Mbowe atolewa nje ya bunge

Mbowe atolewa nje ya bunge

Kiongozi mzuri husikiliza hoja na kutoa maamuzi. Alichofanya Ndugai hata mzee wa kijijini asiye na elimu hatafanya. Aibu yake na hata kwa Taifa.
Huyu dogo ana akili sana kuliko lile likichwa kama tikiti maji la ndungai..
1175611_597697553615749_1751706070_n.jpg

cc mkuu concord nh
 
Last edited by a moderator:
. kama ameongea bilaa ruhusa kwanini asitimuliwa kama anakaidi !
 
Naibu spika J. Ndugai ametoa amri Mbowe atolewe nje baada ya Mbowe kuomba muongozo ila Job Ndugai akamuamuru akae chini na asiongee chochote ndipo Mbowe akakataa kukaa mpaka asikilizwe anachotaka kusema.

Wabunge wa upinzani wamegoma Mbowe kutolewa nje na kinachoendelea ni kupigana kati ya askari na wabunge wa CHADEMA.

Video hio hapo.
 
Last edited by a moderator:
ndiyo mazao ya mipasho ya ndugai hayo. Badala ya kuendesha bunge ktk misingi inayofaa, analeta mipasho. Naunga mkono mbowe kutokubali kutoka.
Hivi jana kilichowatoa ni nini na leo wanang'ang'ania nini au wameona wataambulia mabua. hivi navyo vichekesho.
 
Labda kwao itakuwa ni kama ya Ndugai, Lukuvi au Pindi Chana!
Ha ha ha!
Uongozi ni aina flani ya kipaji na wala haihusiani na idadi ya vyeti vya kitaaluma ulivyojaza kwenye frame zako sebleni na ndio maana kuna wasomi wengi tu tena waliobobea kwenye taaluma zao lakini wameshindwa kuongoza hata familia zao.
 
There are currently 5034 users browsing this thread. (280 members and 4754 guests)
 
Nafiri Watz wameshaelewa kuwa tuna watunga sheria (Wabunge) wa aina gani. Ni juu yetu sasa kuchukua hatua. Kati ya haya mojawapo linawezekana. Either

i. Kuipinga kwa kura Katiba ya CCM na Serikali yake, AU
ii. Waendelee na mambo yao ya kutengeneza sheria za kuhujumu katiba ya wananchi na Baadae Tuje tuanze mchakato upya wa kudai katiba ya wananchi wa Tanzania chini ya serikali itakayo kubali kutengeneza katiba huru

Tusikubali huu upuuuzi wa wabunge wa CCM na watawala wao

watu kama mbowe na genge lake ni wa kuchapwa viboko tu.
 
Naona ustahimilivu wa uongozi mbovu bungeni unazidi kupotea. siku ya wabunge kupigana ngumi na viatu kama wale wa Asia naona haiko mbali sana. naomba Mungu anipe uhai niweze kuishuhudia hiyo siku.
 
asante mkuu kwa update zako
nimeamini kuna watu utafikiri CCM ikifa na wao watakufa kweli CCM inauawa na wanaccm wenyewe wanairahisishia CDM kazi 2015
NDUGAI??????
 
Bibi kiroboto ana akili kuliko huyo nduga
daaah we noma mkuu hahhahaahahha bora kiroboto kuliko Ndugai
 
Hivi jana kilichowatoa ni nini na leo wanang'ang'ania nini au wameona wataambulia mabua. hivi navyo vichekesho.

Chadema ni sawa na mwanamke mwenye gubu jambo dogo amesusa na kurudi kwao halafu kesho anajirudisha
 
ccm na serikali yake wataendelea kutuhakikishia kwamba hawana busara tena ya kuongoza nchi hii, hivyo 2015 tunawaondoa kilaini na kama watangangania kwa nguvu Tanganyika itageuka kuwa Siria
 
>Huyu naibu spika ukimwangalia kwenye hii picha utajua ni mtu wa namna gani! Haihitaji elimu ya juu!
Bunge kama chombo muhimu katika taifa limeshindwa kusimamia haki na uswa, badala yake limegeuka bunge la Kibabe,Jiulize wanatoka nje wanakwenda wapi lazima mtu mwenye akili timamu ajiulize,Wanaoshangilia wezao kutolewa nje kwa kusimamia haki hawana akili hata kidogo, siwatukana ila ndio ukweli hawajui wanalolifanya hata kidogo,wamelifanya bunge kuwa sehemu ya kubumzika na kulala na wabunge hao ndio wanaohusiswa na uuzaji wa madawa ya kulevye, Naweza kusema huu ni udikitete mkubwa ndani ya bunge, ni dali za kuonyesha utawala dhaifu kuanguka'
'
Deputy-Speaker-Job-Ndugai.jpg

 
aisee ni aibu sana, tunakokwenda ni kubaya, wananchi hatuna wawakilishi tena bungeni bali tuna watu wanaopata posho wakati hali za wananchi zinakuwa mbaya zaidi. vita badala ya mijadala yenye tija itaisha lini?
 
Yaani nimejizuia sana nimeshindwa huyu Ndungai hafai tena hafai kuliongoza bunge kila awapo bungeni lazima alete tafrani nahisi kichwani kwake hayupo sawa kwakweli..... mtu ambaye hajui ana watoto wangapi ataweza kuliongoza bunge... shame on you ndungai unalitia taifa letu aibu @#$%^^?><@&^##%)()#)# :A S-fire1:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom