Mbowe atolewa nje ya bunge

Mbowe atolewa nje ya bunge

>Hiv kwa akili yako ndogo wapi umeona akisimama pinda akaachwa kupewa nafasi? Sembuse pinda hata Lukuvi mbona akisimama tu anapewa nafasi? Hujui nafasi ya Mbowe kwenye bunge wewe kaa kimya!
Hivi bungeni kama kila mbunge akijiona hana haki na kuamua kusimama kuongea na akiambiwa aache na Spika agome............kweli kutakuwa na Bunge?

Siku tegemea mtu kama Mbowe anaweza kufanya aliyofanya

Kuna haja ya CDM kuangalia upya strategies zao za kisiasa................hizi siasa zenye elements za ubabe na vurugu itafikia mahali wataonekana kama kundi la vurugu
 
Mbowe sijui familia yake anaiongozaje kama vitu vya kawaida kabisa vinamshinda itakuwaje maswala yanayohusu tafakali pana kweli siasa zimebakwa siku hizi.
 
Hili ndio tatizo kuwa na viongozi wajinga,mkuu wa kambi ya upinzani kaudhalilisha upinzani bungeni,badala ya kujenga hoja ikaeleweka na kuwashawishi wabunge yeye ameona njia pekee ni utovu wa nidhamu na dharau kwa mh.spika.
Mbaya zaidi wabunge wanafanya haya baada ya kuwa wameshachukuwa posho,kwanini wasisusie vikao na kususia posho ili tuwaone kuwa ni wazalendo kamili wa nchi?
Dr.slaa enzi zake alipata umaarufu Tanzania kwa kujenga hoja tuu,hakufanya siasa za matukio za kuletafujo bungeni ili aandikwe kwenye magazeti,kweli ya MISRI yananukia Tanzania maana hata kama chadema itashinda naamini itashindwa kutawala maana wananchi wanaaminishwa makubwa ambayo ni ngumu kuyapata kwa aina ya viongozi wa chadema ,hivyo wananchi wataandamana na kuitoa serikali kwa nguvu na kwa jinsi walivyo madictator hawatakubali na hivyo wataua sana waandamanaji na mwisho taifa litaongozwa kijeshi kama ilivyo misri ya leo.
kweli chadema ni janga la taifa tushirikiane kulitokomeza.
 
This Guy is not serious about the serious issue of this Country
 
>Hiv kwa akili yako ndogo wapi umeona akisimama pinda akaachwa kupewa nafasi? Sembuse pinda hata Lukuvi mbona akisimama tu anapewa nafasi? Hujui nafasi ya Mbowe kwenye bunge wewe kaa kimya!
Kwani pinda nimwehu kama mbowe na lini pinda umeona akilazimisha kusimama hata sehemu ambayo haistahili n vema akil yako ungeiweka mbele kulikomkuicha nyuma ukaweka ujinga mbele.
 
Mrema dume la mbegu anawachamba macdm na cuf yao funguka baba

Hujielewi mkuu, au kwa njia moja au nyingine unajipotosha mjengoni siyo sehemu ya vijembe ni sehemu za hoja hawalipwi kodi zetu ili kupashana, shame kama tutaendelea kuwa ni kizazi chenye kufikiri kama wewe ashakum si matusi ni bora kuwa na zezeta tutaelewa moja.
 
>Uwezo wako wa kufikiri ndipo ulipoishia? Siamini
Kichwa cha mbowe hata cha ray-c hana kitu kabisa kichwani kweli hai walichagua tigiti maji jamani hata ustarabu unamshinda japo ni mtu mzima sas.
 
Japo ntakuwa nimetoka nje ya maada kidogo ila naomba nieleweke kuwa "binafsi naunga mkono KUR kujiondoa kutumia bandari yetu" kwa kuwa kama huyu Aduiai ankosa hata uvumilivu tu wa kumsikiliza tu mbunge awataweza wapi kukubali hoja za majirani wetu juu ya kupunguza vikwazo barabrani na kuongeza ufanisi?
 
Tatizo ni kujifanya wajuaji hata pale wanapo shindwa kwa kura, CHRISTIAN DEMOCRATIC UNION wanawadanganya wanachadema.style ya kufanyafujo pale wanaposhindwa kwa kura ni utovu wa nidhamu na kutafuta cheap popularity,Istoshe katiba si ya chadema bali ni ya watanzania hivyo kama hamna cha kuchangia bora mhiudhuru kuliko kususia bunge jana halafu leo mnarudi bungeni wakati mnajua hoja ni ileile,na mkakubali kupiga kura wakati mnajua mtashindwa.huu ni upumbavu na kutotambua majukum yenu.
Chademq walilenga kufanya fujo ndio maana wakaja bungeni wakati wanajua kuwa hoja ni ileile.pia walilenga kupata posho bila kazi yoyote ya msingi zaidi ya vurugu.je posho ambazo ni pesa za walipa kodi ni kwaajili ya kuwalipa wafanya fujo?
 
]Kwani hijabu ni ile kanzu au ni kile kitambaa cha kichwani hadi shingoni au ni vyote kwa pamoja?[/COLOR] In that regard, amevuliwa nini? Sikuwa na nafasi ya kuangalia vipindi vya bunge. Naona leo nimemiss kweli kweli. Kuanzia KUB kuondolewa bungeni hadi wengine kuvulia hijabu!!! Mmh!

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Kitambaa cha kufunika nywele.
 
Nafiri Watz wameshaelewa kuwa tuna watunga sheria (Wabunge) wa aina gani. Ni juu yetu sasa kuchukua hatua. Kati ya haya mojawapo linawezekana. Either

i. Kuipinga kwa kura Katiba ya CCM na Serikali yake, AU
ii. Waendelee na mambo yao ya kutengeneza sheria za kuhujumu katiba ya wananchi na Baadae Tuje tuanze mchakato upya wa kudai katiba ya wananchi wa Tanzania chini ya serikali itakayo kubali kutengeneza katiba huru

Tusikubali huu upuuuzi wa wabunge wa CCM na watawala wao

watu kama mbowe na genge lake ni wa kuchapwa viboko tu.
 
hili ndio tatizo kuwa na viongozi wajinga,mkuu wa kambi ya upinzani kaudhalilisha upinzani bungeni,badala ya kujenga hoja ikaeleweka na kuwashawishi wabunge yeye ameona njia pekee ni utovu wa nidhamu na dharau kwa mh.spika.
Mbaya zaidi wabunge wanafanya haya baada ya kuwa wameshachukuwa posho,kwanini wasisusie vikao na kususia posho ili tuwaone kuwa ni wazalendo kamili wa nchi?
Dr.slaa enzi zake alipata umaarufu tanzania kwa kujenga hoja tuu,hakufanya siasa za matukio za kuletafujo bungeni ili aandikwe kwenye magazeti,kweli ya misri yananukia tanzania maana hata kama chadema itashinda naamini itashindwa kutawala maana wananchi wanaaminishwa makubwa ambayo ni ngumu kuyapata kwa aina ya viongozi wa chadema ,hivyo wananchi wataandamana na kuitoa serikali kwa nguvu na kwa jinsi walivyo madictator hawatakubali na hivyo wataua sana waandamanaji na mwisho taifa litaongozwa kijeshi kama ilivyo misri ya leo.
Kweli chadema ni janga la taifa tushirikiane kulitokomeza.

wewe ni mburula tuu hujui unakokwenda mam........kooo
 
>Narudia tena SPIKA ANAPASWA KUWA MWANASHERIA KUMWEKA SPIKA KAMA MAKINDA AMBAE HAJUI SHERIA NA NAIBU SPIKA KAMA NDUGAI AMBAE AMESOMEA MAMBO YA WANYAMA NI MAJANGA SANA... KATIBA ITAMKE KWAMBA SPIKA LAZIMA AWE MWANASHERIA...
Harafu watu wengi sana humu ndani wanaongea, Ndugai hajielewi, hajielewi, inamaana hamjuai kama jamaa hajielewi mpaka mnapoteza mda wenu kuhoji Kama Ndugai anajielewa.

Kama mtu anashindwa kujua idadi ya watoto wake, huyo anajielewa kweli? msinitanie.
 
Yaani nimejizuia sana nimeshindwa huyu Ndungai hafai tena hafai kuliongoza bunge kila awapo bungeni lazima alete tafrani nahisi kichwani kwake hayupo sawa kwakweli..... mtu ambaye hajui ana watoto wangapi ataweza kuliongoza bunge... shame on you ndungai unalitia taifa letu aibu @#$%^^?><@&^##%)()#)# :A S-fire1:

huna maana km dj wako mbowe. Lazima mshughulikiwe na sheria ipasavyo. Big up sana ndugai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom