ni mwenyekiti wa chama lakini hawezi kusikilizwa kiasi hiki.
 
Wanabodi.

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, leo kalitolea ufafanuzi wa kina suala la Mbunge wa Chadema John Shibuda, kutangaza nia yake ya kugombea urais kupitia Chadema.

Mbowe kasema John Shibuda, alichofanya ni sahihi na wala hakuna kosa wala tatizo lolote ndani ya Chadema kasema hayo wakati akifanya mahojiano na kituo cha redio cha Clouds FM cha Jijini Dar es Salaam.

Mbowe aliendelea kusema alichofanya Shibuda ni haki yake ya kikatiba.

SOURCE: CLOUDS FM.
 
Back
Top Bottom