Huyu dogo ana akili sana kuliko lile likichwa kama tikiti maji la ndungai..Kiongozi mzuri husikiliza hoja na kutoa maamuzi. Alichofanya Ndugai hata mzee wa kijijini asiye na elimu hatafanya. Aibu yake na hata kwa Taifa.
ukoo wa panya......Kujibu ni hatua kubwa sana mbowe hata kufikili tu nitatizo hana shule hata akili ya kawaida hana uwezo wake ni kuendesha mziki tu.
Naibu spika J. Ndugai ametoa amri Mbowe atolewe nje baada ya Mbowe kuomba muongozo ila Job Ndugai akamuamuru akae chini na asiongee chochote ndipo Mbowe akakataa kukaa mpaka asikilizwe anachotaka kusema.
Wabunge wa upinzani wamegoma Mbowe kutolewa nje na kinachoendelea ni kupigana kati ya askari na wabunge wa CHADEMA.
Tena anaishikilia rekodi hiyo kwa zaidi ya miaka mitano mfululizoMbowe ni miongoni mwa viongozi mambumbumbu tulionao tanzania.
Hivi jana kilichowatoa ni nini na leo wanang'ang'ania nini au wameona wataambulia mabua. hivi navyo vichekesho.ndiyo mazao ya mipasho ya ndugai hayo. Badala ya kuendesha bunge ktk misingi inayofaa, analeta mipasho. Naunga mkono mbowe kutokubali kutoka.
Ha ha ha!Labda kwao itakuwa ni kama ya Ndugai, Lukuvi au Pindi Chana!
Nafiri Watz wameshaelewa kuwa tuna watunga sheria (Wabunge) wa aina gani. Ni juu yetu sasa kuchukua hatua. Kati ya haya mojawapo linawezekana. Either
i. Kuipinga kwa kura Katiba ya CCM na Serikali yake, AU
ii. Waendelee na mambo yao ya kutengeneza sheria za kuhujumu katiba ya wananchi na Baadae Tuje tuanze mchakato upya wa kudai katiba ya wananchi wa Tanzania chini ya serikali itakayo kubali kutengeneza katiba huru
Tusikubali huu upuuuzi wa wabunge wa CCM na watawala wao
Kweli wabunge wa CCM wanaipeleka hii Nchi pabaya jamani! Ni aiabu kwao na wajue kuna siku watajutia uamuzi wa kipuuzi waliofikia!
Hivi jana kilichowatoa ni nini na leo wanang'ang'ania nini au wameona wataambulia mabua. hivi navyo vichekesho.
Bunge kama chombo muhimu katika taifa limeshindwa kusimamia haki na uswa, badala yake limegeuka bunge la Kibabe,Jiulize wanatoka nje wanakwenda wapi lazima mtu mwenye akili timamu ajiulize,Wanaoshangilia wezao kutolewa nje kwa kusimamia haki hawana akili hata kidogo, siwatukana ila ndio ukweli hawajui wanalolifanya hata kidogo,wamelifanya bunge kuwa sehemu ya kubumzika na kulala na wabunge hao ndio wanaohusiswa na uuzaji wa madawa ya kulevye, Naweza kusema huu ni udikitete mkubwa ndani ya bunge, ni dali za kuonyesha utawala dhaifu kuanguka'
'