Mbowe atolewa nje ya bunge

Mbowe atolewa nje ya bunge

>Narudia tena SPIKA ANAPASWA KUWA MWANASHERIA KUMWEKA SPIKA KAMA MAKINDA AMBAE HAJUI SHERIA NA NAIBU SPIKA KAMA NDUGAI AMBAE AMESOMEA MAMBO YA WANYAMA NI MAJANGA SANA... KATIBA ITAMKE KWAMBA SPIKA LAZIMA AWE MWANASHERIA...

wahuni wahuni km machadema yasiyosikia na kutaka kuvunja sheria ndio yanaona yanaonewa. Acheni spika afanye kazi yake
 
Mwenye mapenzi ya kweli na nchi na mwenye kutaka mabadiliko ya kweli usitumie nguvu yoyote kuwajibu hawa buku 7 waache waropoke while waungwana tunaongelea mikakati ya kuleta maendeleo ya kweli
 
By Tambala
Chadema ni sawa na mwanamke mwenye gubu jambo dogo amesusa na kurudi kwao halafu kesho anajirudisha

TAMBALA LA KUFUTIA MA.......I CHOONI
 
kumbe Ndungai bado kibaraka wa ccm ngoja katiba ianze, afadhali ya Ana angalau anavumilia.
 
>Mkuu umenikumbusha picha ya sarafina na huyu mtoto wakati anataka kuliwa na fisi...!
Huyu dogo ana akili sana kuliko lile likichwa kama tikiti maji la ndungai..
1175611_597697553615749_1751706070_n.jpg

cc mkuu concord nh
 
Last edited by a moderator:
Ndugai kumtoa nje ya ukumbi mh.mbowe si suluhisho ,na hawezi kuwa maarufu kuliko kujenga hoja kwa nini achukue hatua hiyo ambayo imeleta mvurugo wa kazi za bunge ,hatuhitaji kuwa na PHD kuona alivyofanya tunaangalia jinsi anavyoshindwa kujenga umoja ndani ya bunge na kusikiliza hoja mbalimbali za wabunge bila kujali itikadi ya chama ,aonyeshe kujali utaifa kwanza asitawaliwe na hasira .
 
huwa nashangaa watu wanao yashabikia maccm kwa upuuz kama huu!!
 
Yote yanamwisho lakin kabla ya mwisho wa hayo huo ndo mwisho wa maccm japo yanafikiri yana save!
 
Kila mbunge wa ccm anae simama ni kuisema cdm.badala ya kufocus kwenye mjadala wamekalia kuisema cdm..
 
huyu zambi anaongea upuuzi mtupu eti haoni mtu wa kuwa rais kutoka upinzani!!wananchi ndo tutaamua na mwenyekiti wao ameishawambia waache kutegemea polisi
 
Duh kumbe Vita inaanzia humu humu ndani afu mnasingizia Rwanda ona Bunge lenu Full aibu
Amini usiamini hiyo ndo democrasia ya vyama vingi. Iko siku watazichapa kikweli kweli na itakupasa kuamini tu hata kama ni aibu.
 
Mwenye mapenzi ya kweli na nchi na mwenye kutaka mabadiliko ya kweli usitumie nguvu yoyote kuwajibu hawa buku 7 waache waropoke while waungwana tunaongelea mikakati ya kuleta maendeleo ya kweli
mkuu N-handsome, hawa watu wanatumia nguvu na gharama kubwa sana kuwavuta watu wanaosonga mbele mashati na matokeo yake tunaanza kudharauliwa na nchi majirani kwa upuuzi wetu.
 
Hili ndio tatizo kuwa na viongozi wajinga,mkuu wa kambi ya upinzani kaudhalilisha upinzani bungeni,badala ya kujenga hoja ikaeleweka na kuwashawishi wabunge yeye ameona njia pekee ni utovu wa nidhamu na dharau kwa mh.spika.
Mbaya zaidi wabunge wanafanya haya baada ya kuwa wameshachukuwa posho,kwanini wasisusie vikao na kususia posho ili tuwaone kuwa ni wazalendo kamili wa nchi?
Dr.slaa enzi zake alipata umaarufu Tanzania kwa kujenga hoja tuu,hakufanya siasa za matukio za kuletafujo bungeni ili aandikwe kwenye magazeti,kweli ya MISRI yananukia Tanzania maana hata kama chadema itashinda naamini itashindwa kutawala maana wananchi wanaaminishwa makubwa ambayo ni ngumu kuyapata kwa aina ya viongozi wa chadema ,hivyo wananchi wataandamana na kuitoa serikali kwa nguvu na kwa jinsi walivyo madictator hawatakubali na hivyo wataua sana waandamanaji na mwisho taifa litaongozwa kijeshi kama ilivyo misri ya leo.
kweli chadema ni janga la taifa tushirikiane kulitokomeza.

spika aliku samwel sita, huwezi mlinganisha na wapumbavu, ndugai na makinda. mbowe yuko right.
 
ukitaka kucheka TZ fuatilia mambo a maana! wenzetu wanafuatilia commedy, udaku na cartoons sie mambo ya maana ndo yanachekesha jinsi tusivyo siriasi!!!
 
Chadema ni sawa na mwanamke mwenye gubu jambo dogo amesusa na kurudi kwao halafu kesho anajirudisha



....ujumbe huu na umfikie mamaako mzazi,bibi yako,mkeo na shangazi zako kwa hisani ya babaako!!!!i puke!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom