Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,512
Msalimie mkirua mwenzako Mbatia
Kawasalimie waliberali na matambala wenzio CUF
Msalimie mkirua mwenzako Mbatia
Mimi yangu meso tu. Mkuu paradiso nikisahau kufungua runinga likianza nikumbushe.yani sinema bado mpya kabisa, tena hii ni 3D.
Hebu toa ushamba wako hapa kinachokufanya na wewe usiangalie kwenye TV niniKafanya gani? funguka
Mkuu ni walewale mliokunywa uji wa mgonjwa na mgonjwa akafariki.Loliondoo
Kichwa cha mbowe hata cha ray-c hana kitu kabisa kichwani kweli hai walichagua tigiti maji jamani hata ustarabu unamshinda japo ni mtu mzima sas.
Nguvu na hadhi ya KUB ni nini sasa?
Ujinga wa kukandamiza upinzani na kuwafanya kama watoto wadogo ndio una sababisha yote hayo.
Siasa ni ubishi na mivutano ya kihoja isiyokoma.Hiyo ndiyo asili ya siasa; Hivyo ndivyo siasa ilivyo.Bungeni ni sehemu yenye mlundikano wa wanasiasa.Katika mazingira hayo ni lazma mivutano mikali iwe inajitokeza.Kazi ya spika ni ku "moderate" tu; hata hivyo kazi hiyo inahitaji umakini mkubwa.Spika anapo moderate kwa kufuata kanuni na hoja; anaevuta makini ya watanzania ni yule mwenye hoja nzito. Spika anapotumia mabavu ;anaevuta makini ya watanzania ni yule anaepiga au anaepigwa. Ona sasa spika alivyovuta makini ya wananchi wengi bila sababu ya msingi. There are currently 4754 users browsing this thread. (273 members and 4481 guests)
Mkuu, huwezi kumpa hadhi mtu ambaye hana akili timamu. CHADEMA walikosea sana kumchagua mbowe kuwa mwenyekiti wa chama chao
Mkuu, huwezi kumpa hadhi mtu ambaye hana akili timamu. CHADEMA walikosea sana kumchagua mbowe kuwa mwenyekiti wa chama chao