Mbowe atolewa nje ya bunge

Mbowe atolewa nje ya bunge

Tatizo la watu wenye upeo mdogo kama Ndugai ni kudhani kumtoa Mbowe bungeni ni kumkomoa,-- ni sawa na mwalimu kilaza anayechukia mwanafunzi anayeuliza maswali ya udadisi darasani na kuamua kumtoa nje kwamba anasumbua wengine.

Mtu wa namna hii ni dhaifu kichwani.
 
Mkuu, inabidi bunge lirekebishe kanuni zake ili kutoa sifa za ziada kwa kiongozi wa kambi ya upinzani. nadhani mbowe kinachomsumbua ni uelewa na kiwango chake cha elimu. sitegemei kama anaweza kujenga hoja za maana. yeye amezoea kukariri tu maswali kwa waziri mkuu
Kichwa cha mbowe hata cha ray-c hana kitu kabisa kichwani kweli hai walichagua tigiti maji jamani hata ustarabu unamshinda japo ni mtu mzima sas.
 
Mbowe anastahili kuchukuliwa hatua za nidhamu kwa utovu wa nidhamu aliouonesha

Peleka MKUNDULE kule!! Ulimchukulia aliekuzaa hatua gani kwa kukuzaa Punguani wewe? Watu wanazungumzia mambo ya msingi halafu wewe unaleta Masihara kama ya JOBLES NDUGAI!? Sio baba yako Kikwete wala Wewe mwenye kuweza kumshitaki Mbowe!

Embu niambie wewe Kishoiya kosa la Mbowe ni lipi maana aliomba tu mwongozo na yule Msengelema Ndugai akakataa badala amsikilize halafu ndio amkatalie anachokisema eti anaita askari wa bunge kumtoa nje!
Nani sasa hakutumia akili hapo?
 
wapinzani komaeni. Ndugai hafai kuwa hata katibu kata
 
Hivi Ndugai familia ya Ndugai inaficha wapi nyusa zao. Maana anatia sana aibu haka kazee. Hivi mkewe si anapata shida sana.!!


[]Kiongozi mzuri husikiliza hoja na kutoa maamuzi. Alichofanya Ndugai hata mzee wa kijijini asiye na elimu hatafanya. Aibu yake na hata kwa Taifa.
[/QUOTE]ngoma ipo singo mtambalike ile
 
Akigwe kwa kosa gani ndugu? Una waoto kweli wewe? Unataka kuwaachia nchi ya aina gani kama hatutatengeneza katiba nzuri lehii! Haya sio mambo ya kufanyia ushabiki ni mambo serious sana na NDIYO anayohitaji Mh. Mbowe na mtanzania yeyote mwenye kuona mbele. CCM na Ndugai wanataka kutuletea balaa kutokana na ulevi wa madaraka na kusahau nchi yetu.
HAKIKA HAWATAFANIKIWA.


Mbowe siyo wa kuchekea tena walipaswa polisi wampige sana anataka kufanya hii nchi iwe ya vurugu kila kukicha wangemvunja hata mkono au umguu iwe fundisho ili asirudie tena.
 
Mbowe siyo wa kuchekea tena walipaswa polisi wampige sana anataka kufanya hii nchi iwe ya vurugu kila kukicha wangemvunja hata mkono au umguu iwe fundisho ili asirudie tena.

mbowe aka dj zero ni mhuni wa kawaida tu
 
Tatizo la watu wenye upeo mdogo kama Ndugai ni kudhani kumtoa Mbowe bungeni ni kumkomoa,-- ni sawa na mwalimu kilaza anayechukia mwanafunzi anayeuliza maswali ya udadisi darasani na kuamua kumtoa nje kwamba anasumbua wengine.

Mtu wa namna hii ni dhaifu kichwani.
Kujibu ni hatua kubwa sana mbowe hata kufikili tu nitatizo hana shule hata akili ya kawaida hana uwezo wake ni kuendesha mziki tu.
 
Akigwe kwa kosa gani ndugu? Una waoto kweli wewe? Unataka kuwaachia nchi ya aina gani kama hatutatengeneza katiba nzuri lehii! Haya sio mambo ya kufanyia ushabiki ni mambo serious sana na NDIYO anayohitaji Mh. Mbowe na mtanzania yeyote mwenye kuona mbele. CCM na Ndugai wanataka kutuletea balaa kutokana na ulevi wa madaraka na kusahau nchi yetu.
HAKIKA HAWATAFANIKIWA.

tatizo la mbowe ni shule ndogo
 
Kwa wale wenye kusahau huyu Mbowe ndie Mwenye-KITI wa chama cha siasa kinachojihita "CHADEMA" sasa ndio utapata picha hiki chama kinaongoza na mtu wa kaliba gani? na anaowaongoza ni watu wa aina gani? Chadema ni bure kabisa tena cha hovyo.
 
Walichagua wavuta bangi waitegemea nini chama kimejaa wavuta bangi haya ni matokeo yake,
chadema karibia kila mtu anavuta haya ndiyo matokeo yake.
bangi zao nzuri sana waendelee kuvuta kwa mustakabali wa nchi yetu
 
Mawazo unayotoa utadhani umenunuliwa chadema wanataka kutumia katiba mpya nchi isitawalike kamwe hawataweza tuwapuuze hawana jipya ni mipango yao ya kitoto sana.
mijitu mingine akilizao kama za ponooooooooooooooooo
 
Tatizo la wabunge wa CCM ni kuona kuwa wanawajibu wa kutetea ccm hata kwa issue za msingi
 
Leo kulikuwa na tafrani bungeni baada ya naibu spika wa bunge kuita askari kuingia ndani ya ukumbi wa bunge kumtoa kiongozi wa upinzani kwa nguvu jambo lilozua fujo na kusababisha mbunge wa CUF Moza Abeid kuvuliwa hijab yake kinyume kabisa na miongozo ya dini ya kiislam. Je huu ni uungwana?
 
Kujibu ni hatua kubwa sana mbowe hata kufikili tu nitatizo hana shule hata akili ya kawaida hana uwezo wake ni kuendesha mziki tu.
huyo kilaza wenu kwa nini anatumia kiti chake kwa ubabe? hayupo pale kama katibu wa tawi la CCM bungeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom