Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Ritz,nani hakufahamu?wewe huwa unasikia yale yakufurahishayo,yasiyokufurahisha huyasikii wala kuyaelewaMkuu wangu hata kama wewe ni Chadema damu usipotoshe wote tumemsikia Mbowe alichosema.
Mbowe kasema anaomba radhi na kukiri kuwa Clouds ni Radio ya vyama vyote tofauti na alivyokuwa anavyofikilia hapo mwanzo.
Akaendelea kusema Clouds vyama vyote ni wateja wake CCM, Chadema, Cuf. Ebu tuambie wapi kaionya Clouds?