Mbowe asalimu amri kwa Lowassa

Mbowe asalimu amri kwa Lowassa

Wasalaam;

TokeaEL kkujiungana Chadema july,2015 ili kugombea uraisi baada ya kkukatwa na CCM kufuatia upotofu wa maadili,ujio huo wa Lowasa ulitajwa kuambatana na "deal" kubwa la bilioni 10 kati yake na Mbowe baada ya uteuzi wa Katibu mkuu mpya jana fafuatayo yanadhihirisha Chadema mpya ya Lowasa inasukwa;
1.imedhihirika kwamba kwa mara kadhaa Lissu,Mnyika nk majina yao yalikatwa ofisi za mikocheni kutokana na siasa zao zilizoendeleza kumtusi EL hata baada ya makubaliano baina ya Mbowe na EL kutochafuliwa mwaka 2011...ikumbukwe kwamba mpango wa EL/Mbowe ulianza 2011.

2.Ukiukwaji wa protokali...Mbowe na viongozi wakuu kumpokea EL kwa kutamalaki angali ni mjumbe wa kawaida hili linaonyesha kuwa "mwenyekiti" ni EL.

3.Agizo lake kuharakisha uchaguzi 2018 badala ya 2019 limepita,hii itawezesha kundi lake kuingia na kudhibiti chama kuelekea uchaguzi 2020 na hivyo kuwaacha vijana wengi nje wakiwa wamekata tamaa.

4.Imethibitika kwamba Mt.Kilimanjaro mafia ndani na nje ya chama Vicent sio chaguo lao hivyo kuna msuguano na huenda wakamuunga mkono Mbatia kama mbadala wa harakati zao japo Mbowe yeye hajali huku akiamini malengo yake hayataathirika,kapata alichokitaka.

5.EL kaagiza vijana wote waliomtukana mitandaoni na kuzima ndoto zake akiwa CCM wasipewe nafasi yoyote huku akiamini yeye ndiye mwenye wapiga kura wengi kuliko chadema...katika kikao binafsi mikocheni amesema katika kura milioni 6 zilizopigwa zake binafsi ni milioni 4 hivyo wote waliomdhalilisha mlango upo wazi.

Tuendelee kusubiri huku tukiweka akiba ya maneno huku tukijenga hoja badala ya matusi.
Haaaa haaa hii akili na muda ungekutumia katika kufikiria jinsi ya kuijenga nchi yetu tungekuwa mbali sana leo
 
Wasalaam;

TokeaEL kkujiungana Chadema july,2015 ili kugombea uraisi baada ya kkukatwa na CCM kufuatia upotofu wa maadili,ujio huo wa Lowasa ulitajwa kuambatana na "deal" kubwa la bilioni 10 kati yake na Mbowe baada ya uteuzi wa Katibu mkuu mpya jana fafuatayo yanadhihirisha Chadema mpya ya Lowasa inasukwa;
1.imedhihirika kwamba kwa mara kadhaa Lissu,Mnyika nk majina yao yalikatwa ofisi za mikocheni kutokana na siasa zao zilizoendeleza kumtusi EL hata baada ya makubaliano baina ya Mbowe na EL kutochafuliwa mwaka 2011...ikumbukwe kwamba mpango wa EL/Mbowe ulianza 2011.

2.Ukiukwaji wa protokali...Mbowe na viongozi wakuu kumpokea EL kwa kutamalaki angali ni mjumbe wa kawaida hili linaonyesha kuwa "mwenyekiti" ni EL.

3.Agizo lake kuharakisha uchaguzi 2018 badala ya 2019 limepita,hii itawezesha kundi lake kuingia na kudhibiti chama kuelekea uchaguzi 2020 na hivyo kuwaacha vijana wengi nje wakiwa wamekata tamaa.

4.Imethibitika kwamba Mt.Kilimanjaro mafia ndani na nje ya chama Vicent sio chaguo lao hivyo kuna msuguano na huenda wakamuunga mkono Mbatia kama mbadala wa harakati zao japo Mbowe yeye hajali huku akiamini malengo yake hayataathirika,kapata alichokitaka.

5.EL kaagiza vijana wote waliomtukana mitandaoni na kuzima ndoto zake akiwa CCM wasipewe nafasi yoyote huku akiamini yeye ndiye mwenye wapiga kura wengi kuliko chadema...katika kikao binafsi mikocheni amesema katika kura milioni 6 zilizopigwa zake binafsi ni milioni 4 hivyo wote waliomdhalilisha mlango upo wazi.

Tuendelee kusubiri huku tukiweka akiba ya maneno huku tukijenga hoja badala ya matusi.

JK aliomba Magufuli awakumbuke watu wa IT. Vipi mmeshapewa chenu?
 
CCM is at disarray they are fragmented. What used to bind them together were the resources where everyone within the ruling party could tap at one's own momentum. The resources available now at their disposal are completely scarce. The new generation of young men and women are also dynamic and have their own informed decision on which party they have to support. In addition a fact that cannot be denied by any person is that people are pro Magufuli and not CCM.

Time is the best teacher, with time things will be clear.
So the opposite is true the people are not pro Lowassa and it is fake to claim he "won" election....!
 
Eduadi lowasa ananikela jambo moja tu ukumbi mzm wamevaa uniform za cdm na kofia yeye havai hata kitambaa cha cdm mkononi.. Yeye anaingia kama alivyo na anatoka kama alivyo.... Hilo kiukweli linanikela sana..
Liendelee kukukera tu
 
Muda ndio jibu sahihi dogo....mwaka 2011 mlipoambiwa EL/Mbowe wanamakubaliano ya siri na baadaye mwaka jana July Lizabon alidadavua kuuzwa kwa chadema mlikuja na kauli fupi fupi hivihivi...sikio la kufa......!
Kuniita dogo ni kunitusi... jitahidi ufiche upumbavu wako.

Umesema CHADEMA imeuzwa, lakini jana katibu mkuu amepatikana.
Chama kingeuzwa, bila shaka hata mwenyekiti angejiengua ili mnunuzi aweke mtu wake au angekalia kiti ili afanye maamuzi mwenyewe.
Acha kuokoteza habari uchwara toka kijiweni kwa wanywa kahawa hapo lumumba.
 
Kuniita dogo ni kunitusi... jitahidi ufiche upumbavu wako.

Umesema CHADEMA imeuzwa, lakini jana katibu mkuu amepatikana.
Chama kingeuzwa, bila shaka hata mwenyekiti angejiengua ili mnunuzi aweke mtu wake au angekalia kiti ili afanye maamuzi mwenyewe.
Acha kuokoteza habari uchwara toka kijiweni kwa wanywa kahawa hapo lumumba.
Mbowe anafanya kazi ya lowassa tokea 2011,ni CEO wake aliyefanikisha yote...kuanzia kwa SG mpya jana timu itabadilishwa kukidhi mahitaji ya mwenye mali huo ni mwanzo tu.
 
Haaaa haaa hii akili na muda ungekutumia katika kufikiria jinsi ya kuijenga nchi yetu tungekuwa mbali sana leo
Naamini kila jambo na wakati wake muda mwingine unaijenga nchi kupitia siasa.
 
CCM is at disarray they are fragmented. What used to bind them together were the resources where everyone within the ruling party could tap at one's own momentum. The resources available now at their disposal are completely scarce. The new generation of young men and women are also dynamic and have their own informed decision on which party they have to support. In addition a fact that cannot be denied by any person is that people are pro Magufuli and not CCM.

Time is the best teacher, with time things will be clear.
And people are not pro Lowasa anymore
 
Mzungu mambo?

Tabia ya kujipendekeza kwa wazungu ndo iliyokudhalilisha! Wazungu watendelea kukupandishia mbwa!
Nafikiri utakuwa unamuongelea Mwenyekiti wako ambaye alikuwa kiguu na njia kwenda kwa wazungu kuomba misaada.
 
Mbowe anafanya kazi ya lowassa tokea 2011,ni CEO wake aliyefanikisha yote...kuanzia kwa SG mpya jana timu itabadilishwa kukidhi mahitaji ya mwenye mali huo ni mwanzo tu.
Endelea kuota hivyo hivyo...
Ila ombeni sana Magu utumbuaji wake usifike hadi kwenye kufumua katiba ya JMT make akituwekea ya Warioba tu, basi hamtakuwa na pakutokea.
 
Back
Top Bottom