BAHARIA MSAFIRI
Senior Member
- Feb 17, 2016
- 154
- 356
WAKUU JENGENI HOJA HAINA HAJA KUZOZANA RUDINI NJIA KUU (MADA)
Jikite kwenye mada kwa hoja yakinifu...ndio mnavyodanganyana kwamba katiba inawazuiwa kushinda?Endelea kuota hivyo hivyo...
Ila ombeni sana Magu utumbuaji wake usifike hadi kwenye kufumua katiba ya JMT make akituwekea ya Warioba tu, basi hamtakuwa na pakutokea.
Asante mkuu!WAKUU JENGENI HOJA HAINA HAJA KUZOZANA RUDINI NJIA KUU (MADA)
You are iron boy.You sound like Magu..
I mean your English..
Waambie wajikite kwenye mada!You are iron boy.
Anahifamu vzr sana Ile Methari ukitaka Kula na vipofu usiwashike mkono.,Naum safu inapangwa..tutarajie mengi...EL ni mwanasiasa mjanja sana hukaa na wanaomtii tu.
AtawamalizaNaum safu inapangwa..tutarajie mengi...EL ni mwanasiasa mjanja sana hukaa na wanaomtii tu.
Pesa kwa wanafiki ni fastaEL jamaa hatari kisha wagawa CDM haki ya Mungh,rupia bwana!
That's the problem of sitting very close to Lowassa.....the man has his problems.....refer geita showIt stinks man, u know.......
Mmeingiliwa kinyume nyume poleniCcm kwa sasa wameishiwa pumzi
Mbona wewe hujafa wakati ndio maswaibu yako ya kila kukicha?Mmeingiliwa kinyume nyume poleni
Anawatesa waliomchafua ambao sasa wanahaha kumsafisha.Lowassa yaonekana anaitesa sana ccm..
Toka 2008 bado hamjammaliza tu?
Mnaelekea kuwa mateka kichwakichwaMbona wewe hujafa wakati ndio maswaibu yako ya kila kukicha?
Kumbe wewe ni mateka masaburi masaburi?Mnaelekea kuwa mateka kichwakichwa
Endeleeni kulamba matapishi yenu nyie mahinterahamweAnawatesa waliomchafua ambao sasa wanahaha kumsafisha.
SawaWasalaam;
TokeaEL kkujiungana Chadema july,2015 ili kugombea uraisi baada ya kkukatwa na CCM kufuatia upotofu wa maadili,ujio huo wa Lowasa ulitajwa kuambatana na "deal" kubwa la bilioni 10 kati yake na Mbowe baada ya uteuzi wa Katibu mkuu mpya jana fafuatayo yanadhihirisha Chadema mpya ya Lowasa inasukwa;
1.imedhihirika kwamba kwa mara kadhaa Lissu,Mnyika nk majina yao yalikatwa ofisi za mikocheni kutokana na siasa zao zilizoendeleza kumtusi EL hata baada ya makubaliano baina ya Mbowe na EL kutochafuliwa mwaka 2011...ikumbukwe kwamba mpango wa EL/Mbowe ulianza 2011.
2.Ukiukwaji wa protokali...Mbowe na viongozi wakuu kumpokea EL kwa kutamalaki angali ni mjumbe wa kawaida hili linaonyesha kuwa "mwenyekiti" ni EL.
3.Agizo lake kuharakisha uchaguzi 2018 badala ya 2019 limepita,hii itawezesha kundi lake kuingia na kudhibiti chama kuelekea uchaguzi 2020 na hivyo kuwaacha vijana wengi nje wakiwa wamekata tamaa.
4.Imethibitika kwamba Mt.Kilimanjaro mafia ndani na nje ya chama Vicent sio chaguo lao hivyo kuna msuguano na huenda wakamuunga mkono Mbatia kama mbadala wa harakati zao japo Mbowe yeye hajali huku akiamini malengo yake hayataathirika,kapata alichokitaka.
5.EL kaagiza vijana wote waliomtukana mitandaoni na kuzima ndoto zake akiwa CCM wasipewe nafasi yoyote huku akiamini yeye ndiye mwenye wapiga kura wengi kuliko chadema...katika kikao binafsi mikocheni amesema katika kura milioni 6 zilizopigwa zake binafsi ni milioni 4 hivyo wote waliomdhalilisha mlango upo wazi.
Tuendelee kusubiri huku tukiweka akiba ya maneno huku tukijenga hoja badala ya matusi.