Mbowe atolewa nje ya bunge

Mbowe atolewa nje ya bunge

Hapa ndipo tunapokosa uzalendo wa kweli kwa Taifa la Tanzania, Katiba bora ni kwa manufaa yetu wote na vizazi vijavyo

CCM wanafanya mambo kama watoto, wanafanya mambo bilakujuwa kunakesho na keshokutwa, siku hazigandi na Tanzania si mali ya ccm.

Katiba kwa maana moja au nyingine ndiyo kiungo na tiba ya majeraha mbalimbali ya kisiasa, kiuchumi na kijamii.

CCM ni kama wamerogwa na ukitathimini kwa undani zaidi utagunduwa kashifa za ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka,

Madawa ya kulevya na utesaji ni jinamizi linalowaogopesha sana katika kuunda katiba.
Matokeo yake wanaharibu

matumain yawatanzania kwamba katiba itatoa majibu ya utata na kuweka misingi mizuri ya utawalabora.

Hatuna jinsi zaidi ya kuhamasisha watu kwa wingi waikatae CCM basi...ngoja niendi kijijini kwetu nianze kazi leo hii
 
Mbowe ni mhuni wa kawaida tu yule. Safi sana mh job ndugai.
 
Hivi bungeni kama kila mbunge akijiona hana haki na kuamua kusimama kuongea na akiambiwa aache na Spika agome............kweli kutakuwa na Bunge?

Siku tegemea mtu kama Mbowe anaweza kufanya aliyofanya

Kuna haja ya CDM kuangalia upya strategies zao za kisiasa................hizi siasa zenye elements za ubabe na vurugu itafikia mahali wataonekana kama kundi la vurugu

Usichokijua ni kuwa Mbowe ni Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani ana pewa nafasi kubwa kutoa mawazo yake kuliko wabunge wengine. Mbona huhoji Lukuvi kuongea mara kwa mara? Kawaulize wanaojua wakupe ufafanuzi zaidi.
 
Wewe nawe boonge la mbulula. Watoto wa Sekondari ndio unawaona SI unit ya fujo wakati wana akili kukuzidi wewe mpuuzi unayeshinda humu kutetea wapumbavu wenzio CCM. Wewe endelea kutetea tonge lako kwa post za buku 7 watoto wa sekondari wanajiotambua acha kabisa kuwadharau wana akili kuliko wewe.


Mkuu, CHADEMA leo wamedhihirisha kuwa hawana uwezo wa kujenga hoja bali uwezo wao umeishia kwenye fujo. hata humu JF wafuasi wa CHADEMA utawajua tu kwa post zao
 
Mbowe alidhani hupo kwenye kampen ambapo huwa anaropoka hadi mishipa ya shingo inamsimama kama kakabwa na vibaka.toa nje kilaza huyo kanuni za bunge lazima ziheshimiwe asilete udj wake
tatizo la kutumia miguu kufikiri then ukadhani wewe ni mjanja ndiyo haya.
 
Hatuna jinsi zaidi ya kuhamasisha watu kwa wingi waikatae CCM basi...ngoja niendi kijijini kwetu nianze kazi leo hii

mtasema yote mwaka huu lakini siku ya mwisho ccm itazidi kuaminiwa na watz kama kawaida yake.
 
Afu mtu akisema jamaa wanafujo anatukanwa, Kanuni za bunge ziliwekwa kwa utaratibu mzuri kabisa, sijui ingekua ni Mbowe amekatishwa huku akiongea angejisikia vipi? Ila yeye kwenye kukatisha huku mwenzake anaongea huko ni kujaribu kuonyesha kua yeye ndio ana nguvu zaidi bungeni au? Hapa jamaa simuungi mkono kabisa, Lile ni bunge, kama mbunge tena kiongozi mkubwa haeshimu bunge, nani ataliheshimu sasa? Hiyo tayari ni proof ya kuonyesha kushindwa kabisa kufanya kazi vzr, emotion nyingi hadi mtu unafanya hivo, ukipewa urais si nchi ikikutibua kidogo tu utapigana vita...

Tuliza munkali brother!
 
OBAMA alipokuwa dar aliulizwa swali kuhusu mzozo wa Misri na yeye alijibu kuwa DEMOKRASIA HAINA MAANA KUWA WALIO WENGI(MAJORITY CCM) HAWANATAKIWA KUWASIKILIZA WALIO WACHACHE(CHADEMA CUF NNCCR) sasa huyu naibu spika nayekataa kumsikiliza kiongozi wa kambi ya upinzani awekwe kundi gani?hivi kama angekuwepo mh Pinda ndio anataka kuzungumza angemgomea?FIKIRI TOFAUTIcopy to JK Anne Makinda
 
Mkuu, CHADEMA leo wamedhihirisha kuwa hawana uwezo wa kujenga hoja bali uwezo wao umeishia kwenye fujo. hata humu JF wafuasi wa CHADEMA utawajua tu kwa post zao

............4-0
 
Usichokijua ni kuwa Mbowe ni Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani ana pewa nafasi kubwa kutoa mawazo yake kuliko wabunge wengine. Mbona huhoji Lukuvi kuongea mara kwa mara? Kawaulize wanaojua wakupe ufafanuzi zaidi.

Mkuu, inabidi bunge lirekebishe kanuni zake ili kutoa sifa za ziada kwa kiongozi wa kambi ya upinzani. nadhani mbowe kinachomsumbua ni uelewa na kiwango chake cha elimu. sitegemei kama anaweza kujenga hoja za maana. yeye amezoea kukariri tu maswali kwa waziri mkuu
 
Mh j mungai anashindwa kuelewa hawa wapinzani wengine kama lema na mbowe ni mfano wa mtoto. Anachezeshwa ngoma naye anaicheza bila kujua.
 
Mbowe siyo wa kuchekea tena walipaswa polisi wampige sana anataka kufanya hii nchi iwe ya vurugu kila kukicha wangemvunja hata mkono au umguu iwe fundisho ili asirudie tena.
 
Usichokijua ni kuwa Mbowe ni Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani ana pewa nafasi kubwa kutoa mawazo yake kuliko wabunge wengine. Mbona huhoji Lukuvi kuongea mara kwa mara? Kawaulize wanaojua wakupe ufafanuzi zaidi.

Hawezi kuelewa huyo!
Akili imeishia hapo.
 
Hivi Ndugai familia ya Ndugai inaficha wapi nyusa zao. Maana anatia sana aibu haka kazee. Hivi mkewe si anapata shida sana.!!


[]Kiongozi mzuri husikiliza hoja na kutoa maamuzi. Alichofanya Ndugai hata mzee wa kijijini asiye na elimu hatafanya. Aibu yake na hata kwa Taifa.[/QUOTE]
 
Mkuu, CHADEMA leo wamedhihirisha kuwa hawana uwezo wa kujenga hoja bali uwezo wao umeishia kwenye fujo. hata humu JF wafuasi wa CHADEMA utawajua tu kwa post zao

machadema ni genge la wahuni
 
Ndungai anapenda sana mipasho na ubabe wakati hana sera amefulia kifikra hadi kimwili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom