Bwana Ngayoni
Member
- May 24, 2012
- 35
- 4
samaki ana mengi ya kuongea Lakini ndo ivo ana maji mdomoni! Lakini ipo siku maji yatatoweka ili samaki awezepaza sauti yake! MBOWE keep up!
Mbowe anastahili kuchukuliwa hatua za nidhamu kwa utovu wa nidhamu aliouonesha
124.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya123 ya Katiba hii,wananchi watakuwa na haki ya kumuondoa Mbunge wao madarakani,endapo Mbunge atafanya mojawapo au zaidi ya mambo yafuatayo:
(a) kuunga mkono sera ambazo zinaenda kinyume na maslahi ya wapiga kura au kinyume na maslahi ya Taifa;
(b) kushindwa kuwasilisha au kutetea kwa dhati hoja zinazotokana na
kero za wapiga kura wake;
(c) kuacha kuishi au kuhamisha makaazi yake kutoka eneo la Jimbo la Uchaguzi kwa zaidi ya miezi sita bila sababu za msingi;
(d) kutohudhuria vikao vya Bunge vitatu mfululizo bila ya ruhusa ya Spika;
(e) kuajiriwa au kufanya kazi nyingine na kuacha kuzingatia kazi yake ya kuonana na wapiga kura wake;
(f) kufanya biashara, kumiliki makampuni au kuwa na hisa katika makampuni ambayo yana mikataba au mahusiano ya kibiashara na taasisi za umma kwa namna ambayo inaleta mgongano wa kimaslahi;
(g) kutiwa hatiani kwa kosa linalohusiana na rushwa au kosa jingine la jinai;
(h) kutenda kitendo ambacho ni kinyume na maadili au kukosa uaminifu; au
(i) mambo mengine yatakayoainishwa kwenye sheria ya Bunge.
(2) Bunge litatunga sheria kuweka masharti ya namna ya kuendesha uchunguzi kwa Mbunge atakayeshindwa kutekeleza majukumu yake kwa wapiga kura wake na utaratibu wa kumuondoa mbunge.
Usituhukumu.Elewa "@YusuphKamote: @zittokabwe sioni msingi wa ujinga uliongozwa na Mh Mbowe wa kugombea kuaribu Msingi ya demokrasia"
...dodoma kuna hospitali ya milembe mkuu...
Hivi bungeni kama kila mbunge akijiona hana haki na kuamua kusimama kuongea na akiambiwa aache na Spika agome............kweli kutakuwa na Bunge?
Siku tegemea mtu kama Mbowe anaweza kufanya aliyofanya
Kuna haja ya CDM kuangalia upya strategies zao za kisiasa................hizi siasa zenye elements za ubabe na vurugu itafikia mahali wataonekana kama kundi la vurugu
Duh kumbe Vita inaanzia humu humu ndani afu mnasingizia Rwanda ona Bunge lenu Full aibu
Camera man wa TBC 1 mjinga kweli badala ya kutuonyesha kinachotokea yeye antuonyesha job ndugai
Mkuu Mbowe katia aibu sana.
Aelewi maana ya kupiga kura. Sasa sijui kwanini walikubali kushirikia upigaji kura kama hawako tayari kupotea matokeo yake.
Wabunge wa Chadema ni kama Mbuzi wa Vingunguti...
Ndio maana kuna mdau alileta thread hii https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/436964-mbuzi-wa-vingunguti-bungeni.html