Hapa ndipo tunapokosa uzalendo wa kweli kwa Taifa la Tanzania, Katiba bora ni kwa manufaa yetu wote na vizazi vijavyo
CCM wanafanya mambo kama watoto, wanafanya mambo bilakujuwa kunakesho na keshokutwa, siku hazigandi na Tanzania si mali ya ccm.
Katiba kwa maana moja au nyingine ndiyo kiungo na tiba ya majeraha mbalimbali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.
CCM ni kama wamerogwa na ukitathimini kwa undani zaidi utagunduwa kashifa za ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka,
Madawa ya kulevya na utesaji ni jinamizi linalowaogopesha sana katika kuunda katiba. Matokeo yake wanaharibu
matumain yawatanzania kwamba katiba itatoa majibu ya utata na kuweka misingi mizuri ya utawalabora.
Hivi bungeni kama kila mbunge akijiona hana haki na kuamua kusimama kuongea na akiambiwa aache na Spika agome............kweli kutakuwa na Bunge?
Siku tegemea mtu kama Mbowe anaweza kufanya aliyofanya
Kuna haja ya CDM kuangalia upya strategies zao za kisiasa................hizi siasa zenye elements za ubabe na vurugu itafikia mahali wataonekana kama kundi la vurugu
Wewe nawe boonge la mbulula. Watoto wa Sekondari ndio unawaona SI unit ya fujo wakati wana akili kukuzidi wewe mpuuzi unayeshinda humu kutetea wapumbavu wenzio CCM. Wewe endelea kutetea tonge lako kwa post za buku 7 watoto wa sekondari wanajiotambua acha kabisa kuwadharau wana akili kuliko wewe.
tatizo la kutumia miguu kufikiri then ukadhani wewe ni mjanja ndiyo haya.Mbowe alidhani hupo kwenye kampen ambapo huwa anaropoka hadi mishipa ya shingo inamsimama kama kakabwa na vibaka.toa nje kilaza huyo kanuni za bunge lazima ziheshimiwe asilete udj wake
Camera man wa TBC 1 mjinga kweli badala ya kutuonyesha kinachotokea yeye antuonyesha job ndugai
Hatuna jinsi zaidi ya kuhamasisha watu kwa wingi waikatae CCM basi...ngoja niendi kijijini kwetu nianze kazi leo hii
Afu mtu akisema jamaa wanafujo anatukanwa, Kanuni za bunge ziliwekwa kwa utaratibu mzuri kabisa, sijui ingekua ni Mbowe amekatishwa huku akiongea angejisikia vipi? Ila yeye kwenye kukatisha huku mwenzake anaongea huko ni kujaribu kuonyesha kua yeye ndio ana nguvu zaidi bungeni au? Hapa jamaa simuungi mkono kabisa, Lile ni bunge, kama mbunge tena kiongozi mkubwa haeshimu bunge, nani ataliheshimu sasa? Hiyo tayari ni proof ya kuonyesha kushindwa kabisa kufanya kazi vzr, emotion nyingi hadi mtu unafanya hivo, ukipewa urais si nchi ikikutibua kidogo tu utapigana vita...
Mkuu, CHADEMA leo wamedhihirisha kuwa hawana uwezo wa kujenga hoja bali uwezo wao umeishia kwenye fujo. hata humu JF wafuasi wa CHADEMA utawajua tu kwa post zao
Usichokijua ni kuwa Mbowe ni Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani ana pewa nafasi kubwa kutoa mawazo yake kuliko wabunge wengine. Mbona huhoji Lukuvi kuongea mara kwa mara? Kawaulize wanaojua wakupe ufafanuzi zaidi.
Usichokijua ni kuwa Mbowe ni Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani ana pewa nafasi kubwa kutoa mawazo yake kuliko wabunge wengine. Mbona huhoji Lukuvi kuongea mara kwa mara? Kawaulize wanaojua wakupe ufafanuzi zaidi.
Mkuu, CHADEMA leo wamedhihirisha kuwa hawana uwezo wa kujenga hoja bali uwezo wao umeishia kwenye fujo. hata humu JF wafuasi wa CHADEMA utawajua tu kwa post zao