Asante kwa kuja.Sawa
Rudia kusoma utaelewa tu kijana.Dah nsiwe muongo, sijailewa hii thread, hebu mmoja anifafanulie kwa ufupi...!
Propaganda nyepesi sana hii!Wasalaam;
TokeaEL kkujiungana Chadema july,2015 ili kugombea uraisi baada ya kkukatwa na CCM kufuatia upotofu wa maadili,ujio huo wa Lowasa ulitajwa kuambatana na "deal" kubwa la bilioni 10 kati yake na Mbowe baada ya uteuzi wa Katibu mkuu mpya jana fafuatayo yanadhihirisha Chadema mpya ya Lowasa inasukwa;
1.imedhihirika kwamba kwa mara kadhaa Lissu,Mnyika nk majina yao yalikatwa ofisi za mikocheni kutokana na siasa zao zilizoendeleza kumtusi EL hata baada ya makubaliano baina ya Mbowe na EL kutochafuliwa mwaka 2011...ikumbukwe kwamba mpango wa EL/Mbowe ulianza 2011.
2.Ukiukwaji wa protokali...Mbowe na viongozi wakuu kumpokea EL kwa kutamalaki angali ni mjumbe wa kawaida hili linaonyesha kuwa "mwenyekiti" ni EL.
3.Agizo lake kuharakisha uchaguzi 2018 badala ya 2019 limepita,hii itawezesha kundi lake kuingia na kudhibiti chama kuelekea uchaguzi 2020 na hivyo kuwaacha vijana wengi nje wakiwa wamekata tamaa.
4.Imethibitika kwamba Mt.Kilimanjaro mafia ndani na nje ya chama Vicent sio chaguo lao hivyo kuna msuguano na huenda wakamuunga mkono Mbatia kama mbadala wa harakati zao japo Mbowe yeye hajali huku akiamini malengo yake hayataathirika,kapata alichokitaka.
5.EL kaagiza vijana wote waliomtukana mitandaoni na kuzima ndoto zake akiwa CCM wasipewe nafasi yoyote huku akiamini yeye ndiye mwenye wapiga kura wengi kuliko chadema...katika kikao binafsi mikocheni amesema katika kura milioni 6 zilizopigwa zake binafsi ni milioni 4 hivyo wote waliomdhalilisha mlango upo wazi.
Tuendelee kusubiri huku tukiweka akiba ya maneno huku tukijenga hoja badala ya matusi.
Mkuu darasa la pili?..jikite kwenye mada!Huyu alie toa uzi huu atakua darasa la pili
Kwa kumuweka mamluki asiye na maamuzi ni kama Prof.Safari kawekwa kuweka taswira ya uislamu....muda ni jibu sahihi.Propaganda nyepesi sana hii!
Ile hoja isiyo na mashiko kuwa CDM ni cha kaskazini naona imekufa kibudu;ccm lazima ijiandae kufanya siasa za kujenga hoja nzito badala ya siasa za fitna na uzushi ilizozizoea!
Zingatia mada.JK aliomba Magufuli awakumbuke watu wa IT. Vipi mmeshapewa chenu?
Mkuu umechoma mkuki moyoni!kila mwenye akili timamu anajua kuwa katibu mkuu wa sasa wa chadema ni kijana wa Lowasa wa mda mrefu sana.
Mkuu ni muhimu kuweka akiba ya maneno!Kwa asiyeona haya atakuwa kipofu,huyo katibu mkuu nani alimtarajia?haya kama ulivyosema tuweke akiba ya maneno
CCM HAWAJUI SIASA WALA MAANA YA SIAS.. WANAFIKIRI SIASA NA MABAVU....NDIO MAANA WANATUMIA VYOMBO VYA DOLA, NA UTAWALA WA MABAVU BILA HUTASHI WA WANANCHI..WAJINGA WATAPINGA, ILA MFANO MDOGO NI UMEYA DAR NA UCHAGUZI WA ZANZIBAR...WANANCHI WAMEWAKATAA NA WAMEWACHOKA SANA LAKINI WANATUMIA VYOMBO VYA DOLA KUKANDAMIZA UTASHI WA WANANCHI,NDIO MAANA TUNAONA WAKUU WA POLISI WALIOSTAFU WAKIKIRIMIA NAFASI ZA UONGOZI KAMA KIINUA MGONGO NA PONGEZI YA KAZI WALIOFANYA KUWANYANYASA WAPINZANI.Wasalaam;
TokeaEL kkujiungana Chadema july,2015 ili kugombea uraisi baada ya kkukatwa na CCM kufuatia upotofu wa maadili,ujio huo wa Lowasa ulitajwa kuambatana na "deal" kubwa la bilioni 10 kati yake na Mbowe baada ya uteuzi wa Katibu mkuu mpya jana fafuatayo yanadhihirisha Chadema mpya ya Lowasa inasukwa;
1.imedhihirika kwamba kwa mara kadhaa Lissu,Mnyika nk majina yao yalikatwa ofisi za mikocheni kutokana na siasa zao zilizoendeleza kumtusi EL hata baada ya makubaliano baina ya Mbowe na EL kutochafuliwa mwaka 2011...ikumbukwe kwamba mpango wa EL/Mbowe ulianza 2011.
2.Ukiukwaji wa protokali...Mbowe na viongozi wakuu kumpokea EL kwa kutamalaki angali ni mjumbe wa kawaida hili linaonyesha kuwa "mwenyekiti" ni EL.
3.Agizo lake kuharakisha uchaguzi 2018 badala ya 2019 limepita,hii itawezesha kundi lake kuingia na kudhibiti chama kuelekea uchaguzi 2020 na hivyo kuwaacha vijana wengi nje wakiwa wamekata tamaa.
4.Imethibitika kwamba Mt.Kilimanjaro mafia ndani na nje ya chama Vicent sio chaguo lao hivyo kuna msuguano na huenda wakamuunga mkono Mbatia kama mbadala wa harakati zao japo Mbowe yeye hajali huku akiamini malengo yake hayataathirika,kapata alichokitaka.
5.EL kaagiza vijana wote waliomtukana mitandaoni na kuzima ndoto zake akiwa CCM wasipewe nafasi yoyote huku akiamini yeye ndiye mwenye wapiga kura wengi kuliko chadema...katika kikao binafsi mikocheni amesema katika kura milioni 6 zilizopigwa zake binafsi ni milioni 4 hivyo wote waliomdhalilisha mlango upo wazi.
Tuendelee kusubiri huku tukiweka akiba ya maneno huku tukijenga hoja badala ya matusi.
Wasalaam;
TokeaEL kkujiungana Chadema july,2015 ili kugombea uraisi baada ya kkukatwa na CCM kufuatia upotofu wa maadili,ujio huo wa Lowasa ulitajwa kuambatana na "deal" kubwa la bilioni 10 kati yake na Mbowe baada ya uteuzi wa Katibu mkuu mpya jana fafuatayo yanadhihirisha Chadema mpya ya Lowasa inasukwa;
1.imedhihirika kwamba kwa mara kadhaa Lissu,Mnyika nk majina yao yalikatwa ofisi za mikocheni kutokana na siasa zao zilizoendeleza kumtusi EL hata baada ya makubaliano baina ya Mbowe na EL kutochafuliwa mwaka 2011...ikumbukwe kwamba mpango wa EL/Mbowe ulianza 2011.
2.Ukiukwaji wa protokali...Mbowe na viongozi wakuu kumpokea EL kwa kutamalaki angali ni mjumbe wa kawaida hili linaonyesha kuwa "mwenyekiti" ni EL.
3.Agizo lake kuharakisha uchaguzi 2018 badala ya 2019 limepita,hii itawezesha kundi lake kuingia na kudhibiti chama kuelekea uchaguzi 2020 na hivyo kuwaacha vijana wengi nje wakiwa wamekata tamaa.
4.Imethibitika kwamba Mt.Kilimanjaro mafia ndani na nje ya chama Vicent sio chaguo lao hivyo kuna msuguano na huenda wakamuunga mkono Mbatia kama mbadala wa harakati zao japo Mbowe yeye hajali huku akiamini malengo yake hayataathirika,kapata alichokitaka.
5.EL kaagiza vijana wote waliomtukana mitandaoni na kuzima ndoto zake akiwa CCM wasipewe nafasi yoyote huku akiamini yeye ndiye mwenye wapiga kura wengi kuliko chadema...katika kikao binafsi mikocheni amesema katika kura milioni 6 zilizopigwa zake binafsi ni milioni 4 hivyo wote waliomdhalilisha mlango upo wazi.
Tuendelee kusubiri huku tukiweka akiba ya maneno huku tukijenga hoja badala ya matusi.
Ndio hivyo tena
Jikite kwenye hoja upate maarifa kijana.Naona wale 46 mko busy mtandaoni leo.Hamna cha kufanya,mmekuwa kama ma Mweha waliopigwa mawe.................
Jikite kwenye hoja upate maarifa kijana.Naona wale 46 mko busy mtandaoni leo.Hamna cha kufanya,mmekuwa kama ma Mweha waliopigwa mawe.................
Kijana tunakufungua..usije kujuta!Naona lile jini la UKANDA na UKABILA limepasuliwa bila ganzi,pole sana.Yale majina yenu mliyojipangia na kuwateulia CDM ili mpate cha kuongea yameishia Dodoma.
Pole sana sana.Mwambie aliyekutuma kwamba umechoka kutumika kama pampas
hahahahahahaa jf ina vibweka vya kila ainaYou sound like Magu..
I mean your English..
Ndio akili za akina babatovu wa bavicha.hahahahahahaa jf ina vibweka vya kila aina
Tulia dogo...Ndio akili za akina babatovu wa bavicha.
Mkuu tunaweka kumbukumbu sawa kwa vizazi vijavyo ili visipotoshwe.