Mbowe asalimu amri kwa Lowassa

Mbowe asalimu amri kwa Lowassa

Mmeishiwa na sera; bado kivuli cha LOWASA na SUMAYE kinaitesa CCM.

Na bado hizo ni mvua za rasha rasha subirini EL NINO inakuja.
Mambo ya kuishiwa pumzi muulize Kingunge,Sumaye alishapiga goti kwa Magufuli alivyolazwa Muhimbili,Lowassa baada ya hasira kwa sasa ni "project"
 
Mambo ya kuishiwa pumzi muulize Kingunge,Sumaye alishapiga goti kwa Magufuli alivyolazwa Muhimbili,Lowassa baada ya hasira kwa sasa ni "project"

KWani wew unapokwenda kumsalimia mgonjwa ni kwamba amepiga goti mbele yako.

Mbona unaropoka pasipo kutafakari. GT wa namna gani wewe uliyeishiwa hoja za kuleta hapa ukumbi wa Great Thinkers???
 
KWani wew unapokwenda kumsalimia mgonjwa ni kwamba amepiga goti mbele yako.

Mbona unaropoka pasipo kutafakari. GT wa namna gani wewe uliyeishiwa hoja za kuleta hapa ukumbi wa Great Thinkers???
Sumaye alikiri kwa kinywa chake "Raisi Magufuli anapenda watu wake,ameanza kazi vizuri nampongeza sana"!
 
Kijana tunakufungua..usije kujuta!

Ulinifunga mpaka unifungue??Haafu kwa akili zenu za kushikiwa mnadhani wote umri wao ni sawa na wakwenu.

Kamwambie aliyekutuma hapa mwisho wa lami................
 
Ulinifunga mpaka unifungue??Haafu kwa akili zenu za kushikiwa mnadhani wote umri wao ni sawa na wakwenu.

Kamwambie aliyekutuma hapa mwisho wa lami................
Safi sana hata mjuaji hujuzwa kijana
 
Kwahiyo nimeshakujuza na umeelewa??Nenda basi mwambie anayewatuma kwamba Watanzania wamechoka na Sinema Mawaziri wafanye kazi sasa
Jikite kwenye mada...elewa kisha toa mchango.
 
Back
Top Bottom