Mbowe atolewa nje ya bunge

Mbowe atolewa nje ya bunge

Mkuu kijome :yield: umepotea Kamanda. .uko wapi???? Kamanda sweetylady, kama hanipha, kamanda arusha one.mpooo?
 
Tatizo ccm wanafikiria TZ ni yao.ndo

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
I wish magamba wangujua how much Tanzanians wanavyo mpenda mh.mbowe wala wasingefanya huoujinga...mh.mbowe ni kipenzi cha watu..wanazidi kutukasirisha wananchi grrrrrrrrrr !!!!!!! naichukia magamba. .namchukia kikwete. .makamanda nina hasira grrrrrrrrrr! !!! Makamanda magamba yanaharibu nchi , makamanda grrrrrrrrrr! !!!!
 
Actualy jana hakukua na parliament fight sababu wabunge wa cdm hawakuanzisha vurugu ila walikua wanamlinda kiongozi wa upinzani, spika ndugai ndo akaamuru polisi waonyeshe upolisi wao baada ya polisi kuonekana wakiwapa heshima wabunge wa upinzani hapo ndipo naibu spika alipoonekana akimwelekeza kwa kumnyooshea kidole mh.sugu atolewe kwa nguvu hapo ndipo polisi walipofanya walichofanya. Uki compare na mabunge mengine polisi hawana uwezo wa kumpiga au kumshurutisha mbunge vile huaga wanaachiwa uwanja mpaka kundi moja litakapo salimu amri. . .kama unabisha google video of world parliament fights
 
swala jana alina tofauti na kagame na kikwete kwa maanakua,kulikua amna aja ya N.spika Kukaidi kwakutumia nguvu ya jeshi jüu ya KUB mh.Mboe!ilikua rahisi tu kumsikiliza alafu basi, labda Job alikua anakamilisha job yake ya kuikandamiza cdm tu!au analake jengine kwasababu apakua na haja yakufika pale walikofika!,ndomana nilifananisha na kik vs kag kwan,kagame hakua na haja ya kuchukia kiasi kile!
 
Kuna mbunge mmoja wa ccm jioni hi namsikiliza anasema kwani mkipata hiyo katiba mpya baiskeli ndo hazita pata pancha?mkipata katiba mpya barabara ndo zitajijenga? Anasema katiba mpya haina umuhimu wowote tusidanganyane hapa...huyo ndo mbunge wa CCM!
Poor CCM, ndio umejiishia hivyo
 
Mh.NDUGAI kumbuka tu kwamba utu wa mwanadamu huja tu pale mwanadamu anapotambua thamani yake binafsi na thamani za wengine.KWA MAANA HIYO IPO SIKU ATATOKEA MBUNGE ATAKAYE KUTOA WEWE NJE.
 
jana wakati nikiwa nimepata dakika kiduchu za kuchungukia kile kinachoendelea huko mjengoni nilishitushwa na kauli aliyoitoa mh. naibu spika wa bunge la jamhuri ya muunga no wa tanzania baada ya wapinzani kutoka nje ya bunge kwa kuwaambia kwamba WANANCHI WANAWAONA NA KUWASHANGAA HUKO MAJIMBONI KWENU. kiukweli ndugai hakufikiria wakati anazungumza hilo ila mimi ninachokijua ni kwamba wananchi whawawashangai wabunge wao kwa kutoka nje ya ukumbi wa bunge bali wanamshangaa yeye ndugai kwwa jinsi na namna anavyolipeleka bunge. watu wanahoji ni kipi cha msingi kilichomfanya mh ndugai kumwamuru mh mbowe kutoka nje?
kwa ufahamu mpana kabisa ndugai alifanya hivyo kwa kudhamiria ili kwamba wabunge wa upinzani waonekane wanamapungufu hakujua kama cv yake inashuka na watanzaia walishagundua kitambo sana kwamba hizo ni njia za magambazzzzzzzzzz kuwin majority confidence na kwa taarifan yako mh ndugai mpango wako umechovya chini kwa sababu wabongo washamstukia kitambo sana na unapoteza cv yako kaka rudi jimboni kwako kaweke hali sawa ya mambo coz hilo jimbo lako mwwenyewe linaingia katika peoplesssss ppowerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr so pole sana ndugai.
cha kukushauri wewe fanya kazi yako kama spika na sio kushabikia ya huku mtaani tuachie sisi wapigakura
 
TATIZO NI KUTOJUWA NINI KAZI YA SPIKA NI NINI? kiukweli ndugai ndiye aliyechemsha NA YEYE NDIYE ALISABABISHA FUJO ZITOKEE BUNGENI, Spika amegeuza bunge kuwa kikao cha kutetea mapungufu ya chama na sio mahali pakuwajibisha chama na serikari yake, Kukosekana kwa uzalendo wa speka ndio maana haya yote yanatokea. Tumwombee Kwa Mungu Ndugai ABADILIKE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom