Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,937
- 1,193
clauds eti wapo neutral?
Poa mkuu nisameheniWewe nadhani ndio muongo mbona Mbowe kalitolea ufafanuzi suala la Shibuda, kasema hakuna tatizo wala kosa alichofanya Shibuda ni haki yake ya kikatiba.
We Jamaa na hili li Avatar lako mtu anaweza akadhani ni mjasiri, lakini kumbe una roho ya hofu sana.Mbowe anaomba CUF washariki mkutano wa Chadema Jangwani...sasa hapo nashindwa kumuelewa Mbowe CUF si CCM B sasa unawaomba wa nini?
Si CUF tu hata CCM tunawataka Jangwani.
ni Kauli ya Mh Mbowe
nauliza tu hivi alirudisha vx serikalini au alikuwa anatupiga changa la macho? hili hapa kwenye picha KUB. WANAOJUA WATUJUZE KAMA ALIRUDISHA KWELI KAMA SIO IMEKUWAJE ANALO WKT TUNAJUA ALIRUDISHA? peopleeezzz power
n![]()
Duh! Jf ya sikuhizi!? Habari za jukwaa la siasa utadhani jukwaa la udaku!
Mbowe hasemi ukweli anaposema kuwa CHADEMA ndio "custodians" na initiators wa hoja ya Katiba, amesahau CUF ndio waliobuni hoja hiyo na ndio walioandika mpaka rasimu ya katiba yao miaka mingi sana kabla ya chadema hata kufikiria.
Mambo mengine jamani mwambieni huyu Mwenyekiti wa magwanda awe anauliza kabla hajakurupuka.
Mkuu Janjaweed ni Kama Obama vile!!!!!!!!????nachekesha Mbowe (aliyeishia sekondari) anaongea pwenti kuliko Dr/Prof/mtaalam/explorer/mwanazuoni/mheshimiwa/mkuu kabisa tena mchumi bobevu,
CCM walishaweka mpaka tume ya katiba kabla Mbowe hajapewa madaraka na Mkwewe.
Ameionya Clouds kutokufanya kazi ka gazeti la Uhuru kwani lile ni la propaganda la CCM.
Wewe nadhani ndio muongo mbona Mbowe kalitolea ufafanuzi suala la Shibuda, kasema hakuna tatizo wala kosa alichofanya Shibuda ni haki yake ya kikatiba.