Mbowe atolewa nje ya bunge

Mbowe atolewa nje ya bunge

Kweli wabunge wa CCM wanaipeleka hii Nchi pabaya jamani! Ni aiabu kwao na wajue kuna siku watajutia uamuzi wa kipuuzi waliofikia!
 
Hii habari ni uzushi haina ukweli wowote mimi nilitizama bunge karibia lote nilichokiona ni huo ujinga wa mbowe na mwanae Sugu ila hili hapana hebu leta ushahidi wa kueleweka.
Kama ulitazama Bunge TBC hukuona chochote zaidi ya kumwona Ndugai akiwa mbele bila kuona kilichokuwa kinaendelea wakati wa vurumai husika.
 
Nalaani hiki kitendo, kama bunge limefikia hapa tunapokwenda sio kwenyewe.
Chadema, cuf na nccr mageuzi,
unganeni 2015 kulitokomeza hili lidudu ccm.

Hapa tunaopaswa kuungana ni sisi watanzania na siyo vyama.
 
Kwa wewe na mbowe unatofauti gani kama unaongea ubwabwa kama huu utakuwa na kipya,

mkiambiwa rudieni fani zenu za muziki mnakataa na kukomaa kwenye mambo yanayohitaji akilina nyie akili hamnazo.
nimetoka kusema , narudia tena watu kama wewe wanamagovii ya akili bila kutahiriwa ni kazi kuuona na kuujua ukweli....ni mburula alieshindikana, ni mjinga wa kiwango cha juu
 
Heheheheh good observation! Nimeangalia bunge sijasikia ndugai akisema " askari mvue hijabu huyo Mh Moza"
Ulimsikia akisema Askari jiandaeni kwa dakika tano? Ali waambie wajiandae kufanya nini? Picha za video zitaweza kutuumbua maana zipo.
 
Fanya editing mada yako huyo ndugai hawezi kutoa amri mbunge avuliwe hijabu
 
Ni kweli Mhe.Moza Abeid , Mbunge wa Viti maalum CUF kutoka Kondoa, amevuliwa Hijab yake kwa nguvu na Askari kana kwamba sio sehemu ya vazi rasmi la Bunge , Mbunge huyu amedhalilishwa sana na dini ya Mwenyezi Mungu imedhalilishwa na Bunge kwa maelekezo ya Ndugai na Askari wake ambao hawajali vazi rasmi la mwanamke wa Kiislamu, au isemwe kama hairuhusiwi kwa wanawake wa Kiislamu Kujisetiri ili ijulikane .

Si mliipigia debe ccm mpaka misikitini, haya ndiyo madhara yake, mapigo yanaanza kuonekana hapahapa duniani.
 
Mkuu mbowe ni zaidi ya mbumbu fuatilia matendo yake utakumbuka kauri yangu.

Umbumbumbu wa mtu hupimwaje? Nikipima umbumbumbu wako kwa kutojua unachokiandika nitakuwa sahihi? Jifunze kuandika kwanza ndipo utuletee umbumbumbu wa mbowe.

Kauli = √
Kauri=×
 
hii ni aibu jamani, sasa KUB kutotii maagizo ya kiongozi wake weledi uko wapi, hawa ndio wanaotaka kutuongoza wenyewe hawafuati taratibu nchi itaingia shimoni hii
kakojoe ulale wewe akili kama ya mkuu-ndugai wako!!magamba woooote hampo sawa upstairs...
 
:yield::yield::yield::yield::yield:

Siku moja bendera tofauti itapepea nchi hii, waliozoea mabavu watalia na kusaga meno
 
bunge la kidemokrasia lina mda mrefu sana kuja kutokea Tanzania na Afrika kwa ujumla
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom