Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Alizuia nani katiba mpya then kama ccm walikuwa wanaitaka 20 iliyopita? Una kawaida ya ku-post ujinga, lakini kwa kauli yako hii ume-set a new standard ya ujinga!
Big hawa watu akili zao zinachekesha.
Wamekuwa wakitumia mbinu zile zile walizotumia kuiua nccr mageuzi, tlp na cuf wakidhani kwamba watafanikiwa na kwa chadema.
Hawaishi kuota ndoto za kifo cha chadema. Si wasira, kikwete ama watumwa wa nape hapa jf wote wanaimba wimbo mmoja.
Bahati mbata kwao chadema inasimamiwa na kulindwa na Mungu kwa manufaa ya watanzania wote.
Mbowe hasemi ukweli anaposema kuwa CHADEMA ndio "custodians" na initiators wa hoja ya Katiba, amesahau CUF ndio waliobuni hoja hiyo na ndio walioandika mpaka rasimu ya katiba yao miaka mingi sana kabla ya chadema hata kufikiria.
Mambo mengine jamani mwambieni huyu Mwenyekiti wa magwanda awe anauliza kabla hajakurupuka.
Tanzania itajengwa na viongozi wenye moyo wa uzalendo kwa TZ. Viongozi wa CDM wameonyesha hilo kwa vitendo,M4C daima,Hata hauelewi ushenzi unaofanyika chini ya CCM.
Mbowe alipewa shangingi kwa nafasi yake ya Uenyekiti wa Kambi ya Upinzani Bungeni, na alipewa la Ubunge pia, Mangapi hayo? ya nini yote hayo kama sio ujuha? Mtoto wenu wa Mkurima anayo yote la uwaziri mkuu, na la ubunge, Nina hasira sana na nyie, wajinga wakubwa nyie
R.I.P CUF...halafu mnawaomba wajitokeze kwa wingi Jangwani...ha haa haaa siasa bana.
mtangazaji anamtambulisha kama mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni, kakosea kwani hakuna nafasi kama hiyo bungeni, kuna kiongozi wa kambi bungeni.
ANAONGEA KUHUSU KUMFUKUZIA MBALI SHIBUDA
hayawi hayawi sasa MNYANTUZU ANAPIGWA TEKE KULEEEEEEEEEEEEEEEEEEE ATAHAMIA CCM B AU ATARUDI KWA WAUME ZAKE CCM A???
1. Kwa Mwenyekiti wa Chadema taifa kwenda kujibu tuhuma ndogo kama alivyoziita za mbunge wa Chama chake ni uongo wa mchana sana, kama ni kweli basi angewaachia kina Mnyika wamjibu Shibuda, lakini sio yeye Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni, inaleta maswali mengi lakini sio majibu kuhusu udogo na ukubwa wa ishu Shibuda, kwa Chadema.
2. Kitendo cha Mwenyekiti wa Chadema kwenda mwenyewe Clouds, badala ya kusubiri afuatwe ni dalili tosha za ukubwa na udogo wa ishu ya Shibuda, sometimes huwa ninajiuliza sana hivi huko Chadema hakuna Political Strategists, wa kumsahuri Mwenyekiti kuhusu political propagndas games?
William.
Wewe Wile, ukitaka tangazo lako liendane na muda unaoutaka, utasubiri ufuatwe?- ... Mwenyekiti wa peoples power movemment hendi kuitafuta Radio, ni Radio ndio inamtafuta yeye, anapokwenda kama unavyosifia ni kwamba anaenda kunegoaniate na Radio aonewe huruma na Radio ambayo haimuungi mkono, .
Na tume za Jaji Nyalali na Kisanga waliziunda kina Mtikila na Mbowe?
Aisee, deeply from my heart receive my kuddos! This is what he wanted to hear.
Clouds ni radio binafsi ina uhuru wa kusema na kuchagua cha kuongea!! hata chadema ilikishika madaraka leo hii, clouds wana uhuru wa kusema lolote, unless aseme radio zote huwa automatically upendelea chama tawala! which is not the case
kuwa waanzishe radio yao ndio ushauri ambao Jasusi hawezi kuusema kwa chama chake chenyewe! shame
mzee umekuwa mshabiki mno! hata nafasi ya kuushirikisha ubongo wako unapungua sasa sana
CFM ni kituo cha watu binafsi! hata leo hii chadema wakishika madaraka kitaishi vile kinavyotaka kiishi. labda useme chadema wakishika madaraka wataendesha anchi kidikteta kuwa hata asiyewapenda awapende!! confused!
Kumsema mtu kama Kibonde kunaonyesha una gubu na chuki zako binafsi, Kibonde huwa tunamsikia wote, huwa anawasema vibaya CCM, na anawasema vibaya chadema , pale wanapokosea...sasa hata angekuwa haipendi chadema, ana uhuru wa kufanya hivyo pia!! who says kwa sababu akina fulani wanaipenda chadema kila mtu akipende???? hauoni una jiaibisha hapa??
Mara ngapi akina mnyika, mdee zito wanaalikwa clouds na kusema watakacho?? chadema walianza jana kuingia clouds! sikujua status yako kuwa ni international journalist! I dont believe that! william labda amekosea
Kweli Kusaga na clouds yake wamemwita mbowe kwa sababu ya wind of change?? kwa hiyo wanajikomba kwa mbowe?? who deceived you?? I see the reverse here!!
Ukija deep kisiasa, kama clouds mnasema ya CCM,na iko karibu na JK cant you see there could be something here??
william kasema mda wa kulia lia umeisha, chadema wana Tanzania Daima ambalo linawamaliza wenyewe, Radio mkiwa nayo no wonder mtakuwa mkieleza matatizo ya Juliana na Heche!!
I support william here, kuna serious problem among you guys! the problem is you dont think, though you think that you are thinking...when we think for you....you tend to hate us! Thinking is not easy
kwa mzee kama wewe acheni ushabiki kwa watoto