Bunge kama chombo muhimu katika taifa limeshindwa kusimamia haki na uswa, badala yake limegeuka bunge la Kibabe,Jiulize wanatoka nje wanakwenda wapi lazima mtu mwenye akili timamu ajiulize,Wanaoshangilia wezao kutolewa nje kwa kusimamia haki hawana akili hata kidogo, siwatukana ila ndio ukweli hawajui wanalolifanya hata kidogo,wamelifanya bunge kuwa sehemu ya kubumzika na kulala na wabunge hao ndio wanaohusiswa na uuzaji wa madawa ya kulevye, Naweza kusema huu ni udikitete mkubwa ndani ya bunge, ni dali za kuonyesha utawala dhaifu kuanguka'
'
'