Mbowe atolewa nje ya bunge

Mbowe atolewa nje ya bunge

>Ndugai hana busara hata kidogo... Anazidi kuonyesha ni jinsi gani alivyo wa ovyo...
 
>Tbccm nao waovyo sana hawa! Badala ya kutuonyesha kinachoendelea wanamwonyesha spika!
 
Ninachokiona, ndugai anatafuta machafuko ndani ya bunge. Kulikuwa hakuna ugumu wa kusikilizwa kwa hoja ya mbowe ilikhali kamuachia lukuvi mda mrefu sana.
 
Sema hawa CCM wataendelea kunyongea haki zetu sababu ya wingi wao ila the day is coming
 
...afu ndugai wewe ujue tunakuangalia..! mambo yako tuanayamaindi sana,we fanya masiala tu...!!??
 
>Hongera upinzani kwa umoja dhidi ya waovu na waliolaaniwa...
 
Ndugai hana busara since day one,anaongozwa na jazba kama dada yake makinda,wote hawafai
 
Siku zote nasema ndungai hana busara kabisa..pale issue was simple muache aseme then bunge liendelee na majadiliano.
 
Kwanini Ndugai hajampa mkuu wa mambo ya upinzani nafasi? Kweli Tanzania upo tayari kwa multi party democracy?
 
Askari kama mmeshindwa kumtoa nje,mtu achie wenyewe(wabunge ccm).Nimeipenda hio kauli ya moja ya wabunge waliowasha maiki na kusema hayo.Naona hii itakuwa mfano na fundisho kwa wabunge woote wasio na adabu.
 
Utasikia wanasema upinzani ndio wakolofi, mbona kipindi cha Sita bunge lilikuwa na heshima. Saa hizi kimekuwa kama kijiwe cha wavuta bangi kwa kweli Ndungai si kiongozi kama wenzie wengi huko CCM walivyo.
 
Watanzania tutakua wajinga mpaka lini this is too much
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom